TANGA; RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amemteua tena Athumani Nyamlani kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa shirikisho hilo.
-
Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, Rais anateua wajumbe wanne wa Kamati ya Utendaji ambao wanathibitishwa na Mkutano Mkuu wa TFF na miongoni mwa...
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, tulizilea hizi timu katika mtindo huo na sio rahisi leo kuzitenganisha na CCM, chombo pekee kinachoweza kufanya hivyo ni FIFA kuzipa onyo na kuendelea kuzifuatilia kwa ukaribu.
Kwa maslahi mapana ya soka letu ni vema kukaandaliwa kanuni itakayozui timu zetu hizi kutokuifunga timu mojawapo zaidi ya mara tano mfululizo.
Kutokana na ukubwa wa hizi timu hakika zimebeba idadi kubwa sana ya mashabiki.
Sio jambo jema kukuta kuna shabiki analia na kukosa furaha kwa zaidi...
Manji alipotaka kuikodisha Yanga kwa miaka 10 mlimgeuka Mzee wa watu mchana kweupe",
Simba nao wameanza kuonesha dalili za kumkana Hadharani Mo kisa kaawambia Mmetumia Billion 87 zake😂😂😂
acheni Unafiki Kama hamuwataki muwe mnawakataa mapema
Kwamba ndio italeta usawa kwenye ligi,hapana nakataa. Yapo mengi tu ya kurekebisha yanayokiukwa kuleta usawa badala ya kulazimisha wenzenu wakaungua na jua eti huo ndio usawa.Huo usawa roho mbaya?.
Mmekuwa kama chongo anayetamani Mwingine naye apoteze jicho ndio aone wapo sawa.Kama kucheza...
Mo wakati anaingia Simba alitoka kustaafu kuwa Mbunge wa CCM uko Singida
Akaja Simba akatudanganya Simba itaichukua champions ligi
Akajaza wahuni wa CCM kwenye timu Kama Mangungo na Try Again.
Kibaya zaidi kajenga uwanja na kuuita jina lake badala ya jina la club
Katiba ikapigwa kapuni na...
Hongereni watani, hatuna kisingizio chochote mmetufunga kihalali.
Michezo 5 mfululizo Simba tunanyukwa,ni tofauti kwa Azam na Yanga, Simba hawana ubabe tena mbele ya Yanga tuwaweke kando kwenye derby iwe Azam na Yanga
Derby huwa mmoja hata awe dhaifu anakaza ila siyo kufungwa mara 5...
Mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC na Simba SC utachezeshwa na waamuzi kutoka nchini Misri.
Mwamuzi wa kati atakuwa Amin Mohamed Amin Omar, msaidizi namba moja ni Mahmoud Ahmed Abo El Regal, huku msaidizi namba mbili akiwa Samir Gamal Saad Mohamed.
Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC...
Baada ya Mh Rais kuingiila utendaji wa TFF jambo lilopelekea baadhi ya viongozi wa bodi ya ligi kujiuzuru na wengine kufukuzwa sasa tusubiri kifungo kutoka FIFA
Si
https://www.youtube.com/watch?v=dfKDTNeySwU
Kwanza nikiri wazi mimi nilikua mpenzi, mwanachama na shabiki wa Simba sports Club..
Ila baada ya kumuona Mangungu ikulu na Kiongozi wa Sisiemu.
Na kupewa maagizo na kutoka akiwa anachekelea na mwenzake Dalali..
Mimi kama kijana naamua Rasmi kuanzia tarehe ya leo kufanya bidii katika biashara...
Kuna mgogoro mkubwa ndani ya management ya Simba, wengi wamekasirishwa na uwakilishi wa Hasan Dalali na Hasan Hasanoo na watu wengine walioonekana sio viongozi wa Simba.
Tukumbuke Yanga waliwakilishwa na viongozi sahihi wa club ya Yanga ikiwa ni pamoja na Arafat Haji ambaye ni Makamu wa Rais wa...
bodi
bodi ya simba
derby
hewa
ikulu
kutatua
mgogoro
serikali
simbasimbanayanga
taasisi
taasisi za serikali
tff
viongozi
viongozi wa simba
watanganyika
yangayanganasimba
Dabi ya Kariakoo ya June 15 imesogezwa mbele Kwa mara nyingine tena
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeusogeza mbele mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC kati ya klabu ya Yanga na klabu ya Simba ambao ulipangwa kufanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Juni 15, 2025 kuanzia saa 11:00 jioni...
Haijawahi tokea mtu mwenye akili timamu akawa anashabikia hizi teams kishabiki kindakindaki na akabaki na akili timamu. Lazima aache kimoja. Ushabiki au akili.
Naona tu hata humu JF wengi walishaamua kuacha akili nje wakaingia ndani ya hizi team kinyume nyume wameinama na kushika kichwa. Na...
Mbunge wa viti maalumu, Ester Bulaya ameibuka bungeni na kuuliza swali la kutaka kujua ni nini kilitokea hadi kuahirishwa kwa mechi ya dabi kati ya Simba na Yanga iliyotakiwa kuchezwa Machi 8, 2025 ambapo ameomba kupatiwa majibu.
Baada ya kuuliza swali hilo, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson...
Kwa miaka mingi, Ligi Kuu Tanzania Bara imeonekana kama ni jukwaa la timu mbili—Simba na Yanga—ambazo kwa namna moja au nyingine zimekuwa zikinufaika na mfumo uliopo, huku timu nyingine zikipambana bila mafanikio makubwa kutokana na mazingira yasiyo na usawa.
Lakini sasa upepo wa mabadiliko...
Tutakuwa watu wa porojo tu na kuuwacha ukwel yanga na simba zinapokutana mpira wao wote huchezwa nje kwa ushirikina kinachokwenda pale ni kukamilisha ratiba kwenye macho ya watu.
Wewe kataa au kubali huo ndio ukweli ni hichi ndio kilichotokea tarehe 8/03 ndio kinachoanya gumzo kuwa kubwa ila...
Soon Watu wataacha Agenda Muhimu za NO REFORMS NO ELECTION na kuanza kujadili ujinga ujinga wa Timu Ambazo hazina msaada wowote Ule Kwenye maisha Yao ya Kila SIKU Zaidi ya wao kuzinufaisha hizo Timu.
Ukizingatia wenye mamlaka Wana assets zao , ukizingatia historia ya nchi ilivyo na inavyohusisha timu hizo mbili...
Na ukizingatia yoyote Yale
NI BORA IFUTWE TUUUU ILI KU BALANCE MZANI WA TIMU HIZI......LIGI IISHE TIMU MBILI ZINA PUNGUFU YA MECHI 1 WENGINGE 14 WAKO SAWA....
ASANTENI..
Sio Tanzania niliyoizoea hii, Tanzania nayoijua inapokaribia Derby Talk of the town huwa ni Simba na Yanga.
Tena hii derby inayokaribia imejaa ukakasi kama itachezwa au lah, kuna kiu ya kuona TFF watatoa maamuzi gani, kurahisisha kwa maneno machache, Tanzania niliyozoea ilibidi kuwe na debates...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.