sports

  1. pingli-nywee

    Mkenya Eliud Kipchoge ateuliwa kuwania tuzo la BBC Sports Personality of the Year Award

    Mshindi wa tuzo la IAAF, la mwanariadha bora duniani, mwaka wa 2018 na 2019 pia. Ambaye ndio mshindi wa Laures Exceptional Achievement Award 2019 na Elder of the Order of the Golden Award of Kenya, mwanariadha Eliud Kipchoge ameteuliwa tena, kuwania tuzo la BBC Sports Personality of the Year...
  2. GENTAMYCINE

    Simba Sports Club achaneni na nia yenu ya kumfukuza kocha wetu Patrick Aussems kwani tutakuja kujuta na kulia akiondoka

    Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Patrick Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha...
  3. H

    Sports arena ya wasafi: Hatutamuita zahera

    Hiv karibuni Mwinyi Zahera amekuwa akifanya media tour na kuwalikwa pia na media mbalimbali sports arena wameulizwa mbona wao hawajamwita Zahera wamejibu "Zahera ameshafukuzwa na yanga na kocha anapimwa kwa matokeo au uchezaji wa timu yake hatuna sababu yakumwita studio hata ukimwita azungumzie...
  4. H

    Mwakyembe ampongeza Diamond na Wasafi kuzindua kipindi cha sports arena

    Waziri wa habari sanaa na michezo Dr Harrison mwakyembe ametoa pongezi zake kwa mwanamziki diamond kwa uzinduzi wa sports arena alioufanya kwa ukubwa kuanzia maandalizi pamoja na ubunifu walitumia kwa kitendo Cha kuwashusha kwa helikopta watangazaji waliowasajili lakini kuwepo kwa red carpet na...
  5. Influenza

    UEFA 2019/20: Samatta uso kwa uso na Van Dijk. Real Madrid kundi moja na PSG huku Man. City ikipewa kundi mteremko. Van Dijk mchezaji bora wa UEFA

    Droo ya kupanga makundi kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) 2019/20 kuchezeshwa leo Agosti 29, 2019 huko Grimaldi Forum, Monaco kuanzia saa 18:00 CET (Saa mbili usiku kwa majira ya Afrika Mashariki Timu zinazoshiriki droo hiyo Matokeo ya Droo iliyochezeshwa leo ni kama...
  6. AKILI TATU

    The Liverpool Way, The Hard Way, Karibuni Anfield Napoli

    Bill Shankly KILA mtu aliamini hatuendi popote, wengi walitarajia kuona tunashindwa kufuzu hatua ya 16 ya michuano ya Ligi ya Mabingwa msimu wa 2004/05. Njia yetu ilikua ni ngumu, kundi letu lilishageuka shubiri kwetu, hatukua na matumaini tena. Tulikua tupo na Monaco, Olyimpiacos na...
  7. Barcelona763

    Alikiba coastal union

    Sio Siri Tena alikiba ni mchezaji mpira wa coastal union nilipopata habari sikuelewa . Lakini nilipomsikiliza Mwenyewe akieleza nia yake kwenye interview ya Azam tv nikatambua kuwa ana uwezo ya kutimiza ndoto yake.tokea leo mimi ni shabiki number moja wa coastal union . Nitanunua jezi lake...
Back
Top Bottom