UEFA 2019/20: Samatta uso kwa uso na Van Dijk. Real Madrid kundi moja na PSG huku Man. City ikipewa kundi mteremko. Van Dijk mchezaji bora wa UEFA

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,402
Droo ya kupanga makundi kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) 2019/20 kuchezeshwa leo Agosti 29, 2019 huko Grimaldi Forum, Monaco kuanzia saa 18:00 CET (Saa mbili usiku kwa majira ya Afrika Mashariki

Timu zinazoshiriki droo hiyo
2.PNG


1.jpg

Matokeo ya Droo iliyochezeshwa leo ni kama yaonekanavyo hapo chini
9625C049-DA9D-43C7-92B3-E64A94627DCE.jpeg



Wafuatao ni washindi watakaotangazwa katika hafla hizo

Mchezaji bora wa UEFA wa kiume wa mwaka 2018/19 - Virgil van Dijk
DF9A78D7-E17E-48A0-A413-E154C64EC918.jpeg


Mchezaji bora wa UEFA wa kike wa mwaka - Lucy Bronze

Golikipa bora wa UEFA wa msimu wa 2018/19 - Alisson Becker (Liverpool)

Beki bora wa UEFA wa msimu wa 2018/19 - Virgil van Dijk (Liverpool)

Kiungo bora wa UEFA wa msimu wa 2018/19 - Frankie De Jong (Ajax)

Mshambuliaji bora wa UEFA wa msimu 2018/19 - Lionel Messi (Barcelona)


Kalenda ya msimu
17/18 Septemba: hatua ya makundi, mechi ya kwanza
1/2 Oktoba: hatua ya makundi, mechi ya pili
22/23 Oktoba: hatua ya makundi, mechi ya tatu
5/6 Novemba: hatua ya makundi, mechi ya nne
26/27 Novemba: hatua ya makundi, mechi ya tano
10/11 Disemba: hatua ya makundi, mechi ya sita

16 Desemba: Droo ya mzunguko wa 16 bora

18/19/25/26 Februari: mzunguko wa 16, mechi ya kwanza
10/11/17/18 Machi: mzunguko wa 16, mechi ya pili

20 Machi: droo ya robo fainali na nusu finali

7/8 Aprili: robo finali, mechi ya kwanza
14/15 Aprili: robo fainali, mechi ya kwanza
28/29 Aprili: nusu fainali, mechi ya kwanza
5/6 Mei: nusu fainali, mechi ya kwanza

Jumamosi tarehe30 Mei: Fainali – Atatürk Olimpiyat Stadı, Istanbul
 
Mbona kichwa cha habari umeandika kwa kiswahili alafu habari umei-nakili na kuiweka kwa kingereza??
 
Kama nilivyosema msimu huu wa uefa Chelsea atakutana na real Madrid either kwenye group au kwenye mtoano
 
Madrid tumepewa mitimu ya ajabu ajabu
Chelsea angalai twaweza songa
 
Eric Cantona left viewers baffled after his acceptance speech after collecting the UEFA President’s Award on Thursday night.
Best Diet for Lazy People! 100% Way to Lose Weight at Home!
Best Diet for Lazy People! 100% Way to Lose Weight at Home!
ERIC-CANTONA-150x150.jpg
thumbnail.jpg




The Manchester United legend picked up his gong ahead of the Champions League group stage draw from UEFA president Aleksander Ceferin.
ALSO READ >> PGA Nigeria At 50: Professionals In Final Showdown For N20m
The award recognised the Frenchman’s amazing football career and his support of charitable causes and helping to improve lives around the world.
But it was his speech that left onlookers – including Lionel Messi and Cristiano Ronaldo – a bit perplexed.
ALSO READ >> Pogba Makes List Worst Penalty Takers In Premier League History
“This award not only recognises his career as a player of the highest calibre, but also honours him for the person he is,” said UEFA boss Ceferin.
“[He is] a man who refuses compromise, who stands up for his values, who speaks his mind and, in particular, puts his heart and his soul into supporting the causes he believes in.”

source: Eric Cantona’s Bizarre Acceptance Speech Leaves Messi, C. Ronaldo Baffled
 
Back
Top Bottom