tundu antipas lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 KESI YA LISSU: Mtandao changamoto, hakimu aahirisha kwa muda

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu. Kesi hiyo imeahirishwa kwa muda wa dakika 10 kutokana na mtandao kusumbua na kutokusikika vizuri. Hatua hiyo inatokana na...
  2. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Lissu sio Mhaini, haya mabango yanapaswa kubandikwa nchi nzima, nayapataje na mimi nibandike? Makamanda tubandike

    Makamanda haya nayo hatuwezi bandika? hii ni simple binafisi nayapataje nibandike? Lazima wajue hatutanii sasa. Hii tunaweza ifanya.
  3. Heparin

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuwaachilia mara moja na bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka wa uchaguzi. Rais wa TEC na Askofu...
  4. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hamjatutendea haki watanzania kumpa Uenyekiti wa CHADEMA taifa Lissu ambaye familia yake yote iko nje mkamuacha Mbowe, mtuombe msamaha

    CHADEMA hamjatutendea haki watanzania kumpa Uenyekiti wa CHADEMA taifa Lisu ambaye familia yake yote iko nje mkamuacha Mbowe mtuombe msamaha Mbowe familia yake yote ipo Tanzania kasoro mtoto mmoja tu ina maana kikiinuka yeye na familia yake wataumia Lakini Lisu aweza jificha ubalozini na...
  5. Heparin

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rose Mayemba: Tumetoka Keko, Lissu hayupo na Magereza hawajui alipo

    Ameandika Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Rose Mayemba: Tumetoka Gereza la Keko muda huu kwa ajili ya kutaka kumuona Mhe Lissu, Askari Magereza wametuambia hayupo, tumeuliza yuko wapi wamesema hata wao hawajui!. Sasa nani kamuondoa bila ruhusa ya Mahakama? Aliyemuondoa amempeleka wapi? Kwanini...
  6. MIMI BABA YENU

    JamiiForums Tanzania Nilisema CHADEMA ya Lissu itakufa rasmi kabla ya 2026 na CHADEMA ya mzee Mbowe itafufuka rasmi soon

    George Michael Uledi! No Reforms No Election ya Ndugu Tundu Antipas Lissu imejiziika RASMI leo kwani hata Serikali ya awamu ya Sita ikileta Reforms nzuri kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani 2025,ni RASMI kuwa Chadema hawawezi kushiriki Uchaguzi Mkuu wowote wa INEC mpaka mwaka...
  7. Kabembe

    JamiiForums Tanzania Hon. Tundu Antipas Lissu and the Fate of Chadema and Democracy in Tanzania

    Tundu Lissu is a prominent Tanzanian lawyer and politician, renowned for his unwavering commitment to democracy and human rights. Born on January 20, 1968, in Ikungi district, Singida, he has played a significant role in the nation's political landscape. Early Life and Education Lissu completed...
  8. Heparin

    JamiiForums Tanzania The government of Tanzania charges the chairman of the main opposition party, Tundu Lissu, with treason in court

    A Tanzanian court on Thursday charged opposition leader Tundu Lissu with treason, which carries the maximum penalty of death, as tensions mount in the East African nation before October elections. Lissu, who survived an assassination attempt in 2017, was arrested at a public rally in the...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yadai Lissu kakamatwa kwa Uhaini, Polisi Ruvuma wasema ni Uchochezi. Mbona mnatuchanganya?

    Wakuu Naomba kuelewa, ni Uhaini au Uchochezi? Mkurugenzi wa Sheria CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi anasema wazi: Tundu Lissu amehojiwa kwa tuhuma za uhaini na yupo kituo kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Central). Lakini huko Ruvuma, Jeshi la Polisi linasema amekamatwa kwa kosa la uchochezi...
  10. Heparin

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu ahojiwa kwa makosa ya uhaini na kutoa taarifa za uongo, agoma kutoa maelezo Polisi

    Leo Aprili 10, 2025, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mwanasheria Tundu Lissu amehojiwa kwenye na Polisi kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa makosa mawili ya Uhaini na kutoa taarifa za Uongo. Pia Lissu hajatoa maelezo yoyote isipokuwa taarifa zake binafsi pekee. Polisi wamesema watampandisha...
  11. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Lissu aliwahi mkejeli Mbowe baada ya kukamatwa na kutoka Gerezani, Eti akiitisha maandamano anaenda yeye na binti yake

