Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

Mathayo Christopher

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
429
Reaction score
329
Ifike wakati serikali iweke bei elekezi kwa mazao yote kama inavyofanya kwa zao la korosho. Kwa jinsi bei ya mbaazi ilivyo kwa mwaka 2025 hakiwezi kupunguza umasikini wa kipato kwa kuwa bidhaa ghafi bei zake zipo chini ukilinganisha na bidhaa za madukani. Haiingii akilinini mkulima auze kilo 4 za mbaazi ili apate sukari kg 1
 

Attachments

  • img_1_1756230445548.jpg
    img_1_1756230445548.jpg
    159.8 KB · Views: 42
Afadhali hao huku Kigoma tunauza kwa shilingi 400 per kg yaani hata gharama zako haziendi🙂
 
Ifike wakati serikali iweke bei elekezi kwa mazao yote kama inavyofanya kwa zao la korosho. Kwa jinsi bei ya mbaazi ilivyo kwa mwaka 2025 hakiwezi kupunguza umasikini wa kipato kwa kuwa bidhaa ghafi bei zake zipo chini ukilinganisha na bidhaa za madukani. Haiingii akilinini mkulima auze kilo 4 za mbaazi ili apate sukari kg 1
Hao walio lima walipiga hesabu kabla ya kuingia shambani? na pia wali forciwa kulima hizo Mbazi au walilima kwa kupend? Kwa hili sioni kosa la Serikali.

kulima kwa kufuata mkumbo,
 
Hao walio lima walipiga hesabu kabla ya kuingia shambani? na pia wali forciwa kulima hizo Mbazi au walilima kwa kupend? Kwa hili sioni kosa la Serikali.

kulima kwa kufuata mkumbo,
Kabla ya kukomenti unachokiona sawa tafakari sana ni kaya ngapi zimeathiriwa ikiwa kaya nyingi hitegemea kilimo
 
Ifike wakati serikali iweke bei elekezi kwa mazao yote kama inavyofanya kwa zao la korosho. Kwa jinsi bei ya mbaazi ilivyo kwa mwaka 2025 hakiwezi kupunguza umasikini wa kipato kwa kuwa bidhaa ghafi bei zake zipo chini ukilinganisha na bidhaa za madukani. Haiingii akilinini mkulima auze kilo 4 za mbaazi ili apate sukari kg 1
Kwanini haina tija?
 
tumeongeza zaidi ya bilioni 900 kwenye kilimo...

hazijafika kwenye mbaazi?
 
Back
Top Bottom