Katika maisha ya kila siku Kuna mapambano yanayoonekana, na kuna yale yasiyoonekana. Mapambano ya nje huweza kuangaliwa na watu, lakini yale ya ndani – vita kati ya roho na tamaa – ndiyo vita halisi ya maisha ya mwanadamu. Ukishinda huko ndani, umeshinda kila kitu.
Tamaa ni kivuli...