Hiv karibuni Mwinyi Zahera amekuwa akifanya media tour na kuwalikwa pia na media mbalimbali sports arena wameulizwa mbona wao hawajamwita Zahera wamejibu "Zahera ameshafukuzwa na yanga na kocha anapimwa kwa matokeo au uchezaji wa timu yake hatuna sababu yakumwita studio hata ukimwita azungumzie yanga itakuwa Haina faida sisi hatufanyi kazi za umbeya labda ingekuwa tunafanya mahojiano ikiwa yupo ndani yanga ndio ingekuwa inamake sense".