shule

  1. JamiiForums Tanzania Kumbe kwa kina ndoa kuna kuchapana mijeledi kama shule na hamsemi

    Naomba kwaajili ya afya yangu ya akili mniambie huyu ni baba anamwadhibu mwanae sio mume 😁
  2. JamiiForums Tanzania Falsafa ya Kilimo: Shule ya maisha ndani ya udongo

    Watu wengi wakisikia neno kilimo, hukimbilia kwenye jembe, matope, jua kali, na uchovu. Lakini ukweli ni kwamba, kilimo sio kazi tu ya kuzalisha chakula; kilimo ni shule kubwa zaidi ya maisha. Kila hatua unayoiona kwenye shamba la mahindi, mboga, au matunda, ina somo kubwa la jinsi mwanadamu...
  3. JamiiForums Tanzania Msaada wakuu kuhisu shule ua HIV and AIDS

    Habari wakuu. Poleni kwa kuwashtua. Poleni kwa Kuwapa tension. Kuna Bonge la Uzi niliwahi kusoma Mwaka 2020 miaka Takriban 7 Iliyopita. UZI ULIKUWA UNAELEZEA KWA UNDANI MNO KUHUSU HUU HISTORJA YA UGONJWA, KISAYANSI, KIRUSI CHAKE KILIVYO, NA MTAALAM AKAISHIA KUSEMA HIV SIO UGONJWA NI ...
  4. JamiiForums Tanzania Pasipo shaka shule za vipaji maalum za wasichana zipo

    Ila je bado wasichana wenye vipaji bado wapo???? Wanafunzi kumi bora ni wavulana mwaka huu 2026? Wadau ,
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Sekondari Nsongwi Juu - Mbeya Vijijini imekuwa na changamoto ya utawala mbovu

    Shule ya Sekondari Nsongwi Juu (Mbeya Vijijini) imekuwa shule yenye utawala mbovu imefikia hatua mpaka Walimu wanashindwa kufanya kazi kwa sababu ya utawala huo. Kesi zimekuwa nyingi zimefika mpaka kwa Afisa Elimu Kata na Afisa Elimu Wilaya lakini hazitatuliwi, sasa hatujui shida ni nini...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muswada Mpya Waweka Masharti Makali kwa Wanaotaka Kufungua Shule Kenya

    Muswada wa Sheria ya Elimu ya Msingi, 2026 unapendekeza masharti mapya na makali kwa watu au taasisi zinazotaka kuanzisha na kuendesha shule za msingi na sekondari nchini Kenya. Kwa mujibu wa muswada huo, mwombaji atalazimika kuwasilisha ombi kwa County Education Board, ambayo itatathmini iwapo...
  7. O

    JamiiForums Kenya Muswada Mpya Waweka Masharti Makali kwa Wanaotaka Kufungua Shule Kenya

    Muswada wa Sheria ya Elimu ya Msingi, 2026 unapendekeza masharti mapya na makali kwa watu au taasisi zinazotaka kuanzisha na kuendesha shule za msingi na sekondari nchini Kenya. Kwa mujibu wa muswada huo, mwombaji atalazimika kuwasilisha ombi kwa County Education Board, ambayo itatathmini iwapo...
  8. JamiiForums Tanzania Shule za serikali bado zinatuma wanafunzi kuni za kupikia!

    Nimeshangaa sana kuna shule za mjini mpaka miaka hii wanafunzi bado wanapeleka kuni za kupikia na wanafanyishwa kazi za kufagia mavumbi asubuhi shuleni. Shule ya msingi niliyosoma ilikuwa na ujinga wa kututuma mbolea na maua bila kujali kama 99% ya wanafunzi hawakuwa wafugaji wala wenye bustani...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watoto wetu wanakaa chini wakati wa masomo, Shule ya Msingi Bonyokwa (Dar) iongeze madawati

    Mimi ni mzazi mwenye mtoto anayesoma katika Shule ya Msingi Bonyokwa iliyopo Wilaya ya Ilala, Kata ya Segerea, Dar es Salaam. Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu hali ya mazingira ya kujifunzia ambayo watoto wetu wanapitia shuleni hapo. Changamoto kubwa ni wanafunzi wa Darasa la Tatu ambao...
  10. JamiiForums Tanzania Nyumba (pagale) inauzwa marambamawili karibu na shule ya msingi king’azi

