sports

  1. J

    Ushauri kwa Sports Arena ya Wasafi FM

    Habari Wadau, Mimi ni mfatiliaji mkubwa sana wa Sports Arena. Ninaamini ni kipindi kuzuri sana cha michezo na kina wachambuzi wazuri sana kama kina George Ambangile, Edo Kumwembe. Tatizo liko kwenye watangazaji wao wakiongozwa na Maulid Kitenge na Yusuf Mkule: 1. Kuwa Biased Wako biased sana...
  2. GENTAMYCINE

    Kwanini Maulid Kitenge na Sports Arena yake ya Wasafi FM hawayaongelei haya yanayoendelea Yanga SC?

    1. Nidhamu mbovu ya Wachezaji Watatu Lamine Moro, Metacha Mnata na Michael Sarpong huku wengine wakipigana, kurogana hadharani na hata kutukanana. 2. Tabia mbaya ya Usodoma na Ugomola aliyonayo Kocha Mmoja kutokea kwa Wakikuyu iliyomkera Kipa Metacha. 3. Mwenyekiti Msolla na Injinia Hersi...
  3. U

    Thamani ya Simba Sports Club

    Najiuliza na kutafakari hivi thamani ya Simba Sports Club bado ni billion 20 au itakuwa imeongezeka kufuatia mafanikio waliyopata kwenye michuano ya Cafcl. Naamini thamani ya klabu za mpira huongezeka kutokana na uimara wa uchezaji na kukua kwa brand ya timu. Nawakilisha
  4. GENTAMYCINE

    Ungekuwa Wewe ndiyo Mtangazaji mahiri na mweledi wa Michezo Kipindi cha Sports Arena Wasafi FM, mada ipi kati ya hizi ingekuwa ni ya Muhimu zaidi?

    Hatimaye Simba SC yaweka rekodi kwa Kuingiza Wachezaji Wanne katika Kikosi bora cha Wiki cha CAF akina Chama, Boko, Miquissone na Tshabalala? Au Twiti ya Kiutani wa Kimchezo ya Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji kwa Kuwaita Kaizer Chiefs FC ni Mediocre ( Wajinga ) baada ya Kufungwa Juzi Goli 3...
  5. M

    Kila la heri kwa Simba Sports Club: Visit Tanzania.

    Leo timu yetu ya Tanzania itapeperusha bendera ya Tanzania huko Afrika ya kusini na dunia yote itatazama. Tutumie uzi huu kuitakia ushindi Simba dhidi ya Kaizer chiefs. Naitakia Simba ushindi wa kishindo!! Karibuni.
  6. Komeo Lachuma

    Simba Sports Club. Rasmi sasa Mnapaswa kulipa Deni la Magufuli

    Njia pekee ya kumuenzi kwa mema yake na uchapakaji kazi ni ninyi Kuleta Kombe la CAF hapa Tanzania. Hili ndilo Deni mlilo nalo kwa Marehemu JPM aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tunaomba Mlete Kombe la CAF TANZANIA. HALAFU SISI NA NINYI YANGA MTAVAA JERSEY ZENU ZA NJANO NASI...
  7. MK254

    Details of multimillion sports centre to be set up in Nairobi

    Plans are underway to set up an ultra-modern sports centre in Nairobi after the County Deputy Governor Ann Kananu and the President of National Olympic Committee of Kenya (NOCK) Paul Tergat signed a Memorandum of Understanding (MOU) to facilitate its construction. The facility dubbed the...
  8. Joseverest

    Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

    Naaaaam Barabara kabisa, Ndugu wadau wa Michezo wa hapa Jamiiforums na kwingineko karibuni katika Live updates(Matukio Mubashara) kutokea hapa Kinshasa katika Dimba la Stade De Martyrs, uwanja wa nyumbani wa Timu ya AS VITA CLUB ambapo kuna "patashika nguo kuchanika" au unaweza kusema kipute...
  9. Kipenzi Changu

    FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

    Visit Kidimbwi ameshindwa kuchomoa kidude ikiwa full mkoko mbele ya timu daraja la kwanza
  10. H

