13. Ask for help based on mutual gain.
Huwa tunasema, ukitaka msaada toa msaada kwanza. Mfano mwenzako anauza vitamba ila ni fundi cherehani, mwambie utakuwa unanunua vitambaa kwake na yeye wakija wateja awe anawaelekeza kushona kwako.
Au kwa kuingia patnership ya kugawana wateja, Nakutangaza...