sms

SMS (short message service) is a text messaging service component of most telephone, Internet, and mobile device systems. It uses standardized communication protocols that let mobile devices exchange short text messages. An intermediary service can facilitate a text-to-voice conversion to be sent to landlines.SMS, as used on modern devices, originated from radio telegraphy in radio memo pagers that used standardized phone protocols. These were defined in 1986 as part of the Global System for Mobile Communications (GSM) series of standards. The first test SMS message was sent on December 3, 1992, when Neil Papwort, a test engineer for Sema Group, used a personal computer to send "Merry Christmas" to the phone of colleague Richard Jarvis. SMS rolled out commercially on many cellular networks that decade and became hugely popular worldwide as a method of text communication. By the end of 2010, SMS was the most widely used data application, with an estimated 3.5 billion active users, or about 80% of all mobile phone subscribers.
The service allows users to send and receive messages of up to 160 characters (when entirely alpha-numeric) to and from GSM mobiles. Although most SMS messages are sent from one mobile phone to another, support for the service has expanded to include other mobile technologies, such as ANSI CDMA networks and Digital AMPS.Mobile marketing, a type of direct marketing, uses SMS. According to a 2018 market research report, the global SMS messaging business was estimated to be worth over US$100 billion, accounting for almost 50 percent of all revenue generated by mobile messaging.

View More On Wikipedia.org
  1. Yohimbe bark

    JamiiForums Tanzania App gani naweza kuitumia kutuma sms nyingi kwa wakati mmoja?

    Kuna kazi nimepata moja ya majukumu yangu ni kutuma sms ya shukrani kwa wateja wote kila siku waliokuja kupata huduma kwenye kampuni yetu, je app gani itanisaidia wakuu? Thanks in advance.
  2. secretarybird

    JamiiForums Tanzania SMS gani ukiandikiwa na mtu unakereka

    Kuna baadhi ya watu wanekerwa na SMS wanazoandikiwa na ndugu, jamaa, marafiki, wapenzi (mademu)nk. Kuna rafiki yangu anakerwa na SMS zenye herufi 'X' inayokaa badala ya 'S' mfano mtu anaandika xamia xuluhu (samia suluhu), kuna jamaa mwingine anachukia SMS zenye tarakimu/namba mfano 2taonana...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Laini ya Vodacom kutopokea SMS, tatizo linaweza kuwa nini?

    Nina simu aina ya INFINIX nilinunua July 2020. Laini ninayotumia Ni ya Vodacom. Siku hizi hii simu hai display sms, iwe nimepokea pesa au nimetuma pesa au sms yoyote. Nikiweka laini ya halotel sms zinaingia Kama kawaida. Tatizo linaweza kua Ni Nini?
  4. R

    JamiiForums Tanzania Vas sms short code ordinary na ussd code

    Kwa ambaye amefanikiwa kuomba hizi leseni TCRA na kufanikiwa kupata ama anayefahamu taratibu za kuzipata naomba muongozo hapa ama mawasiliano yake anielekeze kitu, nitamfidia muda wake. Asante
  5. kesho kutwa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hii imekaaje? Anaenionganishia dili anauhitaji kuliko hata mimi! Cheki sms yake.

    "kaka vp ule mpango mbona kimya au nimuumganishie mwingine?" Hata maisha ya kuonganishiana michongo ya kazi inaharufu ya utapeli. Of course jamaa ni kweli mzee wa madili lakini the way anayo tuma sms inanistua kuona anataka kunivuna vya mfukoni mwangu. Je, umewahi kukumbana na kisanga cha...
  6. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Je, ulishiriki Stories of Change? Tafadhali angalia PM yako

    Katika mpango mkakati wa JamiiForums (JF) wa miaka 5 (2020-2024), JF ilidhamiria kuendesha shindano lenye kuwawezesha wananchi kushiriki katika kuongeza ubora wa maudhui ya Kiswahili yenye kuchochea mabadiliko. Shindano hili lianza rasmi mwaka 2021 na huendeshwa kila mwaka. Mwaka 2023 kuanzia...
  7. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kipi cha kufanya unapohisi Kuna kitu kibaya kinaenda kukutokea?

    Unapokuwa na wasiwasi wa kutekwa, kuuliwa, kukamatwa na watu wasiojulikana unapaswa kufanya nini? 1. Kuripoti polisi. Swali ni unaripoti kwa muktadha upi ukiulizwa kipi kinakufanya uwe na mashaka ya kutokewa na kitu kibaya utawaambia Nini kama ushahidi? je nikiwaambia hisia zangu zinaniambia...
  8. toriyama

    JamiiForums Tanzania Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili?

    Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili? Lakini ukiandika kwa kuacha nafasi sms inaenda au ukiweka alama katikati ya neno SEX mfano SE.X sms ndio inaenda nani kuruhusu mambo haya?
  9. JOHNGERVAS

    JamiiForums Tanzania Unajua Umuhimu wa BULK SMS?

    Bulk SMS ni huduma ya kutuma ujumbe wa maandishi kwa watu wengi kwa wakati mmoja kupitia simu za mkononi. Huduma hii inatumiwa na makampuni, mashirika, au hata watu binafsi kutuma ujumbe mfupi kwa kundi kubwa la watu, kama vile wateja, wanachama, au wafanyakazi.inatumia sender ID yako...
  10. doctor mwanafunzi

    JamiiForums Tanzania KERO Jumbe fupi (sms) vamizi ni kero na usumbufu

    Sms zinazotumwa kutoka kwa watu wasiojulikana zimekuwa ni kero kubwa sana na wakati mwingine zinawapa wananchi wasiwasi kuwa huenda taarifa zao binafsi zinazohifadhiwa kwenye simu ya mkononi zikawa zimevuja...tunaomba serikali au mamlaka husika itilie mkazo kwenye kudhibi tabia hizi za sms za...
  11. VINICIOUS JR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KUNA DEMU KALA VITU VYANGU HAJIBU SMS WALA KUPOKEA SIMU

    Wakuu bila kupoteza mda naomben maoni yenu hela za muhun haziliwi bure *****.
  12. G'taxi

    JamiiForums Tanzania Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, hiki kitu ni nini na kinatokana na nini?

    Wapendwa habari zenu Napenda ku-share nanyi hiki kitu kinatokea kwenye simu yangu anytime. Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, simu inaweza kua muted nikiendelea na mambo mengine, ghafla naona mwanga na inatokea hiyo inaandika sending sms kisha...
  13. Mr Suprize

    JamiiForums Tanzania Simu kujirudia kutuma SMS moja tatizo NI nini?

    Naomba msaada simu yangu aquos sense 5g natumia laini ya voda NI week sasa nimtumia mtu SMS may be Habari! Kule nakotuma SMS zinaenda zinaenda zaidi ya 5 Yani inakuwa kama hivi Habari Habari Habari Habari Naona NI Kero nimejaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja wanasema hawaoni tatizo kwenye...
  14. chibuOG

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

    Kwema Wadau? Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena...
  15. Informer

    JamiiForums Tanzania Wapogoro na Waluguru, ni kweli hawajui pa kuweka space kwenye SMS?

    Nina jamaa zangu wa makabila haya kwakweli kusoma chats zao huwa ni mateso sana. Wenzangu mmewahi kumbana na hili? Unaweza weka screenshot bila kuonesha namba au jina la mhusika.
  16. R

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa mifuko ya hifadhi wanashindwa kubuni hata utaratibu wa kutuma sms kwa wanachama kuwakumbusha makato? Wanasubiri ustaafu wakunyime mafao

    Benki wanaweka utaratibu wa taarifa kwa umma ikiwemo kupitia mfumo na kukumbusha kama kuna deni, kuna huduma mpya au chochote cha kukuweka karibu nao. TRA na Mamlaka za maji wanakutumia ujumbe wakiwa wanakudai au umepata huduma yao. Polisi wanatumia ujumbe mfupi kwa umma kutoa taadhari za...
  17. sinaham

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya vodacom mna nini mwaka huu? Nimekuwa nikipokea offer mfulululizo mfano sms hii hapa na kabla ya hapo MB kama zote.

    Najuaga hakunaga vya bure. Nimekuwa nikipokea sms za kupokea vifurushi bure. Una Dakika 20(Voda) na SMS 100 mpaka 2024-04-08 07:05:35 kuwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki. Kujua salio Piga *149*60#. Vigezo kuzingatiwa nimajiuliza sana kwa ile kanuni ya HAKUNA CHA BURE HAPA DUNIANI yasije...
  18. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huna mpenzi bali una tapeli. Mwandikie SMS kuwa una shida na elfu 10 chap halafu subiri majibu

    Hii ni kwa ma men. Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka. Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake...
  19. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

    Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa. Sasa jana baada ya kuendelea...
  20. R

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Naona kuna SMS inasambaa kuelekeza wanaccm warekodiwe kupinga maandamano; soon zitaanza kwenda viral

    Muda mfupi baada ya Mbowe kusema kutakuwa na maandamano tarehe 24.01.24 maelekezo yametolewa kila kona watafutwe wanachama wahojiwe na vyombo vya habari wapinge maandamano hayo. Siamini katika maandamano lakini pia siamini katika falsafa yakutumia wajasiriamali kwa kigezo cha amani wasipaze...
Back
Top Bottom