tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. BigTall

    GE2025 Wakongwe wa muziki Arusha waahidi makubwa Tanzania Samia Connect

    Tanzania Samia Connect inayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 21- 23, 2025 inatarajiwa kuwakutanisha katika jukwaa moja wasanii zaidi ya 50 kutoka ndani na nje ya Mkoa wa Arusha, ikiwemo wakongwe wa muziki kutoka Jijini Arusha Fido Vato anayetamba na wimbo wa 'Chuga hiyo' pamoja na JCB aliyevuma...
  2. Pdidy

    Hivi mabasi ya shule yanakuja lini Tanzania aisee wanavyoteseka kama sio kuonywa ningewabeba mpaka leo

    Nilisoma kwa taabu sana Hasa upande wa usafiri Nilipofanikiwa usafiri nkaanza kuwabeba wanafunzi ninaokutana nao na wengi waliishia mwenge ama lugalo shuleni Siku nikampandisha ndugu yangu mmoja anaenda lugalo kikazi Akaniambia vitu nikashtuka sana sana Kaka najua una upendo sana na noah...
  3. Yoda

    TBL na Serengeti tutengenezeeni local ciders(Savannah) za Tanzania kama Kenya

    Kama ni soko la cider Tanzania tayari liko kubwa sana kwa sababu karibia wadada wote wa mjini kila ukiwagusa kinywaji wanachotaka kwanza ni Savannah, hata wakaka wa mjini wengi tu wanapenda Savannah. Kama ni apples za kutengenezea cider zimejaa tele Njombe na Lushoto, mkitaka mtaletewa za...
  4. S

    Utawala dhalimu wa kifamilia unanukia Tanzania (kama ule wa North Korea!!)

    Soma hapa chini halafu uniambie. Je, Tanzania hatujakaribia kutawaliwa na familia? MMFUMO WA UONGOZI WA KOREA KASKAZINI. North Korea's system of leadership is a hereditary dictatorship, with power concentrated in the Kim family. The current leader, Kim Jong-un, is the third generation of his...
  5. Jitu la Mara

    Kipi kifanyike ili elimu ya Tanzania iwe na tija kwa wasomi?

    Machozi, majuto na kuchanganyikiwa kwa wasomi wanaomaliza vyuoni kukosa kazi mtaani. Ndoto zao kuishia kuwa simulizi ndani ya nafsi zao ni msiba mkubwa kwa Taifa letu. Ni wakati sasa wa nchi kujipanga upya. Badala ya kushusha kila mwaka kontena la wasomi wasio na pakwenda, nchi itafakari...
  6. mcTobby

    Ukiwa Business Tycoon kwa Tanzania mfumo unakulazimisha uwe upande ule

    Yeah kuna mdau nilikuwa napiga naye stori hapa border,akaniuliza swali la kizushi . Mbona wafanyabiashara wakubwa (business tycoons) na/ sio wajasiriamali. Kwamba mbona almost wote hao wapo upande wa chama tawala? Ni baada ya kusikia kuna mtu kasapoti chama kwa bilioni 100.. nikamjibu...
  7. funaku

    Whistoblower and witness protection act in Tanzania

    Wanasheria mliomo humu je tunaifahamu hii Sheria ya kuwalinda mashahidi? Tupeni ufafanuzi kwa manufaa ya umma
  8. Pdidy

    Final CHAN Tanzania vs 🇰🇪....Mshindi n Kenya niko pale kwa Massawe wakala

    Sio habari nzuri na huwa sipendi kutia watu matumaini Naandika kile nachokiamin Naoona final ya chan Tanzania vs 🇰🇪 Ft Kenya anakuwa bingwa All dbest Mawazoo haya n yangu hayafungamani na upande wowote pls
  9. Blasio Kachuchu

    Miaka 28 ya Benki ya Exim Tanzania: Safari ya Ukuaji, Ubunifu na Kusonga Mbele Pamoja na Wewe

    Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Exim Bank Tanzania, Jaffari Matundu (kulia), akikata keki wakati wa maadhimisho ya miaka 28 ya benki hiyo yaliyofanyika makao makuu yake jijini Dar es Salaam, Agosti 15, 2025. Kushoto ni Eugen Massawe, Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi ya benki hiyo. Afisa Mtendaji Mkuu...
  10. Msanii

    Nawatakia majaji na mahakimu wote nchini Tanzania amani

    Binafsi ninawatakia amani kwenu Majaji wote na mahakimu wote wa mahakama zetu na mabaraza yote ya haki nchini. Amani, baraka na afya tele viweke makazi kwenu mmoja mmoja iwapo mnakidhi bila kupunguza hata moja katika haya yafuatayo:- Meza yako inatoa hukumu ya haki Hauruhusu mahakama yako...
  11. GENTAMYCINE

