muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,511
- 3,477
Habari wakuu,
Nilinunua gari langu tangu mwaka 2016 ilipofika mwaka 2017 lilianza tatizo lakuwa linakomea gear namba 3. Nilikaa nalo kwa muda karibia miezi sita ndiyo kuja kupata ufumbuzi ni knock sensor.
Nilitafuta used zikawekwa na tangu siku hiyo gari likapona na kurudi uhalisia wake. Tatizo lilichukua muda mrefu kwa sababu naishi mkoani na mimi kutaka fundi huku mpaka nijiridhishe sana ndiyio niamini kwani najua magonjwa mengi ya magari huwa yanatokea garage.
Mwaka jana mwezi wa 12 lilianza tena shida, nilikuja kwenda garage moja nikafanya diagnosis likaonekana sensor kama 5 hivi zinashida, nilizitoa nikaenda mwanza kutafuta zile zifananazo na hizo kwa kutumia part namba nikakosa (mimi kama layman napenda sana kutafuta nisivyo na utaalamu navyo kwa kutumia part namba kutoka kwenye kifaa original nilichokitoa).
Nilikuja kupata (used tena kwa kuagiza kutoka kwa wapemba Ilala) lakini inaonyesha ubora wake siyo mzuri kwani na zingine nilipewa ambazo part namba ni tofauti ila wao wakashauri zinafaa. Tatizo langu limetatuliwa kidogo sana lakini speed ya gari langu sasa haizidi 50, tena kwa kubembeleza. Pump, plug na coil zote tumeangalia lakini ikaonekana hazina shida.
Malengo ya uzi huu ni kupata ufahamu ninapoweza kupata sensor hizi mpya tena genuine (Dar) ili niweze kununua. Na nikiweka hizo ndipo ninaweza kuangalia performance yake na kuangalia diagnosis upya kujiridhisha kama gonjwa limepona au kunamagonjwa mengine nyemelezi ambayo sijaya note.
Hapo chini ni list ya vifaa ninavyovihitaji lakini pia na picha zake. Kuagiza china naona kama itachukua muda.
Asanteni.
Nilinunua gari langu tangu mwaka 2016 ilipofika mwaka 2017 lilianza tatizo lakuwa linakomea gear namba 3. Nilikaa nalo kwa muda karibia miezi sita ndiyo kuja kupata ufumbuzi ni knock sensor.
Nilitafuta used zikawekwa na tangu siku hiyo gari likapona na kurudi uhalisia wake. Tatizo lilichukua muda mrefu kwa sababu naishi mkoani na mimi kutaka fundi huku mpaka nijiridhishe sana ndiyio niamini kwani najua magonjwa mengi ya magari huwa yanatokea garage.
Mwaka jana mwezi wa 12 lilianza tena shida, nilikuja kwenda garage moja nikafanya diagnosis likaonekana sensor kama 5 hivi zinashida, nilizitoa nikaenda mwanza kutafuta zile zifananazo na hizo kwa kutumia part namba nikakosa (mimi kama layman napenda sana kutafuta nisivyo na utaalamu navyo kwa kutumia part namba kutoka kwenye kifaa original nilichokitoa).
Nilikuja kupata (used tena kwa kuagiza kutoka kwa wapemba Ilala) lakini inaonyesha ubora wake siyo mzuri kwani na zingine nilipewa ambazo part namba ni tofauti ila wao wakashauri zinafaa. Tatizo langu limetatuliwa kidogo sana lakini speed ya gari langu sasa haizidi 50, tena kwa kubembeleza. Pump, plug na coil zote tumeangalia lakini ikaonekana hazina shida.
Malengo ya uzi huu ni kupata ufahamu ninapoweza kupata sensor hizi mpya tena genuine (Dar) ili niweze kununua. Na nikiweka hizo ndipo ninaweza kuangalia performance yake na kuangalia diagnosis upya kujiridhisha kama gonjwa limepona au kunamagonjwa mengine nyemelezi ambayo sijaya note.
Hapo chini ni list ya vifaa ninavyovihitaji lakini pia na picha zake. Kuagiza china naona kama itachukua muda.
Asanteni.
- Oil pressure valve engine variable timing 15330 20010 0110 na
- Oil pressure valve engine variable timing 15340 20010 0120
- Oxygen sensor (air fuel sensor) 89465 48010
- Oxygen sensor (Lambda sensor) (zipo mbili zote zikiwa na part namba moja ) 89467 48110