UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Wiki iliyoisha nilikuwa na mtoko wa kuelekea mahali fulani,nikasema siwezi kwenda huko bila kutupia mitupio ya Ki-Jentromeni,nikaona isiwe tabu nielekee Kariakoo ambako ningepata mavazi mazuri kwa bei nzuri iliyoendana na bajeti yangu.

Sasa nilipofika Kariakoo ikabidi nizunguke kwenye maduka kadhaa nikajichukulia mavazi yangu,kuna duka moja niliingia ndani nikamkuta mwanamke mmoja mweupe ambaye kimuonekano wa uso alikuwa mweupe na mzuri,sasa kuna shati moja zuri nilikuwa nimelipointi lilikuwa limening'inizwa kwa juu,hivyo baada ya kumuuliza bei nikamwambia anitolee ili niangalie kama lingenitosha nilichukue,aliponyanyuka kwenye kiti nikagundua ni aina ya mwanamke ambaye alikuwa amevimba juu na chini kapigwa pasi,OK!,akalitoa lile shati na nikalichukua nikalifungua vifungo ili nilivae.

Sasa wakati nimelivaa lile shati huku nikiendelea kufunga vifungo,nilikuwa najaribu wakati huo kupepesa macho uenda ningeona lingine zuri nimwambie anishushie,aiseeee kufumba na kufumbua nikaona kuna dogo mmoja anatoka mle dukani anakuja pale mbele ya lile duka anatiririka kamasi si mchezo huku akiwa ananifanyia ishara ya kwamba anahisi njaa,kiukweli nilihamaki sana na nikashituka,nilipozidi kumuangalia yule maza ni kama alishituka akaniambia

Maza " kuna nini ?"

Mimi " Huyo dogo humuoni?"

Baada ya kumwambia hivyo yule mwanamke alichomoka pale dukani kuoingia kwenye chemba ya mlango wa duka ilipokuwa stoo,sasa pale kwenye ule mlango wa kuingilia huko stoo kulikuwa kumetundikwa mashati na ilikuwa vigumu sana kuona kuna mlango hadi alipofunguq yule dogo wakati anatoka,yule mwanamke akazama ndani na hakumaliza muda akawa ametoka,alipotoka nikaona anachukua maji yaliyokuwa kwenye chupa anajipaka mkononi na mengine nadhani alikunywa,Aiseee ndipo sasa nadhani akamuona yule dogo,akamchukua akamrudisha mle dukani kisha akafunga ule mlango wa stoo kwa mbele uliojazwa mashati mengi,baada ya kutoka huko kuna wateja wengine walifika pale,sasa yule maza akaanza kuniwashia moto.

Maza " Rudisha shati langu na uondoke hapa nisije kukuitia mwizi"

Mimi " Mama kuna nini?"

Niendelea " Mbona tumekubaliana ni elfu 15!,shida ni nini?"

Maza "Nimekwambia ondoka au wewe mwizi nini!"

Aiseee kama mjuavyo,kulikuwa na wateja wengine pamoja na wale madogo wanapangaga tu ndala na tusendo kwenye tule tu meza wakawa wamesikia wakajaa mle dukani.

Madogo " Mama Mungi nini shida?"

Yule Maza " Huyu kaka namwambia aondoke dukani kwangu lakini hasikii"

Aisee wale madogo walianza kunizonga zonga huku wakidhani mimi ni mwizi,ajabu ni kwamba yule maza hakutaka kabisa nijielezee wala kuwaelezea wale watu ni kitu gani kilijiri.

Jamaa Mmoja " Kama amekataa kukuuzia wewe angalia ustaarabu wako maduka yako mengi"

Aliendelea "Au kibaka nini mwanetu"

Kuna jamaa akanishushia bonge la kofi kichwani lakini bahati nzuri kuna watu ambao walikuja nikiwa bado pale dukani wakanitetea wakasema "Jamaa kama ameshindwana bei na bi mkubwa Hampaswi kumpiga muacheni akatafute maduka mengine"

Pamoja na hayo lakini nilikuwa nikijitetea,kilichosaidia ilikuwa muonekano wangu!.Aiseee yule mama kumbe nilipomuona yule dogo ndiyo niliharibu kabisa na nadhani ni Mungu tu lakini vinginevyo nilikuwa napigika vibaya sana hadi kuchomwa moto.

Yule mwanamke nimeshampeleleza na anaishi Mbezi Tangi bovu,sasa nitakachomfanya hatokuja kusahau na lazima atakuja kunipigia magoti.Na yeye ndiye atakayenipa mtaji wa Bajaji,subiri uone

Nimeteseka sana na hii siri lakini leo nimeona niwaeleze wakurungwa ya duniani huko.

