Yaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za smartphone inaonekanaje in accordance to UX umeuliza users wako kadhaa wanaonaje au ipo ipoje...
Meet the offer you can’t refuse. Whether you need a blog, personal site, safari and tours site, booking site, project site, academic site, construction & engineering site, online shop or online CV? We know how to put the best possible website together to achieve your goals and score more...
Habari wadau, naamini mko poa.
Ni muda sasa nimekuwa nikifuatilia kuhusu cloud computing na nikafikia hatua ya kutaka kujua kiundani, katika kufuatilia kwangu nikagundua kuwa naweza kujifunza online na kupata cheti.
Ningeomba kujua kama kuna mtu ambaye alishafanya mitihani ya amazoni anipe tu...
REVISED
RE: SOFTWARE DEVELOPERS IN AFRICA
Many greetings to you.
We are currently looking for Software Developers in Africa.
We welcome applications from all African countries.
Consideration will be placed on a First-Come-First-Served basis.
Kindly share the attached job descriptions to...
Many greetings to everyone.
We are currently looking for Software Developers in Africa.
We welcome applications from all African countries.
Consideration will be placed on a First-Come-First-Served basis.
Kindly share the attached job descriptions to the qualified ones to send their...
Habari za majukumu wana Jamiiforum
Nina mpango wa kuanzisha microfinance co. Ndani ya mwaka huu na nilikuwa naomba ushauri juu ya software/accounting package nzuri ambayo naweza kuitumia kuendesha hiyo microfinance.
Ni matumaini yangu wana jamvi mtanishika mkono kweny hili.
Natanguliza...
Hero wakuu, poleni na mihangaiko ya kila siku.
Mimi ni mdau na schoral wa field ya IT na lengo langu kubwa ni kuja kufanya kitu ambacho ni remarkable na nipo chimbo kwa sasa, back to topic nakua inspired sana na wakubwa waliotangulia mfano kwa mbele watu kama Elon Musk, Mark Zuckerberg, Jeff...
Full Stack Software Engineer job opening at ENGIE Powercorner, check the post on LinkedIn for more details.
https://www.linkedin.com/jobs/view/1333157797/
Please, don't ask me anything related to this post via inbox, if have a qn, just ask it on this thread, otherwise everything is pretty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.