takwimu

  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakati 'tukihangaika' Kumsifu sana Mayele kwa Goli lake la 'Kawaida' mno huko Redioni, tusijisahaulishe na 'Takwimu' hii

    Kibu Denis Mechi 7 Magoli 4 Fiston Mayele Mechi 10 Magoli 3 Nawatakieni 'Upuuzi' mwema katika Kumsifu 'Kishabiki' Fiston Mayele huko katika Redio zenu ambazo GSM wanatoa 'Asante' kwa Watangazaji na Wachambuzi ambao Kutwa huwa wanaisifu ( wanaipamba ) tu Yanga SC hata kama kwa mara ya Pili...
  2. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

    umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  3. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais yatoa takwimu za wanaofanya biashara ya ngono

    Utafiti uliofanyika umebaini Zanzibar kuna wanawake wanaofanya biashara ya kuuza miili yao 5,554 Huku wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja wakiwa ni 3,300, Kati ya hao 3,000 wapo kisiwani Unguja na 300 wapo kisiwani Pemba. Taarifa imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa...
  4. President of China

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu za Yanga msimu uliopita Round ya kwanza

    Hawa yanga aka UTOPOLO tulishawazoea na kelele zao za mwanzo wa ligi. Ndio muda wao wa kufurahi na kupiga kelele. Hii ni kawaida ya chura kuzomea kupiga kelele ili Mnyama wasiweze kunywa maji. Kweli tabia ya chura imewaingia vizuri washabiki wa UTOPOLO. Hii hapa ni takwimu za list season...
  5. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Ndoa Zinavyovunjika Dar/mikoani: Takwimu zinatisha

    Takwimu za Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita), mwaka 2020, zinaonyesha kuwa wakala ulisajili talaka 511 Tanzania nzima kati ya hizo 221 kutoka Dar es Salaam pekee. Idadi hiyo ni ongezeko la talaka 69 ikilinganishwa na talaka 442 zilizosajiliwa mwaka 2019. Msajili wa ndoa na talaka wa...
  6. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji, Bakhresa, Rostam na takwimu za forbes, kipi kimejificha?

    Habarini za muda huu Mtaani kumekuwa na mijadala hasa iliochangiwa na ushabiki wa mpira Simba na Yanga kuhusu nani ndie mtu mwenye utajiri mkubwa hapa Tanzania? Wengi walisema ni Mo Dewji wengine SS Bakhressa Lakini Forbes wao wanadai kuwa Mo ni wa kwanza tena kwa Gepu kubwa tu na Anafuatiwa...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu hazidanganyi: Feisal vs Miquissone

    Kwani Nani alistahili kuchukua hi tuzo
  8. N

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Boomplay kuingizwa kwenye chati ya Billboard

    Dar es Salaam. Boomplay imetangaza rasmi kuwa, sasa itaingiza takwimu za wasanii wa Afrika katika chati maarufu za Billboard. Chati hizo ni kama Billboar Hot 100, Billboard 200, Artist 100 na Billboard Global 200, na pia chati zingine zote za Billboard Marekani na kimataifa ambazo zinajumuisha...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msitutoe kwenye habari iliyopo mjini kwa sasa ya Yanga kuangukia pua asubuhi mapema caf champions league kwa kutuletea takwimu zilizopitwa na wakati!

    Habari iliyopo mjini ni utopolo kuangukia pua asubuhi na mapema caf champions league!! Hizi takwimu za mapato ya msimu uliopita mngetoa msimu uliopita!! Acha tuongelee habari ya mjini kwa sasa !
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wa Simba SC na nyie mmekuwa kama Washamba wa Yanga SC kulalamikia Takwimu za Bodi ya Ligi?

    Hivi Yanga SC ikiongoza kwa Takwimu, Kujaza Watu au Kuuza Mijezi Misukule na Mikaragosi yao huku wakiwa hawachukui Vikombe na tunawafunga katika Mashindano muhimu nani mnadhani Kimantiki ndiyo anaonyesha kuwa na Tija hasa? Yaani wana Simba SC leo hii mmesahau kuwa Yanga SC ni Washamba? Hivi...
  11. Mwanamaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu zinazungumzia watazamaji (Spectators) "akina sisi" tunazungumzia washabiki (fans), kuna shida mahala

    Takwimu zilizotolewa na bodi ya ligi hapo jana zilihusu idadi ya watazamaji (Spectators) waliohudhuria katika mechi za nyumbani za vilabu vya ligi kuu kwa msimu ulioisha. Takwimu hizo zimetokana na idadi ya tiketi zilizouzwa katika mechi hizo na timu ya Yanga imeongoza kupata pato kubwa...
  12. Shark