Hapo Kariakoo kunanuka ushirikina.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Wiki iliyoisha nilikuwa na mtoko wa kuelekea mahali fulani,nikasema siwezi kwenda huko bila kutupia mitupio ya Ki-Jentromeni,nikaona isiwe tabu nielekee Kariakoo ambako ningepata mavazi mazuri kwa bei nzuri iliyoendana na bajeti yangu.
Umeona msukule wake,nyie wa kanda za magharibi mna vitu vizito sana,ungemuharibia kazi yake na alivyokwenda Ndani radar zilimpa Info's,acheni waendeshe maprado yao wana mengi sana hao!
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Wiki iliyoisha nilikuwa na mtoko wa kuelekea mahali fulani,nikasema siwezi kwenda huko bila kutupia mitupio ya Ki-Jentromeni,nikaona isiwe tabu nielekee Kariakoo ambako ningepata mavazi mazuri kwa bei nzuri iliyoendana na bajeti yangu.

Sasa nilipofika Kariakoo ikabidi nizunguke kwenye maduka kadhaa nikajichukulia mavazi yangu,kuna duka moja niliingia ndani nikamkuta mwanamke mmoja mweupe ambaye kimuonekano wa uso alikuwa mweupe na mzuri,sasa kuna shati moja zuri nilikuwa nimelipointi lilikuwa limening'inizwa kwa juu,hivyo baada ya kumuuliza bei nikamwambia anitolee ili niangalie kama lingenitosha nilichukue,aliponyanyuka kwenye kiti nikagundua ni aina ya mwanamke ambaye alikuwa amevimba juu na chini kapigwa pasi,OK!,akalitoa lile shati na nikalichukua nikalifungua vifungo ili nilivae.

Sasa wakati nimelivaa lile shati huku nikiendelea kufunga vifungo,nilikuwa najaribu wakati huo kupepesa macho uenda ningeona lingine zuri nimwambie anishushie,aiseeee kufumba na kufumbua nikaona kuna dogo mmoja anatoka mle dukani anakuja pale mbele ya lile duka anatiririka kamasi si mchezo huku akiwa ananifanyia ishara ya kwamba anahisi njaa,kiukweli nilihamaki sana na nikashituka,nilipozidi kumuangalia yule maza ni kama alishituka akaniambia

Maza " kuna nini ?"

Mimi " Huyo dogo humuoni?"

Baada ya kumwambia hivyo yule mwanamke alichomoka pale dukani kuoingia kwenye chemba ya mlango wa duka ilipokuwa stoo,sasa pale kwenye ule mlango wa kuingilia huko stoo kulikuwa kumetundikwa mashati na ilikuwa vigumu sana kuona kuna mlango hadi alipofunguq yule dogo wakati anatoka,yule mwanamke akazama ndani na hakumaliza muda akawa ametoka,alipotoka nikaona anachukua maji yaliyokuwa kwenye chupa anajipaka mkononi na mengine nadhani alikunywa,Aiseee ndipo sasa nadhani akamuona yule dogo,akamchukua akamrudisha mle dukani kisha akafunga ule mlango wa stoo kwa mbele uliojazwa mashati mengi,baada ya kutoka huko kuna wateja wengine walifika pale,sasa yule maza akaanza kuniwashia moto.

Maza " Rudisha shati langu na uondoke hapa nisije kukuitia mwizi"

Mimi " Mama kuna nini?"

Niendelea " Mbona tumekubaliana ni elfu 15!,shida ni nini?"

Maza "Nimekwambia ondoka au wewe mwizi nini!"

Aiseee kama mjuavyo,kulikuwa na wateja wengine pamoja na wale madogo wanapangaga tu ndala na tusendo kwenye tule tu meza wakawa wamesikia wakajaa mle dukani.

Madogo " Mama Mungi nini shida?"

Yule Maza " Huyu kaka namwambia aondoke dukani kwangu lakini hasikii"

Aisee wale madogo walianza kunizonga zonga huku wakidhani mimi ni mwizi,ajabu ni kwamba yule maza hakutaka kabisa nijielezee wala kuwaelezea wale watu ni kitu gani kilijiri.

Jamaa Mmoja " Kama amekataa kukuuzia wewe angalia ustaarabu wako maduka yako mengi"

Aliendelea "Au kibaka nini mwanetu"

Kuna jamaa akanishushia bonge la kofi kichwani lakini bahati nzuri kuna watu ambao walikuja nikiwa bado pale dukani wakanitetea wakasema "Jamaa kama ameshindwana bei na bi mkubwa Hampshire kumpiga muacheni akatafute maduka mengine"

Pamoja na hayo lakini nilikuwa nikijitetea,kilichosaidia ilikuwa muonekano wangu!.Aiseee yule mama kumbe nilipomuona yule dogo ndiyo niliharibu kabisa na nadhani ni Mungu tu lakini vinginevyo nilikuwa napigika vibaya sana hadi kuchomwa moto.

Yule mwanamke nimeshampeleleza na anaishi Mbezi Tangi bovu,sasa nitakachomfanya hatokuja kusahau na lazima atakuja kunipigia magoti.Na yeye ndiye atakayenipa mtaji wa Bajaji,subiri uone

Nimeteseka sana na hii siri lakini leo nimeona niwaeleze wakurungwa ya duniani huko.

Hapo Kariakoo kunanuka ushirikina.
😟, ya dunia ni mengi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom