Kuna jamaa (nimsahau) alisema ametengeneza software inayoweza kutumika na kanisa Katoliki kwenye taarifa za waumini kuhusu
1. Jina
2. Jumuiya
3. kanda
4 ULIPAJI zaka na michango mbalimbali
4. Harambe
5. Ubatizo
6. Kipaimara
7. Ndoa
8. na mengine yahusuyo RC
Kama atasoma taarifa hii naomba...