Sugus is a brand of chewy candy made by the Wrigley Company. It originates from the Swiss chocolate company Suchard, who created it in 1931.They are square, and they are 20 mm (0.79 in) in length and width, and 7 mm (0.28 in) thick, including the packaging. There are several flavours, including lemon, orange, pineapple, raspberry and cherry, indicated by the colour of the packaging (yellow, orange, blue, red, and bright red, respectively), which is characteristic of the sweet. The classic packaging (which measured 6.3 by 4.5 cm) involves the sweet respecting the rectangular shape, with white text showing the sugus name (in lowercase) and the specific flavor (in uppercase), all over the packaging. Within the packaging was a small, white light inner wrapper of 6.3 by 1.9 cm surrounding the sweet preventing adhesion to the outer wrapper, for example at times of excessive heat. The name, though only a brand, became the name of this product. It appeared on the market under other brands, with different names, but all are given the name sugus.Sugus is sold in Argentina, Belgium, Brunei, Cambodia, China, Hong Kong, Indonesia, Japan, Macau, Malaysia, Mexico, the Philippines, Portugal, Romania, Spain, South Africa, Namibia, Switzerland, Taiwan, Thailand, Uruguay and Vietnam. It seems to enjoy great popularity in Asia, although being from Switzerland. The brand's Chinese name used in Hong Kong and China is "瑞士糖", literally meaning "Swiss candy".
Hilo la bandari limemtia doa sana Rais Samia kwa Wananchi hadi wa chini kabisa!
Mwanasiasa ukiona umeanza kutetewa kwa nguvu zote na wapambe tambua utetewacho kwacho sicho sahihi kukifanya na ikiwezekana achana nacho.
La bandari na SINTOFAHAMU yake wamelipitisha kwa kulazimisha ila watambue...
Mbunge wa Zamani wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu Baada ya kukaa zaidi ya saa 6 pale JNIA akisubiri Ndege ameitaka Serikali iwape Waarabu na ATCL.
Bilionea Sugu amelalamika kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
=====
UKRISTO NI UDAKTARI BINGWA" KWAAJILI YA MAGONJWA SUGU NA WAGONJWA MAHUTUTI"
Anaandika, Robert Heriel
Yule Shahidi, Kuhani katika Hekalu Jeusi.
Nami ni shahidi, mwonaji, Mtibeli ambaye ninayashudia haya. Wala sio kwaajili yangu Bali kwaajili yao watafuta Njia, Njia iliyochongwa na watangulizi...
Hello JF crew!
👇👇👇
Kipekee naomba niweke bayana tatizo mojawapo kuu na sugu la watanzania ni UOGA sio Unafiki-, ifahamike ya kwamba kichuguu cha UOGA ndicho hubeba unafiki, uongo, kutojiamini na matakataka yote.
Ndugu Hayati Membe alikuwa jasiri, mzalendo, na mfia nchi na mpigania taifa, kuna...
Hoja ya kuligawa Jimbo la mbeya yawe 2, ni uoga na kumvimbisha kichwa Sugu. Jimbo la Mbeya halina idadi ya wakazi wengi kihivyo kama ulivyoeleza, na ni dogo Sana ukilinganisha na majimbo mengine ya mikoa mingine, CCM ni chama kikubwa na kinachokubalika Jimbo la mbeya hivyo usimpe credit Sugu...
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema ahofii kukabiliana na aliyewahi kuwa Mbunge Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu,’ endapo watakutana katika kinya’ng’iro cha kugombea jimbo hilo katika uchaguzi mkuu ujao 2025 utakaokuwa huru na haki.
Dk Tulia ametoa msimamo huo leo Mei 4, 2023 wakati...
Mbunge wa Mbeya mjini kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson amesema lengo la kugawanya jimbo la Mbeya mjini ni kusogeza huduma kwa wananchi na mchakato huo sio wa Mbeya pekee. Dkt Tulia aliongea hayo wakati akihojiwa na kituo cha redio cha wasafi leo asubuhi.
