Script Writers wa Bongo Movie wanatumia Software gani?

Jorge WIP

JF-Expert Member
Jul 12, 2018
3,567
5,288
Nafahamu kuwa nje specific Hollywood wanakuwa wanatumia programmes maalum za kuandika scripts za movie au Tv shows programmes zenyewe ni kama Final Draft au Celtx ambazo zinauzwa unakuta.

Sasa nataka kujua Tz creators wanatumiaga nini maana zile mostly zimekuwa zimesetiwa English hata zile location kuonyesha kama scene location.

Itabidi useme kama ni EXT yaan exterior (kwamba tukio liko eneo la nje) au INT yaan interior (kwamba scene inafanyika mandhari ya ndani) una insert automatic sasa hapa Tz tuko na system gan nataka kujua zaidi kwa wataalamu wa hizi mambo.

Natanguliza shukrani
 
Super Assassin celtx is not automated.....isipokuwa ina pre-set features ambazo zinarahisisha mambo.
20210503_115123.jpg
 
Mzee mm natumia final draft,ila kwenye slugline naweka kiswahili,shida kma unatumia transition sana hauwez weka kwa kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app

Final draft inauzwa na ile bei yake kwa sasa dah, sema naona kuna watu wengi mpona creativity mnafanya script writting sasa mbona hatusongi mbele kwenye hii industry ya movie maana tunasikitisha aisee,
 
Final draft inauzwa na ile bei yake kwa sasa dah, sema naona kuna watu wengi mpona creativity mnafanya script writting sasa mbona hatusongi mbele kwenye hii industry ya movie maana tunasikitisha aisee,
Mm yangu sijanunua nmedownload mtandaoni iko cracked, waliopo kwenye industry bongo movie hawatoi nafasi kwa watu wapya,
 
Mm yangu sijanunua nmedownload mtandaoni iko cracked, waliopo kwenye industry bongo movie hawatoi nafasi kwa watu wapya,

Mkuu unapozungumza hawatoi nafasi kwa watu wapya unamaanisha nini? Naomba utueleze vizuri
 
Final draft inauzwa na ile bei yake kwa sasa dah, sema naona kuna watu wengi mpona creativity mnafanya script writting sasa mbona hatusongi mbele kwenye hii industry ya movie maana tunasikitisha aisee,

Mkuu unamipango ya kuandika script?
 
Final draft inauzwa na ile bei yake kwa sasa dah, sema naona kuna watu wengi mpona creativity mnafanya script writting sasa mbona hatusongi mbele kwenye hii industry ya movie maana tunasikitisha aisee,
Kukua kwa Movie Industry sio script tu mkuu....
 
Nafahamu kuwa nje specific Hollywood wanakuwa wanatumia programmes maalum za kuandika scripts za movie au Tv shows programmes zenyewe ni kama Final Draft au Celtx ambazo zinauzwa unakuta.

Sasa nataka kujua Tz creators wanatumiaga nini maana zile mostly zimekuwa zimesetiwa English hata zile location kuonyesha kama scene location.

Itabidi useme kama ni EXT yaan exterior (kwamba tukio liko eneo la nje) au INT yaan interior (kwamba scene inafanyika mandhari ya ndani) una insert automatic sasa hapa Tz tuko na system gan nataka kujua zaidi kwa wataalamu wa hizi mambo.

Natanguliza shukrani
Mbona mimi natumia CELTIX pia.
EXT=NJE na INT=NDANI
CELTIX.jpg


Wala tatizo sio SCRIPT, shida ni kwamba wasanii na waandaaji wengi bado hawapendi kutumia DIALOGUES zilizopo kwenye script,wengi wanataka tu over-view ya kitakachotokea kwenye scene kisha wao watumia maneno yao na posture zao nk..
 
Mbona mimi natumia CELTIX pia.
EXT=NJE na INT=NDANI
View attachment 1774181

Wala tatizo sio SCRIPT, shida ni kwamba wasanii na waandaaji wengi bado hawapendi kutumia DIALOGUES zilizopo kwenye script,wengi wanataka tu over-view ya kitakachotokea kwenye scene kisha wao watumia maneno yao na posture zao nk..
Chief nimefurahi kusikia kama Tanzania tuna Script writers,bei ya Movie script kama ukiamua kuiuza kinaweza range kwenye kiasi gani (Tsh)?
 
Mbona mimi natumia CELTIX pia.
EXT=NJE na INT=NDANI
View attachment 1774181

Wala tatizo sio SCRIPT, shida ni kwamba wasanii na waandaaji wengi bado hawapendi kutumia DIALOGUES zilizopo kwenye script,wengi wanataka tu over-view ya kitakachotokea kwenye scene kisha wao watumia maneno yao na posture zao nk..

Siwezi nkasemea hapa Tz maana i am no body na sina experience sema naona creators wa nje (shonda rhimes) kaandaa Tv shows kama SCANDAL, GREY’S ANATOMY niliskia anawaambia actors kuwa kazi yao ni kutoa performance na sio kuchange scripts wanatakiwa waseme kama vilivyoandikwa wasi change a thing maana vishafanyiwa research
 
Siwezi nkasemea hapa Tz maana i am no body na sina experience sema naona creators wa nje (shonda rhimes) kaandaa Tv shows kama SCANDAL, GREY’S ANATOMY niliskia anawaambia actors kuwa kazi yao ni kutoa performance na sio kuchange scripts wanatakiwa waseme kama vilivyoandikwa wasi change a thing maana vishafanyiwa research
Na ndo inavyotakiwa, kama ni kuchange kitu inatakiwa iwe kabla ya shooting, ila wakati wa kushoot unapoamua kutumia maneno/gesture zako unaharibu sana....ndo maana unakuta scene inakua ndefu bila sababu
 
Back
Top Bottom