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi Takwimu Zina Walakini

    Wakuu Kwema? Kuna Takwimu zimetolewa na TFF zikionyesha mambo mbalimbali yaliyotokea msimu ulioisha ikiwemo Timu iliyoingiza mapato mengi, Uwanja Ulioingiza Mashabiki Wengi, Timu yenye Mashabiki Wengi, etc. Binafsi naweza nisiamini sana juu ya Mapato Kwa kila Uwanja au Mapato Kwa Kila Timu...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Serikali imeahidi shirika la Fedha Duniani, IMF kwamba itaanza kutoa takwimu za wagonjwa wa covid na vifo kila wiki kuanzia mwishoni mwa Septemba

    Serikali ya Tanzania imeahidi shirika la fedha Duniani la IMF kwamba itaanza kutoa takwimu za vifo na maambukizi mapya ya ugonjwa wa covid 19 kila wiki kuanzia mwishoni mwa mwezi Septemba 2021 kama masharti mojawapo ya kupewa mkopo. Serikali iliomba mkopo wa zaidi ya Dollar Milioni 500 za...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Serikali: 34% ya Watanzania walengwa wa awamu ya kwanza wamepata chanjo ya UVIKO-19, sasa tunapeleka chanjo Vijijini

    Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema takribani watu 345,000 sawa na 34% ya chanjo zilizokuja wameshachanja. Msigwa amesema kazi kubwa imefanyika kuhakikisha watu hao wengi wamechanjwa na sasa kipaumbele kitakuwa vijijini ambako tunawapelekea chanjo huko huko. Msigwa amesema chanjo...
  15. P

    JamiiForums Tanzania Mimi naona Rais Samia anadanganywa kuhusu takwimu za waliochanjwa!

    Kupitia ziara aliyoifanya Mh Raisi ya kutembelea mkoa wa Pwani hususani (W) ya Bagamoyo Baada ya kupewa nafasi ya kusalimia wananchi na kusema mahitaji ya Wana Bagamoyo, Mh Mbunge wa Jimbo hilo la Bagamoyo, Takwimu alizotoa Mh mbunge wa Bagamoyo bwana Mkenge ni za kupikwa, kwamba, (W) ya...
  16. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Nani anayehusika kupeleka takwimu za maambukizi ya COVID-19 Africa CDC?

    Kwa mujibu wa taarifa zilizopo Africa CDC inaonekana mpaka tarehe 19 August 2021 Tanzania ina visa 16,970 vya maambukizi ya virusi vya corona na vifo 50.Pia WHO inaonyesha kuna visa 1,367 na vifo 50. Je, hizi taarifa ni rasmi ? Kuna makosa yaliyofanyika au ni hujuma ? Kuna umuhimu wa jambo...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Waziri Gwajima, takwimu za Covid-19 mnaandaa au mnapika?

    Amesikika waziri Gwajima akisema wanaandaa takwimu za hali ya ugonjwa wa Corona nchini. Watu wanapoendelea kufa huku takwimu zikiendelea kuandaliwa bila mwisho, ina maana gani? Inachukua muda gani kujua idadi ya wagonjwa waliolazwa mkoa kwa mkoa, vifo au waliopona? Hapa tuna mwenzetu mwingine...
  18. jeipm

    JamiiForums Tanzania Hali inatisha idadi ya wanawake inaongezeka kwa kasi ya ajabu

    Mashuleni, vyuoni wamejaa wao Nyumba za kupanga wamejaa wao Maeneo ya biashara wamejaa wao Makazini wamejaa wao Mashambani wamejaa wao Mahospitalini wamejaa wao Nyumba za ibada wamejaa wao Migodini wamejaa wao bali wapo Kama waangalizi Halafu tunadanganywa na takwimu hizi uchwara kwamba...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Serikali toeni takwimu kwa mujibu wa mapendekezo

    Inafahamika kuwa tume ya wataalamu iliyoteuliwa kushauri kuhusiana na ugonjwa huu ilitoa mapendekezo yake. Inafahamika kuwa % kubwa ya mapendekezo ya tume hiyo yamepokelewa na yako katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Hata hivyo katika yote, mawili haya yangalipo yakielea angani yakiendelea...
  20. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Takwimu: Mwenendo wa Chanjo ya COVID-19 barani Afrika - Julai 2021

    Baada ya kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona duniani mwanzoni mwa mwaka jana, dunia ilianza kutafuta chanjo, na hadi kufikia mwishoni mwa mwaka, kampuni kubwa tano za Pfizer-BioNTech, Moderna, AstraZeneca na Johnson & Johnson zilikuwa zimetengeneza chanjo za kukabiliana na ugonjwa huo...
Back
Top Bottom