tundu antipas lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Afghanistan

    Uzi Maalum wa kumpa moyo, faraja au kumtakia heri Tundu Antipas Lissu

    Ndugu Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu,huu ni Uzi Maalum wa kutoa neno la faraja na kumtakia Heri kiongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Mh Tundu A Lissu aliyepewa kesi ya uhaini na kuwekwa death row pale ukonga huku akikumbana na manyanyaso chungu nzima kutoka Kwa askari magereza...
  2. Mikopo Consultant

    GE2025 Mwangwi wa Baragumu la NRNE bado unalitetemesha Taifa; ni sauti ya Mungu kwa watanzania, na Lissu ndio Nabii!

    Shikamooni Wajumbe! Mlimsikia Mke wenu mkubwa? Kaeni mkao kuyasikia ya Ukweni! Kama ambavyo kuna watanzania wenzetu hatunao sasa, waliotamani kuona reforms za uchaguzi zikifanyika, lakini hawakulishughudia hilo likitokea kwenye maisha yao; yawezekana pia hata kizazi hiki kisishughuhudie hilo...
  3. R

    GE2025 Anaandika Boniface Jacob: Hatimaye CCM waanza rasmi kumlilia Tundu Antipas Lissu na CHADEMA!

    Hii hapa taarifa yake Leo nimepokea simu zaidi ya 20 zote za watia nia ubunge kwa tiketi ya CCM ambao majina yao yamekatwa bila sababu ya msingi katika vikao vya CCM ngazi ya wilaya. Ujumbe wao kwa pamoja ni.... 1.Viongozi wa CCM wanaokaa vikao vya mchujo wamejawa na kiburi na dharau kwa...
  4. Mshana Jr

    Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

    Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu. Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika Ana historia yake maalum .. Ana mengi...
  5. FYATU

    Hivi kwa haya anayopitia Lissu, kama akibahatika kupata Urais hatolipiza kisasi?

    Au atafanya kama alivyofanya Nelson Mandela?. Kila nikifuatilia taarifa za kinachoendelea kwa Mwanasiasa huyu na yanayosemwasemwa kuhusu kaliba yake kwamba hupenda kuwashughulikia wanaoshughulikia basi mabaki wa kujiuliza, vipi kama?.
  6. Idugunde

    Neno moja kwa Shujaa Mtanganyika Tundu Antipas Lissu

    Shujaa wa Tanganyika 👇
  7. DuaZaMama

    PreGE2025 Wakili wa Lissu Jebra Kambole aweka wazi kuhusu ugumu wanaopitia mawakili kumuona Lissu gerezani

    Wakili wa Tundu Lissu Jebra Kambole kwa niaba ya mawakili wengine wanaomtetea amesema wamekuwa wakipta ugumu wa kuonana na kufanya mazungumzo ya faragha na kushauriiana na mteja wao pindi wanapokwenda kumtembelea Gereza la ukonga. Malamamiko hayo yalitolewa pia na Lissu kuwa hapati uhuru wa...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Benson Kigaila: Nilizungumzia Kesi ya Mbowe kwa kuijua, ya Lissu sijui alivyokamatwa. Mimi kulaani haisaidii chochote

    Benson Kigaila, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwasasa ni Kada wa CHAUMMA ameeleza kuwa wakati "Nilizungumzia kesi ya Mbowe ya ugaidi kwa kuwa nilikuwa najua mwenendo wa kesi ulivyokuwa, hii ya Tundu Lissu sijui alivyokamatwa" Kupata matukio na...
  9. Manyanza

    Hoja ya azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kukamatwa na hatari ya kunyongwa kwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chadema

    Mnamo tarehe 6 Mei 2025, Bunge la Ulaya liliwasilisha azimio kuhusu kukamatwa kwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Azimio hilo linaelezea wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya haki za binadamu na demokrasia nchini Tanzania, hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa...
  10. B

    Rais Samia sikia maneno haya ya kuambiwa kumhusu yule Simba wa Kizimkazi, Tundu Antipas Lissu!

