1. Hakuna Polisi wakusimamia uchaguzi na kuzuia kwa wakati mmoja, hakuna na hakuna.
2. Watu tukiandamana, kwa hofu ya kuanguka CCM itasema wafuasi wake nao watoke barabarani waandamane kuiunga mkono.
3. Watu wakijaa Barabarani kwa pande zote, Jeshi officially linabeba nchi.
No reform no...