siasa

Siasa
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. Common Folk

    Swali kwa JWTZ: Vyombo vya usalama kufanya gwaride mitaani kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi siyo siasa?

    Mbona kozi zingine za majeshi huwa hamfanyii mitaani, huwa mnaenda kwenye maeneo maalumu yaliyojificha mnafanya kozi zenu huko kimya kimya bila kuleta bughudha kwa raia wa kawaida? Kwa nini kipindi hiki cha uchaguzi mkuu mnafanya magwaride mtaani, tena mmeungana majeshi yote, na hiyo yote baada...
  2. mwanamwana

    GE2025 Said Mohamed na wenzake wataka viongozi CHADEMA kukamatwa kwa kukiuka amri ya mahakama

    Ameandika Hilda Newton kupitia mtandao wa X TAARIFA KWA UMMA Kuna Maombi Madogo ya kesi ambayo Said Issa Mohamed na Wenzake wamefungua kwa hati ya dharula dhidi ya 1. Mhe. John Heche 2. ⁠Mhe. John Mnyika 3. ⁠Hilda Newton 4. ⁠Twaha Mwaipaya 5. ⁠Board ya Wadhamini ya Chadema. Maombi hayo...
  3. Waufukweni

    GE2025 Katalyeba: Wananchi wa Buchosa tumetosheka na kasi ya maendeleo, hatuhijaji Siasa za Ubwabwa

    Katika uzinduzi wa kampeni za udiwani Kata ya Nyakaliro, Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Mjumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Sengerema na mmoja wa wasimamizi wa kampeni Jimbo la Buchosa, Comrade Boniphace Katalyeba, amewasihi wananchi wa Buchosa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Awamu ya Sita...
  4. A

    Tofauti Kati ya Mwanasiasa na Kiongozi ni kwamba Mwanasiasa anafikiria uchaguzi ujao wakati Kiongozi anafikiria kizazi kijacho

    Tofauti Kati ya Mwana Siasa na Kiongozi ni kwamba Mwana siasa anafikiria uchaguzi ujao wakati Kiongozi anafikiria kizazi kijacho... Hivyo akija mwana siasa kwako muulize mwana siasa , Mtoto wako atafaidika vipi na sera zake.
  5. Parabolic

    Kesi ya CHADEMA Manyara, Mahakama yatupa pingamizi la Ofisi ya Msajili

    Mahakama Kuu Kanda ya Manyara imekubaliana na maombi ya Chadema ya kuendelea na kesi ya msingi, huku ikitupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa dhidi ya chama hicho kuendelea na kesi hiyo. Kesi hiyo iliyosikilizwa leo Oktoba 2, 2025 na Jaji Nenelwa Mwihumbi...
  6. sanalii

    Arusha na Kilimanjaro zimepatwa na nini kwenye siasa?

    Hizi zilikua ndio ngome za upinzani na harakati ila sasa naona kama CCM wanaogelea tu na wanapata support ya vijana tofauti na nilivyofikiria. Nini kimewapa?
  7. Analogia Malenga

    Sikiliza barua ya Vitali Maembe na Siasa za Tanzania

  8. T

    KERO Mwanza Yageuzwa Jangwa: Wiki ya Tatu Bila Maji, Viongozi Wanaendelea na Siasa

    Ukweli Mchungu Viongozi wa mkoa wa Mwanza wanaendelea kukwepa ukweli na kugeuza hali ya maji kuwa siasa. Tayari ni takriban wiki ya tatu sasa jiji la Mwanza linakumbwa na ukosefu mkubwa wa maji. Hivi karibuni mkuu wa mkoa alitangaza wazi kwamba marekebisho yamekamilika—lakini hali halisi kwa...
  9. Damaso

    Siasa na Imani: Hatari ya Kutumia Dini Kama Kigezo cha Kampeni

    Ukishindwa kutumia busara katika kunadi sera zako wakati kampeni basi tumia utimamu kuangalia maneno unayozungumza. Ni hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya wanasiasa wakiingia katika kiwango cha ujinga na upumbavu kwa kutumia maneno ya dhihaka dhidi ya imani za kidini, hasa Ukristo, ili...
  10. M

    Simba watajifunza kwa maumivu makali ya kukosa ubingwa hadi 2030, siasa na serikali havikwepeki, kuna safari ngumu sana kwa simba

    N:B: Ngao ya jamii haihusiki 😁 Simba wametandikwa kihalali. Tupo Tanzania, hapa sio Malawi au Kenya, ukiwa na kampuni, biashara, taasisi, n.k. kuna vitu inakubidi uvifanye katika uwanja wa serikali na siasa ili mambo yaende hata vilabu vya mpira inabidi wavifanye hata kama haviwafurahishi...
  11. GENTAMYCINE

