toyota

  1. Nashengena

    Toyota town cruiser

    Habari wa ndugu. Naulizia yard ambayo naweza kupata gari aina ya Totota Town Cruiser. Najua Toyota wanazo ila wanauza mpya na bei zao siziwezi. Nawasilisha
  2. D

    Car4Sale Nauza Toyota Vanguard

    Gari ni yangu mwenyewe Imelipiwa bima kubwa - 1,239,000 Leather seat Safar automotive New tyres Km 79,000 - OG Gari haina kasoro yoyote Bei 31m Call/watsap 0715140001
  3. uhaale

    Toyota Succeed Cabin AC Air Filter

    Wadau kama kichwa cha habari hapo juu, nina succeed juzi kati nikafanya service, nikataka kubadilisha AC AIR FILTER. Ajabu ni kwamba fundi ananiambia succeed hazina mfumo wa AC AIR FILTER. Mafundi nisaidieni hapo.
  4. profesawaaganojipya

    toyota carina ti vs toyota allex

    kati ya toyota carina ti vs toyota allex,ipi imetulia 1.ulaji mafuta 2.upatikanaji spare 3.unafuu wa spare 4.kuhimili rafu rodi 5.uimara wa bodi,engine,gbox etc..
  5. T

    Ushauri kuhusu 1999 Toyota hilux surf 3rz powered

    Dear Wadau, Please kindly find the below snaps and Table 1: 1999 TOYOTA HILUX SURF SSR-X V SELECTION for your information and consultation. Kwangu reliability and durability kwenye gari are the key inputs ndio maana nimechagua 3RZ over 1KZ that's why naomba ushauri kwa wadau wote ambao ni...
  6. N'yadikwa

    Toyota Innova chuma inayoingia sokoni Januari 2023 ikiwa na fuel efficiency ya nguvu

    Linapokuja suala la kuunda ndinga ambazo zina high performance na higher fuel efficiency Mjep huwa hakosei. Na hapo ndipo alipowapiga Westerners na kitu kizito kiasi cha kushindwa kupenya soko la dunia na hasa Afrika kwa kuwa magari yao ni aghali sana kuyatunza. Toyota Innova Hycross: ukipenda...
  7. Superbug

    Naomba kujua ubora na udhaifu wa gari za Toyota town hiace au panya buku

    Wana jf nataka ninunue hii gari naomba kuijua A-Z ubora wake madhaifu yake na bei zake. Asanteni.
  8. profesawaaganojipya

    Nataka kununua Toyota carina TI

    Nataka kununua, toyota carina ti mkononi kwa mtu, naomba ushauri kwa wazoefu wa magari/engine, juu ya 1. Uimara wa gari 2. Upatikanaji wa spare 3. Ulaji mafuta 4. Bei za spare kuwa juu au kawaida 5. Uvumilivu wa gari, barabara za vumbi. 6. Gari kuhimili safari ndefu, mfano Dar to Kigoma.
  9. K

    Car4Sale Toyota Alphard inauzwa Tanga mjini

  10. Mparee2

    Hivi tumeshindwa kushawishi TOYOTA ilete kiwanda Tanzania?

    Kwa takwimu zisizo Rasmi 75% ya magari yote Tanzania ni aina ya TOYOTA. Suala lililobaki ni kuchukua takwimu kutoka TRA ndani ya miaka 10 ni magari mangapi aina ya TOYOTA yaliingia Tanzania (mapya na yaliyotumika) jumlisha na mengine yalikuwepo ambayo bado yapo barabarani + yale yaliyoagizwa...
  11. Elivate

    Car4Sale Toyota IST inauzwa.

    Sold.
  12. Samatime Magari

    Toyota Rav 4 Miss TZ moja ya Karata nzuri walizocheza Toyota

    . Rav 4 hii ni generation ya 3 kwa Rav 4 ambayo ina generation 5, Rav 4 Miss Tz Coded XA Imeanza 2005-2012. Na naweza sema ni moya ya gari ambayo imefanikiwa kuwapa watu feeling kama wanaendesha big SUV.. . Kama ile old gari ni ngumu na himilivu aisee ndo maana wakaiita Land Cruiser mtoto na...
  13. Mwizukulu mgikuru

    Car4Sale Gari zuri Toyota Crown namba D inauzwa

    Gari nzuri ipo mwanza mjini ni Toyota crown namba D..rangi ya silver ipo katika hali nzuri bei ni millioni 10 japo maongezi yapo..0769344686 nipigie tuzungumze.
  14. KndNo1

    Gari za Toyota na kuishiwa mafuta barabarani

    Kwa miaka yangu mingi barabarani.. Gari zinazoongoza kuishiwa na mafuta njiani ni Toyota hasa hasa hizi wanasema zinanusa tuu mafuta.. Yaani mafuta yanaisha yote mpaka tank inanukia kutu.. Pump inashindwa kunusa inakata.. Gari inanusa tuu mafuta ila bado dereva anatembea na kidumu..taa ya low...
  15. The Assassin

    Kwa Tanzania kama pesa yako ni ya kuunga unga, usinunue gari zaidi ya Toyota, hii itakuhakikishia a good resale value

    Kwa Tanzania kama uchumi wako sio wa walamba asali, wala keki ya taifa usinunue brand nyingine ya gari zaidi ya Toyota. Kununua Toyota ni kujihakikishia uwepo wa wateja na pia kupata thamani nzuri ya gari yako pale utakapoamua kuiuza. Kuna watu wapumbavu huwa wanauliza eti kwani unanunua gari...
  16. Bexb

    Nahitaji toyota raum new model

    Habari ya usiku wakuu. Nimekuja tena kijana wenu kwani naamini JF ni uwanja wa suluhisho. 🔥Ninahitaji TOYOTA RAUM NEW MODEL iwe na engine ya 1490cc. 🔥Gari iwe na namba kuanzia DW, DX, DY, na kuendelea. 🔥 Iwe katika hali safi kabisa isiyo na tatizo lolote 🔥ISIWE rangi nyeupe. 🔥Iwe na nyaraka...
  17. Mukulu wa Bakulu

    Toyota imetajwa kuwa gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani ikifuatiwa na BMW, Benz ni gari isiyoaminika kabisa

    American consumer reports inasema Toyota ni gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani zikifuatiwa na BMW. Mazda, Honda na Audi. Magari ya Kimarekani kama Ford, Tesla nk ni magari yasiyoaminika kabisa nchini Marekani.
  18. A

    Rav4 Massawe, vipi vya kuzingatia kuinunua mkononi?

    Habari zenu wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada naomba maelezo kuhusu kununua gari hiyo pichani yaani rav4 1995-2000 mkononi (used)uliyotumika hapa Tanzania ni vitu vipi vya kuzingatia, Budget ni mil 7
  19. Baba Ndubwi

    Inahitajika Toyota RunX

    Wakuu kherii! Inahitajika gari tajwa hapo juu. Iwepo dar. Iwe rangi nyeusi. Tukikubaliana bei nakuja na fundi kukagua gari fast tunafanya biashara. Nicheck 0747282028
  20. E

    Car4Sale Toyota hiace inauzwa

    Ipo gari aina ya Toyota hiace inauzwa kwa bei ya 22M na laki 3 maongezi yapo gari ipo katika hali nzima kabisa...Full a/c Pia gari inapatikana Dar es salaam kuja na fundi hukatazwi karibu sana ndugu mteja. Mawasiliano 0718982463.
Back
Top Bottom