Nikuambie kitu wewe usiyemwamini Mungu, kwa kweli Mungu anazo silaha nyingi sana za kumnyamazisha mwanadamu mkorofi...
Maji (mafuriko)
Hewa(kimbunga)
Chakula(sumu)
Njaa(ukame)
Nk...
Zote hizi ni silaha zake, aligeuza bahari ya sham ikawameza Wamisri.
Sasa basi unapaswa uwe makini, hata kwikwi...