Habari, wadau nnaomba kuwasilisha hapa jukwaani, kuna aina mbalimbali za trekta hapa bongo, nimeona watu wanazungumzia sana Holland, Ford, Sonalika, Swaraj na mengineyo lakini sijaona sehemu wanayozungumzia Mahindra wakati nikiangalia kwenye mitandao wanasema ndo ya kwanza kwa mauzo.
Maswali
1. Kwanini hii mahindra sio maarufu sana hapa nchini
2. Gharama zake zimekaaje?
3. Vipi kuhusu ubora na uhai wake? yanadumu?
4. vipi suala la spare zake zinapatikana nchini hapa?
5. Kuna changamoto zozote umeziona kwa mtu mwenye uzoefu nazo?
Swali la mwisho kama kuna mtu yeyote ana uzoefu au taarifa zozote kuhusu Deutz Fahr tractors naomba msaada tafadhali wa experience yao...............
Maswali
1. Kwanini hii mahindra sio maarufu sana hapa nchini
2. Gharama zake zimekaaje?
3. Vipi kuhusu ubora na uhai wake? yanadumu?
4. vipi suala la spare zake zinapatikana nchini hapa?
5. Kuna changamoto zozote umeziona kwa mtu mwenye uzoefu nazo?
Swali la mwisho kama kuna mtu yeyote ana uzoefu au taarifa zozote kuhusu Deutz Fahr tractors naomba msaada tafadhali wa experience yao...............