team

  1. BlackPanther

    Morocco National Football Team (The Atlas Lions) Special Thread

    Moderator kuna thread mbili zimeniijia, naomba ufute hii ambayo haina chochote ndani yake
  2. Erythrocyte

    Mpaka sasa Taifa Stars ndiyo Team Mbovu zaidi kwenye Afcon

    Bila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi. Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
  3. M

    Kwa jinsi AFCON inavyokwenda, sitashangaa underdog team kunyakua taji hilo la Afrika mwaka huu

    Yaani nchi ndogo zimewaonesha wanaojiona miamba ya soka Afrika kuwa hakuna mwamba wa milele wote ni wachumba tu mbele ya underdog (team ndogo zisizo maarufu au kuonekana na uwezo wa soka). Timu kubwa kama Misri, Ghana, Tunisia, Cameroon zimegaragazwa na underdogs kama Namibia, Guinea, Msumbiji...
  4. THE FIRST BORN

    Ni Match gani Ilikukosha kutoka Kwa Team yako ya Ligi kuu ya NBC Mwaka huu 2023?

    Habari wana Jukwaa La Michezo, Mwaka 2023 unakata huu, Tumetoka Mbali ulikua Mwaka wa Matukio Mengii ila Leo Naomba niwaalike wote hapa kukumbushana Ni Mchezo gani Kutoka kwa Team yako pendwa ya Ligi kuu ya NBC hutausahau. Ulikukosha ukakupa Raha. Ukafurahi ukaona Maisha ya Bongo ni kama ya...
  5. Pdidy

    Team wydad tujuane hapa pls tupange mikakati ya kesho....

    Tukielekea uwanjan kesho naomba tm wydad tujuane. Mapema jamani Ntakuwa.kwenye kontena letuu pendwaa nyumaa ya.jezi ya wydad nimeandika pdidy Cya on time saa saba ntakuwa taifa napasha safari zetu nje kontena Adbest wydady Rgds. Pdidy
  6. Jaji Mfawidhi

    CCM imeanza kampeni uchaguzi 2025. Jokate amuombea kura Samia, apiga magoti

    Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa Katibu Mkuu wa...
  7. Mzalendo Uchwara

    2025 ndani ya CCM ni team Lowassa + team Magufuli vs. Team Msoga

    Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii. Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti...
  8. S

    Kikosi bora cha team ya Taifa, Afrika nzima haijawahi tokea hii combination

    Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote. Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa Waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998.
  9. Jamii Opportunities

    Team Leader at SNV November, 2023

    Position: Team Leader Contract type: National employment contract The Team Leader will assume the role of Sector Leader for Agrifood in SNV Tanzania, in which capacity he/ she will participate as a key member of SNV’s global agrifood technical team, and also represent the agrifood sector on the...
  10. B

    The Moroccan National Team Continues It's Preparations To Meet Tanzanian side

    19 November 2023 Dar es Salaam, Tanzanie Jijini Dar es Salaam timu ya taifa ya Morocco inaendelea na mazoezi ya utayari kukabiliana na timu ya Tanzania Taifa Stars المنتخب الوطني يواصل استعداداته للقاء تنزانيا https://m.youtube.com/watch?v=OUTYAaC_-Yk Timu hiyo ya Africa ya Kaskazini...
  11. THE FIRST BORN

    Team Ndogo na Mbovu ambazo zimekutana na Kipigo Kizito Hadi saiv kwenye NBC Msimu wa 2023/2024

    Zifuatazo ni Team Ndogo zilizokula Kichapo Kikubwa Msimu huu wa NBC 2023/2024
  12. C

    Team Magufuli vs Uteuzi wa Makonda

    Tangu aondoke JPM duniani hakuna team JPM ilikua na amani lakini nawahakikishia kila Team JPM leo moyo wake utalala na amani kubwa sana. Uteuzi wa Makonda Umeibua vigelegele na shangwe sio za kawaida mioyoni mwa Team JPM. Hakika Mama amejua kugusa Mioyo ya Watu, Kwa Shangwe hili sipati tabu...
  13. Hance Mtanashati

    Naona Team XXL wameenda Rwanda kuwanga kweupe

    Naona Clouds media wametuma wawakilishi wao kwenda Rwanda Kigali kwenye usiku wa tuzo za Trace Music Awards Festival zinazofanyika hii leo. Clouds media kupitia team XXL naona wameshikilia sana bango hili suala ,yani haipiti dakika wameshampost Diamond Platnumz, ukifumba na kufumbua...
  14. M

    Assessment of the Role of Incident Management Team in Cybersecurity in Tanzania:The case of TZ-CERT

    Habari wadau watalaamu Ningependa kufahamu kama hiyo tittle and its content are 1. Researchable 2. Punctually Collect Maana nimeSubmit sehem mbili ambapo sehem moja imepokelewa vizuri wakati sehem nyingine imekataliwa kabisa kuwa imekosewa. NB: TZ-CERT (Tanzania Computer Emergency Response...
  15. Jamii Opportunities

    HR & Admin Team Leader at Danish Refugee Council September, 2023

    Position: HR & Admin Team Leader Overall purpose of the role: DRC Tanzania has recently identified the need for further strengthening of its human resources functions, with an especial focus on strengthening the HR capacities in its offices in Kigoma region. It’s DRC ambition to attract and...
  16. Danielmwasi

    Congratulations Singida Fountain Gate FC, I'm impressed

    Singida Fountain Gate FC was amazing Leo. Despite the fact that wapo economically below the top 3. I I'm very happy for them. Congratulations to them. Good luck in Egypt.
  17. Jamii Opportunities

    Assistant Team Lead at School of St Jude

    Position: Assistant Team Lead About Us The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. Every year we give 1,800 students with free, quality education, 100’s of graduates with access to higher education and provide more than 20,000 government school students...
  18. Mwande na Mndewa

    Team Magufuli imerudishwa ili kufanikisha ushindi wa 2025 uwe kama wa 2020?

    Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri. Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya urais CCM hata kama itampelekea kufutwa uanachama!? Je, top three inakubaliana kuhusu...
  19. Jaji Mfawidhi

    Kuna siri gani Rais kujaza wanasheria kwenye Baraza la Mawaziri?

    Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria. Kapten kashtuka, ameamua kukaa kimya, naye anajipanga anataka namba 2025, wacha inyeshe tujua pavujapo. Kanda ya Ziwa...
  20. 2019

    Legacy ya Hayati Magufuli haitofutika mbele ya wanyonge ila bado hakuwa malaika, alikosea pia

    Moja kati marais ambao wanakumbukwa kwa miradi na kulinda maslahi ya wanyonge wa Tanzania ni hayati John Magufuli, huyu jamaa itachukua muda sana kuja kupata Rais kama huyu mchapa kazi. Nikiangalia jinsi nchi inavyotafunwa na wachache namkumbuka sana huyu mwamba, kwa sasa uzembe serikali...
Back
Top Bottom