Wakuu nina swali naomba ufafanuzi. Katika team yetu ya taifa ya mpira wa miguu(taifa starts ) kuna wachezaji wageni, kwa information wengine hawajui kiswahili vizuri na inasemekana wengine walizaliwa nje ila baba au mama ni Mtanzania ila mtoto kazaliwa nje.
Je, hii imekaaje hadi mtoto kuitwa ni...