tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Orodha ya mawaziri wakuu wa Tanzania tangu mwaka 1961

    Hii ndiyo orodha ya Mawaziri Wakuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu nchi ilipopata uhuru mwaka 1961. Tanzania imekuwa na jumla ya Mawaziri Wakuu 12 hadi sasa, na hii leo, Novemba 13, 2025, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajiwa kupokea jina la Waziri Mkuu mpya, ambaye...
  2. JamiiAfrica (Tanzania), IMS (Denmark) na Splice Media (Singapore) waja na “The Good Commons”

    Good Commons imejitolea kukusanya euro milioni 1.5 kusaidia jamii mbalimbali duniani ambazo zinaunda upya namna teknolojia inavyohudumia umma. Tofauti na kampuni kubwa za teknolojia na mifumo mikubwa ya akili bandia (AI) inayojengwa kwa misingi ya ufuatiliaji wa watumiaji na faida, jamii hizi...
  3. PostGE2025 AFP: Tanzania politicians in shock as cabal takes over after massacre

    Nairobi (AFP) – Tanzanian politicians are in shock over the massacre of hundreds of young protesters during its recent election, insiders told AFP, but are too afraid to speak out as a tiny cabal of hardliners around the president takes control. Gruesome images of dead Tanzanians have flooded...
  4. W

    PostGE2025 Pastor Ng’ang’a awalaumu wabunge wa Kenya kwa kushindwa kuzungumzia vifo vilivyotokea nchini Tanzania

    Pastor Nganga kutoka Kenya amewata wabunge wa Kenya kuzungumzia kile kilichotokea Oktoba 29, 2025 Tanzania akidai zaidi ya watu 3000 kuuliwa lakini wamegoma kulizungumzia hilo bungeni.
  5. Nani atamfunga Paka Kengele?- Taswira ya hali ya kisiasa Tanzania

    Katika hadithi maarufu ya “Nani Atamfunga Paka Kengele,” tunasikia simulizi la taifa la Panya lililovamiwa na Paka mwenye nguvu. Panya wanateseka, wanaishi kwa hofu, na hata sauti zao ndogo zinakuwa tishio mbele ya masikio makali ya Paka. Baada ya mateso ya muda mrefu, wanakusanyika kutafuta...
  6. PostGE2025 Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2

    Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2025.
  7. K

    Tanzania sio nchi ya Amani wala Haki majirani wametupita kwa mbali

    Tanzania sio nchi ya Amani wala Haki majirani wametupita kwa mbali Zambia , malawi, kenya wana haki na Amani Uganda, Rwanda na Burundi wana amani hawana haki Tanzania haina amani wala haki
  8. K

    Tulia Ackson hatakiwi tena kuongoza IPU wakati kashindwa Tanzania!

    Tulia Ackson hatakiwi tena kuongoza IPU wakati kashidwa Tanzania! https://www.ipu.org/about-ipu/structure-and-governance/president Tuandike barua atolewe huko na kuacha unafiki
  9. Red Cross Tanzania walikua wapi siku ya Oktoba 29 na 30?

    Kama ningekua kwenye nafasi shirika la kwanza kufukuza Tanzania lingekua RedCross. siku ya maandamano hawa walitakiwa kusaidia Majeruhi na kubeba waliokufa na kupigwa Risasi au kazi yao hasa Tanzania ni nini? Mdau unaweza nisaidia kazi ya Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania ni nini hasa?
  10. H

    Tanzania ina watawala Katili Kuliko hata wale ambao nchi zao zipo Kwenye Vita

    Matukio Kabla, wakati na baada ya uchaguzi, yamethibitisha kuwa Tanzania ina watawala katili kuliko nchi yoyote Duniani. Matukio haya yamethibitisha kuwa CCM ni chama cha hovyo na cha kiharamia kuliko vyama vyote Duniani. Polisi wa Tanzania wamedhihirisha kuwa ni wanyama kuliko jeshi lolote...
  11. M

    PostGE2025 Jukwaa la Katiba Tanzania: Tunalaani vikali vya kuwapiga risasi wananchi wasio na hatia

    TAARIFA KWA UMMA JUKATA kwa majonzi makubwa inatoa pole za dhati kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote ambao wapendwa wao wameuawa, kujeruhiwa au kutoweka wakati wa maandamano yaliyozuka siku ya uchaguzi tarehe 29/10/2025. Tunalaani vikali vitendo vya kikatili vya kuwapiga risasi wananchi...
  12. ‎Wanaolalamikia "waandamanaji" kuchoma Mali binafsi na za umma hawajajisumbua kuelewa Gen Z ya Tanzania ikoje

