Ndugu
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu,huu ni Uzi Maalum wa kutoa neno la faraja na kumtakia Heri kiongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Mh Tundu A Lissu aliyepewa kesi ya uhaini na kuwekwa death row pale ukonga huku akikumbana na manyanyaso chungu nzima kutoka Kwa askari magereza...
Shikamooni Wajumbe!
Mlimsikia Mke wenu mkubwa?
Kaeni mkao kuyasikia ya Ukweni!
Kama ambavyo kuna watanzania wenzetu hatunao sasa, waliotamani kuona reforms za uchaguzi zikifanyika, lakini hawakulishughudia hilo likitokea kwenye maisha yao; yawezekana pia hata kizazi hiki kisishughuhudie hilo...
Hii hapa taarifa yake
Leo nimepokea simu zaidi ya 20 zote za watia nia ubunge kwa tiketi ya CCM ambao majina yao yamekatwa bila sababu ya msingi katika vikao vya CCM ngazi ya wilaya.
Ujumbe wao kwa pamoja ni....
1.Viongozi wa CCM wanaokaa vikao vya mchujo wamejawa na kiburi na dharau kwa...
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.
Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika
Ana historia yake maalum .. Ana mengi...
Au atafanya kama alivyofanya Nelson Mandela?. Kila nikifuatilia taarifa za kinachoendelea kwa Mwanasiasa huyu na yanayosemwasemwa kuhusu kaliba yake kwamba hupenda kuwashughulikia wanaoshughulikia basi mabaki wa kujiuliza, vipi kama?.
Wakili wa Tundu Lissu Jebra Kambole kwa niaba ya mawakili wengine wanaomtetea amesema wamekuwa wakipta ugumu wa kuonana na kufanya mazungumzo ya faragha na kushauriiana na mteja wao pindi wanapokwenda kumtembelea Gereza la ukonga.
Malamamiko hayo yalitolewa pia na Lissu kuwa hapati uhuru wa...
Benson Kigaila, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwasasa ni Kada wa CHAUMMA ameeleza kuwa wakati "Nilizungumzia kesi ya Mbowe ya ugaidi kwa kuwa nilikuwa najua mwenendo wa kesi ulivyokuwa, hii ya Tundu Lissu sijui alivyokamatwa"
Kupata matukio na...
Mnamo tarehe 6 Mei 2025, Bunge la Ulaya liliwasilisha azimio kuhusu kukamatwa kwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Azimio hilo linaelezea wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya haki za binadamu na demokrasia nchini Tanzania, hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa...
Bila shaka wewe siyo Farao aliyeamua kuziba masikio hata pale busara yote ilipoelekeza vinginevyo:
Kwani urais kitu gani kama unachoombwa ni kushinda au kushindwa kupitia tu uchaguzi ulio huru na wa haki?
Anasema TX Moshi (Rip):
"Sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, eeh Moshi weeh!
Eeh...
Kutoka Mahakamani Kisutu, Peter Kibatala anasema:
Katiba inasema mtuhumiwa achukuliwe hana hatia. Haya matendo yanayoffanyika hapa hayaeleweki kabisa. Akija Mzee Alute Lissu Wakili ataendelea eneo hilo.
Itoshe kusema kuwa ombi letu ni kwamba mahakama hii ina wajibu mtuhumiwaaliyepo Ukonga...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu.
Kesi hiyo imeahirishwa kwa muda wa dakika 10 kutokana na mtandao kusumbua na kutokusikika vizuri.
Hatua hiyo inatokana na...
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuwaachilia mara moja na bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka wa uchaguzi.
Rais wa TEC na Askofu...
askofu wolfgang pisa
baraza la maaskofu tanzania
kanisa katoliki
kuelekea 2025
mkristo
pasaka
pasaka 2025
rais
salamu za pasaka
serikali ya ccm
tanzania
tec
tunduantipaslissu
viongozi wa dini
wakatoliki
waraka
CHADEMA hamjatutendea haki watanzania kumpa Uenyekiti wa CHADEMA taifa Lisu ambaye familia yake yote iko nje mkamuacha Mbowe mtuombe msamaha
Mbowe familia yake yote ipo Tanzania kasoro mtoto mmoja tu ina maana kikiinuka yeye na familia yake wataumia
Lakini Lisu aweza jificha ubalozini na...
Ameandika Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Rose Mayemba:
Tumetoka Gereza la Keko muda huu kwa ajili ya kutaka kumuona Mhe Lissu, Askari Magereza wametuambia hayupo, tumeuliza yuko wapi wamesema hata wao hawajui!.
Sasa nani kamuondoa bila ruhusa ya Mahakama? Aliyemuondoa amempeleka wapi? Kwanini...
George Michael Uledi!
No Reforms No Election ya Ndugu Tundu Antipas Lissu imejiziika RASMI leo kwani hata Serikali ya awamu ya Sita ikileta Reforms nzuri kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani 2025,ni RASMI kuwa Chadema hawawezi kushiriki Uchaguzi Mkuu wowote wa INEC mpaka mwaka...
Tundu Lissu is a prominent Tanzanian lawyer and politician, renowned for his unwavering commitment to democracy and human rights. Born on January 20, 1968, in Ikungi district, Singida, he has played a significant role in the nation's political landscape.
Early Life and Education
Lissu completed...
A Tanzanian court on Thursday charged opposition leader Tundu Lissu with treason, which carries the maximum penalty of death, as tensions mount in the East African nation before October elections.
Lissu, who survived an assassination attempt in 2017, was arrested at a public rally in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.