homomorphism
Member
- Feb 12, 2017
- 62
- 53
Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo
Naomba kufahamu ubora na changamoto za Passo.
Picha: Toyota Passo
Naomba kufahamu ubora na changamoto za Passo.
Picha: Toyota Passo
Gari dogo nje ndani pana. Kale ka cc990 mafuta kidogo na ac juu unapiga misele ya kutosha ika hakana nguvu na ukiwasha ac unasikia kabisa nguvu yapungua.Naomba kufahamu ubora na changamoto za passo.
Shuklani kiongozi masimango yapo tu sitojali.Gari dogo nje ndani pana. Kale ka cc990 mafuta kidogo na ac juu unapiga misele ya kutosha ika hakana nguvu na ukiwasha ac unasikia kabisa nguvu yapungua...
Mkuu paso ni baiskeli?Bro nunua gari acha ubahiri usio na faida, otherwise kunywa bia hio pesa, passo unaipeleka wapi
Sasa kidude kina cc 900, unaenda nacho wapi hata Dar to Bagamoyo kinafika kipo hoi? Wabongo tuache vitu rahisi... Acheni uoga wa maisha hakuna gari isiyotumia mafutaMkuu paso ni baiskeli?
😅 😅 😅 😅Sasa kidude kina cc 900, unaenda nacho wapi hata Dar to Bagamoyo kinafika kipo hoi? Wabongo tuache vitu rahisi... Acheni uoga wa maisha hakuna gari isiyotumia mafuta
Umemaliza chief.Gari dogo nje ndani pana. Kale ka cc990 mafuta kidogo na ac juu unapiga misele ya kutosha ika hakana nguvu na ukiwasha ac unasikia kabisa nguvu yapungua.
...
Mkuu niuzie iyo kama hutojali, 3MMwaka wa tatu huu, route za kutoka:
- Kiluvya kwenda Makumbusho,
- Makumbusho kwenda Makongo juu.
Nadunda mjini, nakula A.C, mziki mzuri.
Ukisikiliza maneno ya "matajiri" wa JF, utakufa bila kumiliki gari.
View attachment 2664993
Sina mpango wa kuuza.Mkuu niuzie iyo kama hutojali, 3M
Sina mpango wa kuuza.