    KIZAZI KISICHOKUWA NA KESHO: BOMU LINALOTIKISA TANZANIA KIMYA KIMYA Na Mjumbe wa Nafsi za Watu Kuna maneno ambayo yamekuwa kama wimbo wa taifa usio rasmi kila mara panapotokea vurugu: “Hawa vijana wanaharibu! Wanachoma mali za umma! Hawana akili wala heshima!” Lakini labda, kabla hatujatupa...
  13. Mussa Azzan Zungu awa Spika wa Bunge la 13. Achaguliwa kwa kura 378 kati ya kura 380 halali

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limefanya uchaguzi wa kumchagua Spika wa Bunge la 13. Kikao hicho kinaendeshwa na Spika wa muda William Lukuvi, akisaidiwa na Katibu wa Bunge Baraka Leonard. Jumla ya Wabunge 383 wanapiga kura. Katika uchaguzi huu tutakumbuka kuwa Spika wa Bunge...
  14. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haihofii maandamano bali inahofia uharibifu wa Uhai pamoja na mali za Wananchi wake

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haihofii maandamano bali inahofia uharibifu wa Uhai pamoja na mali za Wananchi wake, uharibifu ambao unafanywa na Wananchi wenye asili ya uhalifu ndani yao Kauli za kwamba Serikali inaogopa maandamano kwasababu itashindwa sio za kweli Bali...
  15. Kwa sasa mimi ndiye mwenye mpenzi mzuri kuliko wote Tanzania

    Siitaji kusifiwa maana nishasifiwa sana Ila ni mwanamke ambae kila mwanaume anamtamani Mara nyingi nimeshawahi kwenda nae BAR kwa heshima watu wanatupisha kutuachia seat tena madingi na heshima zao Tuna tembea njiani watu kupark gari kuomba watusindikize tunakoenda NB: hii ni story kutoka...
  16. Ruto Mnafiki: 2017 Kenyatta na Ruto walipata kura 98.26%, kwanini anaiongelea Tanzania Negative?

    Na Dr. Maureen Olesumba Laizer Mtafiti wa masuala ya Uchumi na Biashara 2021 Hawkins Circle LOS ANGELES, CA 90001-2257 USA Nimemsikia Rais wa Kenya bwana Ruto akiongelea uchaguzi wa Tanzania alipohojiwa na mwandishi wa habari kutoka aljazeera. Nimemshangaa sana akipnda uchaguzi wa Tanzania kwa...
  17. Tanzania Charges Over 405 Citizens with Treason-Related Offenses, 172 Others Charged for Vandalism and Robbery Amid Election Tensions

    Tanzanian authorities have charged at least 405 people across several regions with treason-related offenses allegedly linked to efforts to disrupt the country’s 2025 General Election, while another 172 face charges of arson, vandalism, and armed robbery. Dar es Salaam: Prominent Businesswoman...
  18. Tanzania dhaifu ni shangwe kwa dunia!

    Tanzania dhaifu ni furaha kwa dunia! Hii ni sababu kuu inayoniogopesha kwamba, itakuwa vigumu (but not impossible) kwa ICC (The Hague), kufungua mashitaka dhidi ya utawala wa Rais Samia Suluhu - na yeye akiwemo. Sababu ya kimaoni juu ya hili, inachagizwa na ustaarabu wa maamuzi ya kidunia...
  19. Hivi kwanini Cancel culture imefeli kabisa Tanzania ?

    Imagine taasisi au mtu wako upande wa mtesi wako baada ya kumu'cancel na kumignore huyo mtu unaenda kumjazia comments za matusi kwenye page yake. Hata humu ndani mtu threads zake huzielewi ignore him/her,kumjazia matusi na kashfa ni kumpa attention ya bure. Angalia right now attention...
  20. “Mungu Ibariki Afrika” haifai tena kuwa Wimbo wa Taifa la Tanzania 🇹🇿 (na Afrika kwa ujumla)

    “Mungu Ibariki Afrika” ilitungwa kama wimbo wa matumaini. Wito wa umoja, amani, na hekima miongoni mwa Waafrika waliokuwa wakipigania ukombozi. Lakini leo, zaidi ya nusu karne baadaye, maneno hayo hayana uhalisia katika bara letu. Tunaimba “Hekima, Umoja na Amani” huku viongozi wetu wakiongoza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…