Kuna watu wanajitoa ufahamu kwamba Pwani yote hadi Bagamoyo ni part ya Zanzibar. Wanashindwa kuelewa kwamba hadi tunapata uhuru, 1961 Sultan alishauza maeneo mengi kwa wazungu na Tanganyika iliyachukua toka kwa wazungu yakiwa sio mali ya Zanzibar.
Swali la kujiuliza, kama ni kweli, Nyerere...