Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Tanzania Samia Connect inayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 21- 23, 2025 inatarajiwa kuwakutanisha katika jukwaa moja wasanii zaidi ya 50 kutoka ndani na nje ya Mkoa wa Arusha, ikiwemo wakongwe wa muziki kutoka Jijini Arusha Fido Vato anayetamba na wimbo wa 'Chuga hiyo' pamoja na JCB aliyevuma...
Nilisoma kwa taabu sana
Hasa upande wa usafiri
Nilipofanikiwa usafiri nkaanza kuwabeba wanafunzi ninaokutana nao na wengi waliishia mwenge ama lugalo shuleni
Siku nikampandisha ndugu yangu mmoja anaenda lugalo kikazi
Akaniambia vitu nikashtuka sana sana
Kaka najua una upendo sana na noah...
Kama ni soko la cider Tanzania tayari liko kubwa sana kwa sababu karibia wadada wote wa mjini kila ukiwagusa kinywaji wanachotaka kwanza ni Savannah, hata wakaka wa mjini wengi tu wanapenda Savannah. Kama ni apples za kutengenezea cider zimejaa tele Njombe na Lushoto, mkitaka mtaletewa za...
Soma hapa chini halafu uniambie. Je, Tanzania hatujakaribia kutawaliwa na familia?
MMFUMO WA UONGOZI WA KOREA KASKAZINI.
North Korea's system of leadership is a hereditary dictatorship, with power concentrated in the Kim family. The current leader, Kim Jong-un, is the third generation of his...
Machozi, majuto na kuchanganyikiwa kwa wasomi wanaomaliza vyuoni kukosa kazi mtaani. Ndoto zao kuishia kuwa simulizi ndani ya nafsi zao ni msiba mkubwa kwa Taifa letu. Ni wakati sasa wa nchi kujipanga upya. Badala ya kushusha kila mwaka kontena la wasomi wasio na pakwenda, nchi itafakari...
Yeah kuna mdau nilikuwa napiga naye stori hapa border,akaniuliza swali la kizushi . Mbona wafanyabiashara wakubwa (business tycoons) na/ sio wajasiriamali. Kwamba mbona almost wote hao wapo upande wa chama tawala?
Ni baada ya kusikia kuna mtu kasapoti chama kwa bilioni 100.. nikamjibu...
Sio habari nzuri na huwa sipendi kutia watu matumaini
Naandika kile nachokiamin
Naoona final ya chan
Tanzania vs 🇰🇪
Ft
Kenya anakuwa bingwa
All dbest
Mawazoo haya n yangu hayafungamani na upande wowote pls
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Exim Bank Tanzania, Jaffari Matundu (kulia), akikata keki wakati wa maadhimisho ya miaka 28 ya benki hiyo yaliyofanyika makao makuu yake jijini Dar es Salaam, Agosti 15, 2025. Kushoto ni Eugen Massawe, Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi ya benki hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu...
Binafsi ninawatakia amani kwenu Majaji wote na mahakimu wote wa mahakama zetu na mabaraza yote ya haki nchini.
Amani, baraka na afya tele viweke makazi kwenu mmoja mmoja iwapo mnakidhi bila kupunguza hata moja katika haya yafuatayo:-
Meza yako inatoa hukumu ya haki
Hauruhusu mahakama yako...
Halafu Matajiri wanamuweka Rais wetu mfukoni kwa Gharama ya Bilioni 10 kwa mgongo wa Harambee ili waendelee kuchota maji.
Hata hawataki tujue maji yanawaka
Sisi ndio Host kwenye haya mashindano...na mwenyeji ana haki zake...
Haki zake ni pamoja na kuhusishwa kupanga muda sahihi wa mechi kuchezwa katika nchi yake.
Kucheza saa mbili usiku sio desturi yetu...hili ni jambo geni..na hata inapotulazimu kucheza bas iwe as emergency...isiwe ndio...
Kwa sasa naweza kusema kuwa wilaya ya kigamboni ndio inaweza kuwa kinara wa kukata umeme nchini au mkoa wa DSM,
Kwa wiki umeme kukatika si chini ya mara sita kila baada ya masaa sita kuna tangazo la kukatiwa umeme.
Maeneo kama Kisarawe II, KIBADA,Mwasonga nk ni maeneo ambayo TANESCO Kigamboni...
Hivi Tanzania kuna mji una utulivu kuliko Tanga ? Halafu wanapenda mapenzi sana😃 saa 1 ya usiku haukuti mtu barabarani , soda zao , usafiri wa pikipiki hauukuti popote
Ndiyo huo uhalisia watu wa kusini hasa hasa Lindi na Mtwara ndiyo watu wanaongoza kuwa na akili Tanzania mzima yaani hawa watu wa kusini ndiyo gamer changer Tanzania mzima tu ila ndiyo hii nchi watu wanakaza mafuvu tu kutokana na ubinafsi wao wewe mtu kama Mkapa ona baada ya kukabidhiwa nchi tu...
Tanzania hujinasibu kama taifa linalohusudu zaidi mpira na la viwango vya juu vya mpira Africa Mashariki, ajabu ni kwamba mahudhurio katika viwanjani katika CHAN ni haba sana na tunazidiwa hadi na taifa la wanariadha la Kenya!
Nimeshangaa hata mechi za timu ya Ibrah Traore (Burkinafaso)...
Jina la Kanali Alexis Kanyarwenge sio maarufu Sana Kwa Sasa kwenye siasa za Maziwa Makuu au Afrika Mashariki, ila ndio chimbuko la mabadiliko yaliyopo Rwanda kwa Sasa.
Kanali Alexis Kanyarwenge alikuwa muhutu katika jeshi la Rwanda kipindi Cha utawala wa Rais Habrarimana. Rais Habrarimana...
Kikosi kilicho anza leo kimesheheni wanzazibari, pipino , fey, shekhan, Ibrahim baka, na yule straiker alie funga goli likawa offside.
Tulitegemea aya nimashindano ya ya kuonyesha vipaji vya watanganyika. Je ni Zanzibar heroes ndo imefuzu chan kuna wataalum wengi wametemwa kutoka bara mtu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.