RC Simiyu Kihongosi ni sikio la kufa, wakuu wa mikoa wenzake walikopita CHADEMA kuanzia Kagera, GEITA, MWANZA, MARA wote hawakujihusisha na hujuma zozote dhidi ya Mikutano ya Chadema zaidi kama ni majibizano yalibaki kati ya Wakurugenzi na CHADEMA kuhusu viwanja.
Lakini Simiyu imekuwa tofauti...