    Wahenga Walituasa usitukane Mamba kabla hujavuka mto. Usidharau Wakunga na uzazi ungalipo. https://x.com/YerickoNyerereT/status/1909969609769300194?t=qjWPlAvIia2sU3LbNWK6Vg&s=19 My Take Tuwe na akiba ya maneno,Kuna kesho pia. Tunafukua makaburi LGE2024 - Wafuasi wa CHADEMA walaani kauli za...
  12. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuheshimika na kukubalika kwa Rais Samia mbele ya umma kutategemea pia na namna atakavyomtreat Lissu

    Kwa hivi sasa nchini hakuna mwanasiasa anayekubalika, kueleweka na kupendwa kama Lissu. Hii ni kwa sababu Lissu ni mkweli, anamaanisha mabadiliko, hana uchu wala tamaa ya vyeo na mali bali ana uchungu wa kweli wa Taifa hili. Katika blunders kubwa ambazo rais Samia alizifanya punde tu baada ya...
  13. chiembe

    JamiiForums Tanzania Lissu, Lemma wakamilisha mpango wa kumuondoa Mnyika nafasi ya ukatibu mkuu, wadai haaminiki, ni wa awamu ile

    Za chini ya kapeti ni kwamba mtu anayetiliwa mashaka na kuangaliwa kwa jicho baya ni Mnyika kwa sababu alikuwa na cheo hicho wakati wa More, anahisiwa kuuza siri Mangi amefanikisha kumlisha maneno ya sumu Lissu na ni suala LA muda tu Mnyika atafukuzwa
  14. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Tundu Antipas Lissu ndiye mpinzani wa kweli Tanzania

    Mh. Tundu Antipas Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, ndiye mpinzani wa kweli nchini Tanzania. Serikali ya awamu ya tano (5) chini ya Rais Magufuli, lilitokea jaribio la kutaka kumuua baada ya kushambuliwa kwa risasi akiwa eneo la makazi ya Wabunge wa Bunge...
  15. Bhikalamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu! No reforms no election ni sawa lakini zingatia haya

    Katika kipindi Cha hivi karibuni Chadema wamezindua kampeni ya 'No reform -No election' (NRNE). Lissu kama mwenyekiti na icon ya chama amejikita zaidi kuelezea ubovu wa katiba na Sheria mbovu za uchaguzi, zinazopekelea kutokuwa na chaguzi zilizo Huru na Haki (free and fair elections). Hili ni...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Ipo amsha amsha ambayo Lissu kaifanya na kuifanya CCM kupata wakati mgumu?

    Ukiondoa kutumia muda mwingi kufafanua no reform no election Lissu ameitisha nini serekali ya ccm iliopo madarakani? Ipi amsha amsha ambayo Lissu kaifanya na kuifanya ccm kupata wakati mgumu? Ipi tofauti ya Mbowe na uongozi wa lissu ktk amsha amsha kwa ccm?
  17. M

    JamiiForums Tanzania Akiwa Uganda, Tundu Lissu akosoa vikali viongozi wa Afrika kwa kujilikimbizia madaraka. Amtaja Museveni na Mwalimu Nyerere

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amewakosoa vikali wanasiasa na viongozi wa Afrika kwa tabia yao ya kung'ang'ania madaraka kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika kikao cha kujadili masuala ya demokrasia barani Afrika katika Kitivo cha Sheria, Chuo Kikuu cha...
  18. Mkunazi Njiwa

    JamiiForums Tanzania Ziara yaTundu Lissu Uganda inahusiana na utatu uliopo kati yao Bobi Wine na Robert Amsterdam?

    Robert Amsterdam naye ni wakili wa Bobi Wine.... Imenikumbusha kipindi kile cha kukaribia uchaguzi....zile NGO's ambazo zilitumiwa kupitisha fedha kutoka kwa wafadhili kwenda kwa CHADEMA....na wananchi tukaelezwa kuwa fedha zile zikawa "freezed". Je ni zama mpya na hatua mpya ?!! Trump ,Elon...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu: Tutazunguka nchi nzima kuwaambia Watanzania wasishiriki chaguzi za kutoana Kafara

    Lissu amesema "Tutatembea nchi nzima kuwaambia Watanzania hamuwezi mkawa mnaenda kupiga Kura kwenye chaguzi za kutoana Kafara, tuungeni mkono kubadilisha taratibu za Uchaguzi" Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na...
  20. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Majibizano kati ya Balile na Lissu: Nini maoni yako?

    Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu. Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣 Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣 Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji...
Back
Top Bottom