Bila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu
Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi.
Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza
UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
Yaani nchi ndogo zimewaonesha wanaojiona miamba ya soka Afrika kuwa hakuna mwamba wa milele wote ni wachumba tu mbele ya underdog (team ndogo zisizo maarufu au kuonekana na uwezo wa soka).
Timu kubwa kama Misri, Ghana, Tunisia, Cameroon zimegaragazwa na underdogs kama Namibia, Guinea, Msumbiji...
Habari wana Jukwaa La Michezo,
Mwaka 2023 unakata huu,
Tumetoka Mbali ulikua Mwaka wa Matukio Mengii ila Leo Naomba niwaalike wote hapa kukumbushana Ni Mchezo gani Kutoka kwa Team yako pendwa ya Ligi kuu ya NBC hutausahau.
Ulikukosha ukakupa Raha.
Ukafurahi ukaona Maisha ya Bongo ni kama ya...
Tukielekea uwanjan kesho naomba tm wydad tujuane. Mapema jamani
Ntakuwa.kwenye kontena letuu pendwaa nyumaa ya.jezi ya wydad nimeandika pdidy
Cya on time saa saba ntakuwa taifa napasha safari zetu nje kontena
Adbest
wydady
Rgds. Pdidy
Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa...
Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti...
Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote.
Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa
Waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998.
Position: Team Leader
Contract type: National employment contract
The Team Leader will assume the role of Sector Leader for Agrifood in SNV Tanzania, in which capacity he/ she will participate as a key member of SNV’s global agrifood technical team, and also represent the agrifood sector on the...
19 November 2023
Dar es Salaam, Tanzanie
Jijini Dar es Salaam timu ya taifa ya Morocco inaendelea na mazoezi ya utayari kukabiliana na timu ya Tanzania Taifa Stars
المنتخب الوطني يواصل استعداداته للقاء تنزانيا
https://m.youtube.com/watch?v=OUTYAaC_-Yk
Timu hiyo ya Africa ya Kaskazini...
Tangu aondoke JPM duniani hakuna team JPM ilikua na amani lakini nawahakikishia kila Team JPM leo moyo wake utalala na amani kubwa sana.
Uteuzi wa Makonda Umeibua vigelegele na shangwe sio za kawaida mioyoni mwa Team JPM.
Hakika Mama amejua kugusa Mioyo ya Watu, Kwa Shangwe hili sipati tabu...
Naona Clouds media wametuma wawakilishi wao kwenda Rwanda Kigali kwenye usiku wa tuzo za Trace Music Awards Festival zinazofanyika hii leo.
Clouds media kupitia team XXL naona wameshikilia sana bango hili suala ,yani haipiti dakika wameshampost Diamond Platnumz, ukifumba na kufumbua...
Habari wadau watalaamu
Ningependa kufahamu kama hiyo tittle and its content are
1. Researchable
2. Punctually Collect
Maana nimeSubmit sehem mbili ambapo sehem moja imepokelewa vizuri wakati sehem nyingine imekataliwa kabisa kuwa imekosewa.
NB: TZ-CERT (Tanzania Computer Emergency Response...
Position: HR & Admin Team Leader
Overall purpose of the role:
DRC Tanzania has recently identified the need for further strengthening of its human resources functions, with an especial focus on strengthening the HR capacities in its offices in Kigoma region. It’s DRC ambition to attract and...
Singida Fountain Gate FC was amazing Leo. Despite the fact that wapo economically below the top 3. I I'm very happy for them. Congratulations to them. Good luck in Egypt.
Position: Assistant Team Lead
About Us
The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. Every year we give 1,800 students with free, quality education, 100’s of graduates with access to higher education and provide more than 20,000 government school students...
Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri.
Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya urais CCM hata kama itampelekea kufutwa uanachama!?
Je, top three inakubaliana kuhusu...
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria.
Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo.
Kanda ya Ziwa...
Moja kati marais ambao wanakumbukwa kwa miradi na kulinda maslahi ya wanyonge wa Tanzania ni hayati John Magufuli, huyu jamaa itachukua muda sana kuja kupata Rais kama huyu mchapa kazi.
Nikiangalia jinsi nchi inavyotafunwa na wachache namkumbuka sana huyu mwamba, kwa sasa uzembe serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.