Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Kama kuna mtu aliye karibu na Greyson Msigwa amfikishie huu ujumbe.
====================
By Amani K. Mrope | Washington Bureau.
June 19, 2026.
The Issue Is Not Money. It Is Tanzania Being Written Into the Official Record.
There are times when a country loses money. And there are times when a...
Bendera ya maombolezo ya Imam Hussain (AS) kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu aliyeuwawa kikatili kuulinda, kuutetea na kuupigania uislam dhidi ya dhulma, uonevu na ukandamizaji imepandishwa rasmi juu nchini Tanzania ikiwa ni ishara ya kuanza kwa mwezi mtukufu wa Muharram...
Mahusiano ya kimataifa hujengwa kwa maslahi ya wananchi, si kwa kelele za mitandao. Tanzania na USA zimeendelea kuweka mbele biashara, uwekezaji na maendeleo.
Yaani Kila ukifungua redio utasikia, "hizi si mambo zangu", "mambo zako?" nk. Kibaya zaidi wanaozungumza haya ni vioo vya jamii na ni wasomi, kwamba lazima watakuwa wamesoma kipengele cha ngeli za nomino wakiwa O level.
Nawasihi watangazaji waache hii tabia mara moja tabia hii.
Sijajua bado, kwanini mtu licha ya kusoma sana lakini bado anakuwa na akili za kufikirika ambazo zimekosa mental autonomous,
Mtu anajua kabisa chadema hawana hoja za kwann wapigiwe kura lakini bado anaamini kuwa CHADEMA itakuja shinda uchaguzi hii si akili ya kawaida huu ni ujinga wa kushindwa...
The structure of the United Republic of Tanzania is uniquely complex, particularly regarding the distribution of power between Union and non-Union matters. In this setup, one state was completely absorbed into the Union, resulting in its original flagship name and identity being sidelined...
Bunge la Seneti la Marekani limefanya mabadiliko katika Muswada wa Mapitio ya Uhusiano wa Uwili kati ya Marekani na Tanzania kwa kulegeza masharti kuhusu hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na Tanzania katika mageuzi ya mifumo ya uchaguzi na utawala.
Katika rasimu ya awali ya muswada huo, Tanzania...
Jinsi walivyo chafukwa kila kona kila pembe.
Wapo kwa lolote kumlipa hata katibu wa UN au watu wakubwa waoneshe dunia kuwa kulikuwa hakuna mauwaji wa utekaji na uhuru hupo tele.
Kwa sasa watu wanapiga pesa watakavyo wale wa kutrend,wasanii,vyombo vya habari,viongozi na n.k
Yani mpaka ma IT...
Wabunge wa Bunge la Ulaya (MEPs) wamepitisha azimio la kuitaka Tume ya Ulaya kufuta rasimu ya mpango wa ufadhili wa kiasi cha Euro milioni 156 uliotengwa kwa ajili ya Tanzania kwa mwaka 2026. Uamuzi huu umefikiwa kufuatia kile bunge hilo linachokieleza kama ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu...
The diplomatic relationship between Tanzania and the United States is not built on the shifting sands of seasonal events or temporary political emotions.
It is a partnership deeply rooted in strategic foundations and the enduring national interests of both countries.
While superficial...
Seneta Jeanne Shaheen (ni kiongozi mwandamizi wa chama cha Democratic kwenye kamati inayosimamia uhusiano wa Marekani na nchi za nje) ametangaza kwamba kamati yake imefanikiwa kupitisha miswada mitano aliyosaidia kuiandika.
Anasisitiza kuwa miswada hii imeungwa mkono na wabunge wa vyama vyote...
👉Maria sarungi alizaliwa nchi ya Hungary Tarehe 16 December, mama yake (Veronica Marton ) kwa kuwa alikuwa raia Hungary pia kwa mujibu wa Sheria za nchi ya hiyo alipendekeza mwanae "Maria Sarungi" pia awe raia wa Hungary,
👉Maria Sarungi alipewa "uraia wa ukoo" ( Citizenship by Descent )...
Kodi za wananchi zimefanya kazi, sasa tuone mabadiliko ya kweli kwenye hili.
================
Tanzania imekuwa taifa la kwanza barani Afrika kutumia Kombe la Dunia 2026 nchini Canada, katika jiji la Toronto, kama jukwaa kubwa la kutangaza sekta yake ya utalii.
Malori yenye mabango ya kampeni ya...
Wakati uhusiano kati ya Tanzania na Marekani ukiingia katika kipindi nyeti zaidi katika miaka ya karibuni, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amefanya ziara muhimu nchini Marekani inayobeba uzito mkubwa wa kidiplomasia kuliko inavyoonekana juu juu...
C&p
Habari ndiyo hiyo.
Mkutano Mkuu wa 87 wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) [87th Plenary Assembly - Study Session] unaendelea katika ukumbi wa Amecea uliopo ndani ya Makao Makuu ya Baraza la Maaskofu Kurasini Jijini DSM.
Mkutano huo unaongozwa na Rais wa TEC, Mhashamu Baba...
baraza
baraza la maaskofu
baraza la maaskofu katoliki
elimu
elimu ya
hadhi
haribu
katoliki
kurasini
maaskofu
makao
makao makuu
mkutano
mkutano mkuu
mkuu
tanzania
tec
university
vyuo
Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea.
Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya.
Tanzania ilicheza ikampiga Sudani 10 kwa bila. Madogo wako vizuri.
Mwanadada Bahati anakipiga hatari, akaibuka WOM...
Naomba kusiwe na lelemama kwa mtu yyte anayetukana viongozi mitandaoni, hii tabia imeibuka baada ya chadema kuruhusiwa waanze kufanya shughuli za kisiasa. Tusicheke na hawa vibaka wa chadema wanaotukana viongozi wetu mitandaoni.
Mtoto mwenye malezi duni lazima anyooshwe na dunia
Interesting timing.
As debate continues around S.4577, senior U.S. and Tanzanian officials are meeting to discuss strengthening bilateral relations, preserving shared interests, and advancing commercial deals that benefit both countries.
In international relations, active dialogue is often...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.