    Taarifa kwa umma kuhusu uchunguzi wa mabadiliko klabu ya Simba

    Taarifa hii nimeipata kwenye moja ya magazeti hapa nchini
  11. cricnscore1

    Cricket deserve more respect about leagues and matches

    They sit at the foot of the Primera table as the solitary group without a success yet they have drawn six of their nine matches played so far with just three thrashings. They will go to Osasuna zeroing in on keeping things tight at the back in the wake of surrendering nine objectives in their...
  12. babu M

    BBC Sports Personality of the Year 2020: Lewis Hamilton crowned winner

    Formula 1 world champion Lewis Hamilton has been voted BBC Sports Personality of the Year 2020. One of F1's all-time great drivers, he equalled Michael Schumacher's record of seven world titles with his fourth consecutive championship in 2020. The 35-year-old, from Stevenage, also surpassed...
  13. GENTAMYCINE

    Kwa Kibao hiki cha 'WAAH' chake Mwana Simba Mwenzangu Diamond akimshirikisha Koffi nasema 'Shikamoo' mno tu Kwake

    Huu Wimbo wa 'WAAH' ukiwa unapigwa au hata unausikiliza tu popote pale halafu huamki ama Kucheza tu au Kutikisika basi utakuwa na matatizo Kichwani au utakuwa ni mwana Yanga SC mwenye Roho Mbaya au utakuwa kati ya Team Kiba au Yule aliyetaka Kufa kwa Kuanguka kutoka katika Paa la Uwanja wa Mkapa...
  14. Tripo9

    Wapi kuna Sports bar maeneo karibu na Tabata Segerea?

    Sehemu ambayo ni Sports bar naweza angalia mpira wa ligi kama England / Achana na hizi bar za kawaida ukienda wanaweka mziki unaangalia gemu ya mpira kama vile unaangalia pilau. Sauti zero. Mi nataka sebemu mpira unausikilza na kuungalia ukiwa umetulia. Achana na vibanda umiza full joto...
  15. mugah di matheo

    Friendly match: Simba sc vs African sports

    Kikosi cha simba Ally salim Henry husein Hasan Mohammed Ame Ally Kennedy Bwalya Miraji Chama Ajibu Ilanfya Kahata Karibuni
  16. NicholeGuerrero

    Application to watch sports TV channels online in Brazil

    Hello, If you want an application to be able to watch sports channels in Brazil, especially football. You can download playtv geh at TechBigs Do you know other good apps?
  17. GENTAMYCINE

    Kama Wewe ni Mwana Simba Sports Club 'Mwenzangu' na 'unajiuliza' nini 'Kimeitokea' Timu yetu na sasa 'inafungwa' mfululizo haya ndiyo majibu

    1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa 2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao 3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa...
  18. MK254

    Extreme sports you didn't know existed in Kenya

    A photo of a person Fly-boarding FILE Mombasa is best known for its white sandy beaches,warm weather and amazing facilities to enjoy vacations. However, unknown to many there are other fun activities that can be enjoyed apart from swimming or normal boat rides. In this article, Kenyans.co.ke...
  19. GENTAMYCINE

    Natabiri mapema tu hapa kuwa Kipindi cha Michezo cha Wasafi FM Sports Arena cha Jumatatu 7 Septemba 2020 Mada Kuu itakuwa Kigangwala na Mo Dewji pekee

    Na hivi Watangazaji wake Waandamizi akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule bila kuwasahau na 'Wanafiki' wao wakubwa Kiutangazaji akina George Job na Musa Kawambwa kwa pamoja wote wakiwa Mashabiki wa Yanga SC hiyo itakuwa Siku yao ya 'Kuichokonoa' na 'Kuichamba' mpaka 'Kuichafua' Simba SC hasa...
  20. GENTAMYCINE

    Mnapoambiwa Simba Sports Club siyo 'Wenzenu' nchi hii muwe mnaelewa sawa? Haya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli shindana na Serikali sasa!

    Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa...
Back
Top Bottom