single mother

A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimeamka na uchovu wa hatari baada kupelekwa mputa mputa na single mother

    Back to the topic, ile kauli ya usishindane na ulikotoka yamenikuta wakuu. Jana niliingia lodge na single mother mmoja. Huyu huwa nishawahi mlaga kama mara mbili hivi huko nyuma, najua huwa anashoo ya kibabe. Sasa jana ilizidi wakuu. Yaani huyu demu ni wale wanawake wembamba ambao huwa...
  2. Bacteriophage

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Athari zinazopatikana kwa mtoto alielelewa na Single mother

    Kuna baadhi ya wanawake (single mothers) ambao wao wanaamini ya kwamba wana uwezo wa kulea watoto Peke yao bila ya usaidizi kutoka kwa mzazi mwenza(baba). Na hii imekua ni sababu ya wanawake hao kukataa kuendelea kuishi kwenye maisha ya ndoa wakiamini ya kwamba wana uwezo wa Kusimama Peke yao...
  3. Bacteriophage

    JamiiForums Tanzania Athari zinazopatikana kwa mtoto alielelewa na Single mother

    Kuna baadhi ya wanawake (single mothers) ambao wao wanaamini ya kwamba wana uwezo wa kulea watoto Peke yao bila ya usaidizi kutoka kwa mzazi mwenza(baba). Na hii imekua ni sababu ya wanawake hao kukataa kuendelea kuishi kwenye maisha ya ndoa wakiamini ya kwamba wana uwezo wa Kusimama Peke yao...
  4. Think2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usimpeleke single mother getoni kwako kama huna mpango wa kumuoa

    Usimpeleke au kumuelekeza single maza unapoishi usije kusema sijakwambia narudia kama huna mpango wa kumuoa huyo single maza basi pigia lodge huko Na ukijifanya husikii kuna siku atakufata hapo geto akiwa na vitu vyake vyote kwa maana ya kwamba anahamia kwako hapo na wewe huna mpago wa kumuoa...
  5. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Single Mother wanavyowatetea Baby Daddy zao wakiwa kwenye penzi Jipya

    Kama una akili nyepesi unaweza usielewe yaani ni kama anamkandia na hataki kumsikia lakini ukienda ndani zaidi unagundua anamkingia kifua asiguswe kuna mipaka anataka akuwekee ili usiwe unahoji mambo yanayoweza kufukua makaburi na maiti zilozolala. Am done with Single Mothers
  6. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania NIKIWA RAISI NTAWEKA SHERIA MWANAUME ATAKAE OA SINGLE MOTHER AKATWE KICHWA

    Shalom shalom Niende kwenye mada Moja Kwa Moja Najua wengi watanishangaa lakin kwa mustakabali wa maendeleo wa Taifa lolote lile vijana ndo Kila kitu hasa wanaume hivo kuwatoa katika wimbi la stress zisizo na kichwa wala miguu ntaweka sheria kuwa kijana yeyote under 60 age of years hakuna kuoa...
  7. Soul21

    JamiiForums Tanzania Single Mother Waheshimiwa. Tyler Perry kasema nusu ya changamoto zao

    Huhitaji utajiri Wa pesa kuelewa maisha ya mwingine Bali upendo ndio daraja pekee la kuokoa maisha ya mwezako anayepitia nyakati Ngumu. Nimetazama filamu ya Straw kutoka Tyler Perry nimeona picha ya ndani wanayopitia single mothers tuache kuwakebehi kwa lolote hasa pale ambapo huwezi kumpa...
  8. youngkato

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Story ya single mother kapanga gheto lake Mwanza

    Amepanga gheto lake, ameweka kila kitu. Kazi yake ni anazunguka mchimboni anatafuta pesa (Anafanya kazi halali) Akirudi Mwanza anakula bata wiki mbili af wiki tatu anapotea mjini.
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naona mapema nitashindwana na huyu Single Mother

    Ni dada ambaye nimempenda naye kanipenda.lakini ana mtoto wa miaka 5 huyu mtoto amedekezwa sana. Mimi kwangu ni kero kwa kweli. Mtoto ananyonya vidole? Mtoto anayenyonya vidole namwona ni toto jinga jinga. Akitaka kulala anaanza na kulia kwanza so mama yake anambembeleza ndo alale. Akishtuka...
  10. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aina za single mother

    1. Single mother mjane. Baba mtoto amekufa. Hajatalakiana nae, hajakimbia, isipokua amekufa. Huyu mwanamke hajachagua kuwa single mother, maisha yamemlazimu. Kuna heshima jinsi anavyoubeba huo mzigo. Anapambana vita ambayo hajaianzisha na bado anailinda heshima yake. Huyu ndie single mother...
  11. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Reaction ya Mzee wangu baada ya kusikia naishi na single mother.