Tulia amesema ubunge wake yeye haijalishi...
Habari wanaJF, naomba kuuliza hivi ni kweli kitungu swaumu kinatibu UTI sugu?
Je, Kuna tiba zingine za asili zinazoweza kumaliza tatzo hili?
Asanteni sana naombeni ushauri na maoni
Kwa tuliokuwa tunafuatilia kwa karibu Hip Hop ya Bongo tunaikumbuka vizuri Mixtape ya Antivirus. Hii ni mixtape iliyokuwa engineered na Joseph Sugu na wenzake wakiwepo Mapacha, Rado na wengine. Wakati tukiwa Chuo Rado alikuwa mwenetu na mara kadhaa alitutembelea getto. Siku moja mwenetu akaja na...
Sugu na Mama ni marafiki bila kujali siasa. Hakuna kitu wala mtu yeyote anaweza kubadilisha hilo maana ndiyo ubinadamu kuna wakati watu wanakuwa marafiki bila kujali siasa.
Uhusiano wa Dkt. Tulia na Rais ni wa kisiasa tu na ni vigumu kuona hata Mama akicheka akiwa na Tulia.
Hii inamuogopesha...
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa...
Mambo vipi,
Naomba kujua kama kuna dawa ya kuondoa kovu, nilipata ajali ya boda nikapiga uso baada ya kupona nikabaki na kovu
Je, kuna dawa ya kuondoa hilo kovu na kama ipo inaitwaje ili niitafute?
Natanguliza shukrani.
Mzee anajisnichi mwenyewe, ni kama anajivunia kwa kazi haramu aliyowahi kuifanya
uyu mzee ni kama vile sio mzima kwakweli, ana jitoa ufaamu wazi wazi.
anaonyesha hadi id yake aliyotumia Kenya pamoja na chapisho la gazeti kwamba ni "wanted".
chanzo ni Millard, ni credible source so nahisi...
Nipo hapa hosptali ya Taifa muhimbili tunasubiri kusafirisha Mwili
Kumbe Ukimwi ikasome Mbele ya UTI Sugu hakika vijana acheni kupiga dry mtaisha huyu ni mtu wa nne kama masihara anachapa kavu dry na inamtoa Duniani UTI Sugu hawa wanawake sahivi wanaumwa Sana
Location huku Tabata Kuna hatari...
Ongezeko la wagonjwa wenye maambukizi ya njia ya mkojo, maarufu kwa jina la UTI na typhoid limekuwa kilio kikubwa kwa Watanzania katika sekta ya afya kutokana na kutumia fedha nyingi katika kutibu wagonjwa kutokana na usugu wa dawa.
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, ripoti ya Benki ya Dunia ya...
Habari wanajamii forums,
Nilikuwa nahitaji site ambayo naweaa kupatq album za Mr II A.K.A Sugu maana YouTube sipati nyimbo zote. Kwa yeyote mwenye album zake naomba anisaidie.
Asante.
Januari 12,22023 , Mbunge mstaafu wa Mbeya kwa tiketi ya CHADEMA , Joseph Mbilinyi alitweet" Nchi inaenda, so far so good. Hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo na state.
Mengine yote yanazungumzika,na tutakutana kwenye mikutano ya hadhara soon. Mungu aendelee kuwapa busara...
Kufuatia shughuli za siasa kuruhusiwa rasmi nchini sasa rasmi sisi wana Mbeya tumeshamuaga Tulia na kumkaribisha mh Sugu.
Namaanisha kuwa tulipatiwa mbunge ambaye halikuwa chaguo letu sisi wana Mbeya.
Sasa wakati umefika wa wana Mbeya kuonyesha hasira zetu kwa kumchagua mbunge ambaye atakuwa...
Sugu anasema kwamba Tanzania sasa imekua salama sio kama zamani matukio ya kutisha hayapo tena democrasia imerejea chini ya Rais Samia Suluhu hakika tutafika mbali maana naona upinzania wameanza kupata akili sio kila kitu cha kupinga kizuri kisifie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.