Acha kubweka limepata ajali ulienda ukakuta limepata ajali? Acha kuzungumza maneno ambayo huna uhakika nayo. Huna hela kapuku kaa kimyaMagari yanayofunikwa Kwa kitambaa hapo mbele kwenye dashboard huwa yalipata ajali ya kugongana uso kwa uso.
LikifiKa laki tano nishtue
N sound tu mzee hakuna gar inayotumia mtori zote znatumia mafuta brevis ndio kizaz cha kina crown kama unajilpua unalimilki tu bila shida"Wataalam" wa JF hua wanasema hizo gari zinakunywa mafuta sana..
Mkuu, ni kweli linanyinya zutu au ni sound zao tu?
Gari inayokula mafuta ndo stable sana barabarani pia hasa kwa safari ndefu . Brevis Kwa misele ya mishe in town haifai brevis tia full tank afu piga mwanza mbeya😂😂🤝 utaitaka"Wataalam" wa JF hua wanasema hizo gari zinakunywa mafuta sana..
Mkuu, ni kweli linanyinya zutu au ni sound zao tu?
Ahaa kumbe hadi kujilipua?N sound tu mzee hakuna gar inayotumia mtori zote znatumia mafuta brevis ndio kizaz cha kina crown kama unajilpua unalimilki tu bila shida
"Wataalam" wa JF hua wanasema hizo gari zinakunywa mafuta sana..
Mkuu, ni kweli linanyinya zutu au ni sound zao tu?
Kwakua ishatumika sana pigia tu 7km per literAhaa kumbe hadi kujilipua?
Ahsante.
Nilitamani kama inawezekana uweke average ya hyo gariunayouza specifically inatembea km ngapi kwa lita ili at least mtu unakua unajua unaenda kukutana na nini.
Na pia kama inatumia mtori uweke ni mtori wa ng'ombe au mbuzi na ni kias gan cha ndizi na nyama.
Duh.. sasa nakua kama naendesha Land cruiser Gx?Kwakua ishatumika sana pigia tu 7km per liter
Gx ni diesel sio sawa na ni I hiliDuh.. sasa nakua kama naendesha Land cruiser Gx?
Toyota Brevis Used Inauzwa Mkoani Mwanza.
Inatembea vizuri haina kipengele
Bei 2,500,000.
Mazungumzo ya Simu ndiyo mwafaka
SOLD☑️
kiongozi unaweza kuweka nambaToyota Brevis Used Inauzwa Mkoani Mwanza.
Inatembea vizuri haina kipengele
Bei 2,500,000.
Mazungumzo ya Simu ndiyo mwafaka
SOLD☑️