Incubator zinazo tumia nishati mbadala,Gas na Solar,Mafuta ya taa

Transistor

JF-Expert Member
Aug 8, 2013
970
1,461
TUNAONGEZA AU KUFUNGA MFUMO WA GAS AU MAFUTA YA TAA KWENYE MASHINE ZA KUTOTORESHEA AMBAZO ZINATUMIA UMEME KAMA MFUMO MKUU AU "BACK-UP"
ProductMarketingAdMaker_12102023_180155.png

Kwa mahitaji ya kubadilishiwa au kuongezewa mfumo wa kutumia gas katika Incubator yako wasiliana nasi,gharama inategemeana na ukubwa wa. mashine

Pia tunaunda mashine ndogo za mayai 60 na 120 zinazotumia mafuta ya taa kama backup.
IMG-20230930-WA0004.jpg


IMG-20231007-WA0001.jpg



PIA TUNAUNDA MASHINE HIZI HAPA CHINI KWA UJUMLA

MASHINE ZA KUTOTOA MAYAI NISHATI YA UMEME

Mayai 180 = 650,000/=
Mayai 270= 850,000/=
Mayai 360 = 1,000,000/=
Mayai 450 = 1,200,000/=
Mayai 540 = 1,300,000/=
Mayai 720 = 1,600,000/=
Mayai 900 = 1,800,000/=
Mayai 1410= 2,500,000/=

MASHINE ZA KUTOTOA MAYAI NISHATI YA GAS NA UMEME

Mayai 60=500,000/=(Mafuta yataa)
Mayai 180 = 1,000,000/=
Mayai 270 = 1,100,000/=
Mayai 360 = 1,400,000/=
Mayai 450 = 1,600,000/=
Mayai 540 = 1,800,000/=
Mayai 720 = 1,900,000/=
Mayai 900 = 2,400,000/=
Mayai 1410 = 3,100,000/=


MASHINE ZA KUTOTOA MAYAI NISHATI YA GAS NA SOLAR

Mayai 180 = 1,300,000/=
Mayai 270 = 1,400,000/=
Mayai 360 = 1,700,000/=
Mayai 450 = 1,900,000/=
Mayai 540 = 2,100,000/=
Mayai 720 = 2,200,000/=
Mayai 900 = 2,700,000/=
Mayai 1410 = 3,400,000/=

Tunapatikana Njia ya kwenda Chanika kituo kinaitwa SHERATON

SIMU 0658060755

#kuku #ufugaji #mayai #utotoreshaji #kutotoresha
 
Back
Top Bottom