    Nimekuwa inspired na Jesca Magufuli jinsi alivyoshare moments za baba yake enzi za uhai wake kwangu imenipa fundisho kuwa uwepo wa baba una maana kubwa kwenye ukuaji regardless financial status ana pesa ama hana ila guidance yake ni muhimu. Reaction ya marehemu mzee wangu alipopata taarifa kuwa...
  12. Knock life

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu sielewi hii kitu nimemleta single maza kwangu ila mtoto wake analia Ahsubui mpaka jioni nahisi kuchoka

    Wakuu sielewi hii kitu nimemleta single maza kwangu ila mtoto wake analia Ahsubui mpaka jioni. Ukimzuia kitu analia , mama yake hataki aguswe Ana miaka 2 sasa. Ila akimuacha mtoto anakaa kimya yaani anamlea kimyai mayai .
  13. mwaibile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naisha na single mother ila sasa mwanae ni mtundu balaa, nikimuonya mama yake anakuja juu

    Habari wapambanaji kuna single mother mmoja yupo na mtoto mdogo yupo na miaka 2 baada kuzalishwa na jamaa kakataa mtoto nikaona ngoja niishi nae Yani najuta mtoto wake ni mtundu balaa kachelewa kutembea sasa ndo anatembea yani ni kuvunja vitu ndani mpaka sasa ashapasua majagi ya maji vikombe na...
  14. Zemanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini mwanaume anayeamua kuwa na single mother anajitengenezea sintofahamu siku za baadae

    Hii ni ujumbe wenu M'simp a.k.a second hand handler, a.k.a Step fathers, a.k.a ma'sponsors, a.k.a mubaba almaarufu Mabushoke. Awali ya yote kwa utangulizi, niseme kwamba "a modern woman is loyal to her feelings only", yaani kwa kiswahili ni kwamba ni sawa na kusema, "Mwanamke wa kisasa...
  15. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaodharau single mothers wakati mama yenu ni Single mother mnaemsifu ni shujaa wenu, mna uzima kichwani ?

    Ulizaliwa na mama yako akiwa hajaolewa na pengine akaja kuolewa na mwanaume mwengine tofauti na baba yako, mwanamke huyu unamsifu. Lakini hapo hapo unawadharau single mothers kwamba hawafai. Hii tunaiitaje ? Pia kwa upande mwengine kuna single mothers wanatamani kuolewa lakini wao hawataki...
  16. Last_Joker

    JamiiForums Tanzania Uvumilivu wa Ndoa: Kuachana Haraka au Kutatua Migogoro?

    Siku hizi, ndoa zimekuwa kama subscription ya Netflix—ukiona haikufurahishi, unabonyeza cancel fasta! 🤷‍♂️ Wazazi wetu walikuwa wanaishi kwenye ndoa kwa miaka 30+ hata kama kulikuwa na matatizo, lakini kizazi cha sasa? Umetofautiana na bae mara mbili, unaita ndugu, unaandika status za toxic...
  17. Mr dollar

    JamiiForums Tanzania Natafuta single mother wa kuingia naye kwenye mahusiano

    Kama kisemavyo kichwa cha habari Awe ana-ishi dar ambaye yuko tayari anakaribishwa
  18. Kisesetusese

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetokea kumpenda sana single mother yaani nipo njia panda

    Mimi sio mtu ninaependa hovyo. Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia. Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa...
  19. Mtu Alie Nyikani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

    WanaJF Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia. Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya. Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya...
  20. Knock life

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuweni makini na single mothers, ni hatari. Nimenusurika kutoka katika mdomo wa mamba

    Wakuu habari. Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail) Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani. Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo...
Back
Top Bottom