    Habari wakuu nyumba ( pagale). Linauzwa …. ipo mbezi marambamawili karibu na shule ya msingi kingazi jirani na tank la dawasco … Ukubwa wa eneo ni sqm400…… Mauziano serikari za mitaa… Bei sh 21m(bei inapungua).. (Lina vyumba 6 (sio vikubwa) 0692669235 N:B.. amna udalali (karibuni)
  11. JamiiForums Tanzania Songwe: Mwalimu auwawa akizuia mifugo isipite katikati ya Shule

    Mwalimu wa Shule ya Sekondari Galula wilayani Songwe, Nisetas Dimoso amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa wafugaji, kufuatia jitihada zake za kuzuia mifugo kupita ndani ya eneo la shule. Mwalimu Dimoso alifariki dunia Julai 28, 2026 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya...
  12. JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Hakuna faida yoyote ya kuwa na misitu alafu watoto wanakaa chini. Hiyo misitu tunamtunzia nani?

    Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, Julai 23, 2026 akiwa ziarani amewataka viongozi wa halmashauri na vijiji mkoani Kilimanjaro kujiongeza na kutafuta suluhu za haraka za kisekta badala ya kusubiri bajeti kuu ya serikali ili kutatua changamoto ya ukosefu wa madawati na miundombinu mashuleni...
  13. JamiiForums Tanzania SHULE INAUZWA,IPO KITUNDA DARESSALAAM,BEI NI TSH BILLIONI 9

    SHULE INAUZWA IPO DSM, KITUNDA UKUBWA WA ENEO NI EKA 12 FULL DOCUMENTS BEI NI TSH 9b/- 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  14. JamiiForums Tanzania Shule inauzwa bei ni billion tisa(9), ipo Kitunda -DSM

    SHULE INAUZWA IPO DSM, KITUNDA UKUBWA WA ENEO NI EKA 12 FULL DOCUMENTS BEI NI TSH 9b/- 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717 #houseforsale #plotforsale #luxuryapartments #property #creatorsearchinsights
  15. JamiiForums Tanzania Nkasi DC: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kipande hawakai chini, hata hivyo tutanunua meza na viti 900 kugawa Shule za Sekondari

    Hoja ya awali ya Mdau ~ Shule ya Sekondari Kipande, Wilayani Nkasi - Rukwa haina madawati, Wanafunzi wanakaa chini Mtakumbuka tarehe 15/07/2026 mtandao wa Kijamii wa JamiiForums ulitoa taarifa kuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kipande iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini waumini masikini wasitibiwe au kusoma bure kwenye hospitali na shule za dini

    Habarini, Yaani waumini wa kiafrika waliowengi ni maskini lakini wanajitoa kwa sadaka ili kujenga hospital8 na zhule za makanisa na miskiti ila wanalipia juduma zote kwa 100%. Kwanini watu wa Mungu hao wasio na uwezo wasitibiwe bure wakati makanisa na miskiti hailipi kodi? Wajinga ndiyo waliwao!!
  17. JamiiForums Tanzania Je, unafahamu namna nguzo za madaraja yanayipita baharini zinavyojengwa? Tupate shule kidogo

    Nguzo za madaraja ya baharini hujengwa kwa teknolojia maalumu ili ziweze kustahimili maji, mawimbi, mikondo ya bahari, na uzito wa daraja. Kwa ujumla, hatua zake ni hizi: Uchunguzi wa eneo Wahandisi hupima kina cha bahari. Huchunguza aina ya udongo au mwamba ulioko chini ya maji. Hupima nguvu...
  18. JamiiForums Tanzania Tuliomaliza shule ya Chekechea ya Step UP Nursery School ya Sinza miaka ya 90s nadhan mpaka miaka ya 20's. Mpo wapi Tujuane Wadau

    Leo nlikuwa napitia baadhi ya mitihani yangu ya shule ya Chekechea nimekumbuka sana wadau au classmates zangu wa Chekechea katika kindergarten ya Step Up Nursery School, tulikuwa tunavaa shati za pink na kaptura au sketi za light bluu, dah kitambo sana. Binafsi nlimaliza 1997, nlisoma Nursery...
  19. JamiiForums Tanzania Kipekee sana Rais Samia anaweka alama nyingine ya maendeleo nchini kwa ujenzi wa shule 103 za Amali

    Hii ni historia nyingine muhimu sana kwa Rais Samia kwa kuweza kufanyia kazi wazo la kimaendeleo katika huduma za jamii. Ukiondoa alama nyingine muhimu sana ya ujenzi wa majengo ya huduma za dharura yaani Emergency Medicine Departments katika vituo zaidi ya 100 vya huduma za afya leo hii...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…