masimango
Member
- Dec 14, 2014
- 26
- 7
Habari za majukumu wana Jamiiforum
Nina mpango wa kuanzisha microfinance co. Ndani ya mwaka huu na nilikuwa naomba ushauri juu ya software/accounting package nzuri ambayo naweza kuitumia kuendesha hiyo microfinance.
Ni matumaini yangu wana jamvi mtanishika mkono kweny hili.
Natanguliza shukrani za dhati...
Nina mpango wa kuanzisha microfinance co. Ndani ya mwaka huu na nilikuwa naomba ushauri juu ya software/accounting package nzuri ambayo naweza kuitumia kuendesha hiyo microfinance.
Ni matumaini yangu wana jamvi mtanishika mkono kweny hili.
Natanguliza shukrani za dhati...