STORY YA LEO: USIKATE TAMAA
Kijana mmoja alikuwa anaomba kazi kila siku lakini hakupata. Watu walimcheka na kumwambia hana bahati. Badala ya kukata tamaa, aliendelea kujifunza, kufanya kazi ndogo ndogo na kuboresha uwezo wake.
Baada ya muda, alipata nafasi ambayo ilibadilisha maisha yake...