    Nasikia Sigara inayopendwa na pia isiyopendwa na Watanzania wengi ya 'SM' inaweza Kutoweka kabisa Tanzania na sasa wala haionekani tena

    Geniuses wangu wakubwa hapa JamiiForums mrangi, King Kong III, adriz, Benny Haraba etc kulikoni Fegi hii imeadimika?
  12. figganigga

    Hakika Tanzania ni Tajiri hadi maji yanawaka

    Halafu Matajiri wanamuweka Rais wetu mfukoni kwa Gharama ya Bilioni 10 kwa mgongo wa Harambee ili waendelee kuchota maji. Hata hawataki tujue maji yanawaka
  13. A

    Haya mambo ya kupangiana kucheza usiku TFF mwisho ikatae kuburuzwa

    Sisi ndio Host kwenye haya mashindano...na mwenyeji ana haki zake... Haki zake ni pamoja na kuhusishwa kupanga muda sahihi wa mechi kuchezwa katika nchi yake. Kucheza saa mbili usiku sio desturi yetu...hili ni jambo geni..na hata inapotulazimu kucheza bas iwe as emergency...isiwe ndio...
  14. M

    Naweza kusema wilaya ya Kigamboni ndio inaongoza kwa mgao wa umeme nchini Tanzania.

    Kwa sasa naweza kusema kuwa wilaya ya kigamboni ndio inaweza kuwa kinara wa kukata umeme nchini au mkoa wa DSM, Kwa wiki umeme kukatika si chini ya mara sita kila baada ya masaa sita kuna tangazo la kukatiwa umeme. Maeneo kama Kisarawe II, KIBADA,Mwasonga nk ni maeneo ambayo TANESCO Kigamboni...
  15. Moto wa volcano

    Tanzania hakuna mji una utulivu kuliko Tanga

    Hivi Tanzania kuna mji una utulivu kuliko Tanga ? Halafu wanapenda mapenzi sana😃 saa 1 ya usiku haukuti mtu barabarani , soda zao , usafiri wa pikipiki hauukuti popote
  16. Zee la madawa

    Watu wa kusini( Lindi na Mtwara) ndiyo watu wanaongoza kuwa na akili Tanzania mzima

    Ndiyo huo uhalisia watu wa kusini hasa hasa Lindi na Mtwara ndiyo watu wanaongoza kuwa na akili Tanzania mzima yaani hawa watu wa kusini ndiyo gamer changer Tanzania mzima tu ila ndiyo hii nchi watu wanakaza mafuvu tu kutokana na ubinafsi wao wewe mtu kama Mkapa ona baada ya kukabidhiwa nchi tu...
  17. U

    Sababu Kuu Upinzani kushindwa kushika Dola Tanzania ni Ubinafsi na Ukosefu wa Maadili kwa Viongozi wake, dawa ya dhambi hii ni kuikubali na kuuikemea

    Madai ya manyanyaso hayana ukweli bali dawa ni kabadilika
  18. Yoda

    Kwanini mechi za CHAN zimekosa hamasa na mahudhurio mazuri viwanjani Tanzania?

    Tanzania hujinasibu kama taifa linalohusudu zaidi mpira na la viwango vya juu vya mpira Africa Mashariki, ajabu ni kwamba mahudhurio katika viwanjani katika CHAN ni haba sana na tunazidiwa hadi na taifa la wanariadha la Kenya! Nimeshangaa hata mechi za timu ya Ibrah Traore (Burkinafaso)...
  19. econonist

    Tanzania ya Sasa inamuhitaji mtu kama Alexis Kanyarwenge

    Jina la Kanali Alexis Kanyarwenge sio maarufu Sana Kwa Sasa kwenye siasa za Maziwa Makuu au Afrika Mashariki, ila ndio chimbuko la mabadiliko yaliyopo Rwanda kwa Sasa. Kanali Alexis Kanyarwenge alikuwa muhutu katika jeshi la Rwanda kipindi Cha utawala wa Rais Habrarimana. Rais Habrarimana...
  20. Mende mdudu

    Kujazwa kwa wazanzibari kikosi cha kwanza Tanzania vs central Africa

    Kikosi kilicho anza leo kimesheheni wanzazibari, pipino , fey, shekhan, Ibrahim baka, na yule straiker alie funga goli likawa offside. Tulitegemea aya nimashindano ya ya kuonyesha vipaji vya watanganyika. Je ni Zanzibar heroes ndo imefuzu chan kuna wataalum wengi wametemwa kutoka bara mtu kama...
Back
Top Bottom