Tuzo ni lazima ziwe za kipuuzi kwasababu wameingiza wapuuzi ambao hawaja qualifyYaani mnavyo lalamika, unaweza kudhani labda hizo tuzo zina kitu cha ajabu! Kumbe ni upuuzi mtupu.
Ndio utuambie hivyo vituFeisal dude kubwa hilo. Mchezaji bora hatuangalii kufunga tu, kuna vitu tunaangalia. Labda kama mnataka mvijue mseme.
Akili mavi, mpira ni takwimu.Mengine ni porojo za utopolo tu.Feisal dude kubwa hilo. Mchezaji bora hatuangalii kufunga tu, kuna vitu tunaangalia. Labda kama mnataka mvijue mseme.
Walifanya tu kubalansi.Miquissone ni fundi san wa soka ,Fei toto amepew hiyo tuzo kwasabab tu ni m bongo mwenzetu ila ki uwezo hamfikii Konde boy
Kama vp dada usiyejua footballFeisal dude kubwa hilo. Mchezaji bora hatuangalii kufunga tu, kuna vitu tunaangalia. Labda kama mnataka mvijue mseme.