    Bila shaka wewe siyo Farao aliyeamua kuziba masikio hata pale busara yote ilipoelekeza vinginevyo: Kwani urais kitu gani kama unachoombwa ni kushinda au kushindwa kupitia tu uchaguzi ulio huru na wa haki? Anasema TX Moshi (Rip): "Sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, eeh Moshi weeh! Eeh...
  11. Heparin

    PreGE2025 Peter Kibatala: Serikali iiambie mahakama kwanini wametandaza Polisi kila kona na kuzuia Umma kufika Mahakamani kusikiliza shauri la Lissu

    Kutoka Mahakamani Kisutu, Peter Kibatala anasema: Katiba inasema mtuhumiwa achukuliwe hana hatia. Haya matendo yanayoffanyika hapa hayaeleweki kabisa. Akija Mzee Alute Lissu Wakili ataendelea eneo hilo. Itoshe kusema kuwa ombi letu ni kwamba mahakama hii ina wajibu mtuhumiwaaliyepo Ukonga...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 KESI YA LISSU: Mtandao changamoto, hakimu aahirisha kwa muda

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu. Kesi hiyo imeahirishwa kwa muda wa dakika 10 kutokana na mtandao kusumbua na kutokusikika vizuri. Hatua hiyo inatokana na...
  13. BLACK MOVEMENT

    Lissu sio Mhaini, haya mabango yanapaswa kubandikwa nchi nzima, nayapataje na mimi nibandike? Makamanda tubandike

    Makamanda haya nayo hatuwezi bandika? hii ni simple binafisi nayapataje nibandike? Lazima wajue hatutanii sasa. Hii tunaweza ifanya.
  14. Heparin

    PreGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuwaachilia mara moja na bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka wa uchaguzi. Rais wa TEC na Askofu...
  15. S

    CHADEMA hamjatutendea haki watanzania kumpa Uenyekiti wa CHADEMA taifa Lissu ambaye familia yake yote iko nje mkamuacha Mbowe, mtuombe msamaha

    CHADEMA hamjatutendea haki watanzania kumpa Uenyekiti wa CHADEMA taifa Lisu ambaye familia yake yote iko nje mkamuacha Mbowe mtuombe msamaha Mbowe familia yake yote ipo Tanzania kasoro mtoto mmoja tu ina maana kikiinuka yeye na familia yake wataumia Lakini Lisu aweza jificha ubalozini na...
  16. Heparin

    PreGE2025 Rose Mayemba: Tumetoka Keko, Lissu hayupo na Magereza hawajui alipo

    Ameandika Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Rose Mayemba: Tumetoka Gereza la Keko muda huu kwa ajili ya kutaka kumuona Mhe Lissu, Askari Magereza wametuambia hayupo, tumeuliza yuko wapi wamesema hata wao hawajui!. Sasa nani kamuondoa bila ruhusa ya Mahakama? Aliyemuondoa amempeleka wapi? Kwanini...
  17. MIMI BABA YENU

    Nilisema CHADEMA ya Lissu itakufa rasmi kabla ya 2026 na CHADEMA ya mzee Mbowe itafufuka rasmi soon

    George Michael Uledi! No Reforms No Election ya Ndugu Tundu Antipas Lissu imejiziika RASMI leo kwani hata Serikali ya awamu ya Sita ikileta Reforms nzuri kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani 2025,ni RASMI kuwa Chadema hawawezi kushiriki Uchaguzi Mkuu wowote wa INEC mpaka mwaka...
  18. Kabembe

    Hon. Tundu Antipas Lissu and the Fate of Chadema and Democracy in Tanzania

    Tundu Lissu is a prominent Tanzanian lawyer and politician, renowned for his unwavering commitment to democracy and human rights. Born on January 20, 1968, in Ikungi district, Singida, he has played a significant role in the nation's political landscape. Early Life and Education Lissu completed...
  19. Heparin

    The government of Tanzania charges the chairman of the main opposition party, Tundu Lissu, with treason in court

    A Tanzanian court on Thursday charged opposition leader Tundu Lissu with treason, which carries the maximum penalty of death, as tensions mount in the East African nation before October elections. Lissu, who survived an assassination attempt in 2017, was arrested at a public rally in the...
Back
Top Bottom