    Tuliowahi kuishi Kawe na kujua Siasa za Wafanyabiashara wa Kawe kubishana na Tajiri Mmoja tulijua tu ipo Siku hilo Soko litaungua kwa Kuunguzwa

    Pigia sana mstari hiyo Sentensi yangu niliyosema kuwa tulijua tu ipo Siku hilo Soko litaungua kwa Kuunguzwa Kimkakati.
  12. R

    GE2025 Mgombea Urais NRA: Tumegundua na tunajua kuwa watu wana bendera nyingi wakati watanzania wengine hawana nguo

    “Tumegundua na tunajua kuwa watu wana bendera nyingi wakati watanzania wengine hawana nguo, watu hao wanathamini chama badala ya maslahi ya taifa la Tanzania. Mkituchagua tunahitaji kuwa na jukwa moja la shughuli ili watu wawachague viongozi bila kutishiwa au kushawishiwa. ” Ni ahadi ya mgombea...
  13. Analogia Malenga

    GE2025 Vitali Maembe aachana na siasa

    TAARIFA YA KUJIUZULU KUTOKA SIASA ZA VYAMA Tarehe 20 Julai 2025, nilimuandikia barua Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ndugu Ado Shaibu, nikieleza rasmi uamuzi wangu wa kujiuzulu siasa za vyama, nafasi yangu ya Uenyekiti wa Jimbo, na uanachama wangu wa chama. Katika barua hiyo nilitoa pia sababu...
  14. Sifi Leo

    Proffesa Kabudi na siasa za maji ya kihaya, unamfananisha Samia na Nyerere, Hayati Magufuli na Mungu aise

    Ukinzisha biashara ya kuuza maji na kuyaita uhayani water utauza sana Najiuliza Proffesa Kabudi alirogwa na nani? Yaani anamfananisha Samia na Nyerere kama ulivyomfananisha Magu na Mungu na baadae Mungu kukuonesha hafananishwi akamtwaa.
  15. submeter kata umeme

    Submeter janja/submeter kata umeme

    🔌 Submita kata umeme ni kifaa kinachotumika kudhibiti matumizi ya umeme kwa kila sehemu ndani ya jengo—kama vile chumba, ofisi, au nyumba ndogo—kulingana na kiasi cha umeme kilicholipiwa. Maelezo ya kina: Submita (au sub-meter) hufungwa ndani ya jengo lenye wapangaji au sehemu nyingi...
  16. Teslarati

    Mfanyabiashara au Mwekezaji unaejielewa achana na siasa, kaa jifunze playbook ya uwekezaji na biashara anayotumia Rostam A. He's the best dealmaker

    Kwenye biashara na uwekezaji skill pekee ambayo ni muhimu kuliko zote ni 'The art of deal making' Na mtanzania pekee ambae naona anafaa kuwa rolemodel wa wengine kwenye hilo si mwingine bali ni Rostam Aziz. Sasa wewe kijana au mzee mfanyabiashara au mwekezaji endeleza ushabiki wa kisiasa...
  17. Pdidy

    Duh siasa hiii..dada katisha

    tutaona mengi mwakahu
  18. Sifi Leo

    Siasa bhana, Nape anachonga vonyago na simanzi moyoni, nimeambiwa January Makamba akafungua Madrassa

    Kuna picha inamwonesha mwanasiasa Nape Nauye aliyemwita mwendazake mshamba, akamla kichwa, Leo anachonga vinyagooo. Leo hii NASIKIA Makamba amefungua Madrassa je nikweli? WALIOKUWA makampeni mastamind Leo hii wako benchi.
  19. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Mnaambiwa mwache kulalamika mfanye kazi malalamika tena😀, mbona nyie watu hamweleweki, Kila awamu nyie ni kulalamika tu. Tukiachana na awamu ya Nyerere na Mwinyi ambayo sina kumbukumbu sahihi, awamu ya mkapa mmelalamika, awamu ya Kikwete mmelalamika, awamu ya Magufuli ndiyo...
  20. OLS

    Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Ardhi, Watu, Siasa safi na Uongozi Bora

    Mwalimu Nyerere alipokuwa analeta Ujamaa kwa watanzania, aliponda sana masuala ya kuchukua fedha za nje, na moja ye hotuba yake aliwaponda sana wanaotaka mishahara mikubwa kwamba hela tunapata wapi. Na hapa sisemi kwamba nakubaliana na falsafa ya Ujamaa, najaribu kuzungumzia masuala ya fedha...
Back
Top Bottom