mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Leo timu yetu ya Tanzania itapeperusha bendera ya Tanzania huko Afrika ya kusini na dunia yote itatazama. Tutumie uzi huu kuitakia ushindi Simba dhidi ya Kaizer chiefs.
Naitakia Simba ushindi wa kishindo!! Karibuni.
Naitakia Simba ushindi wa kishindo!! Karibuni.