sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. curie

    Kifo cha SGR hakiko mbali

    Mimi sio mtabili ila kwa yanayoendelea Tanganyika kwenye miradi kama Brt , Airtz ,n.k na kiona kifo cha Mradi huu muda si mrefu . Muda ni jaji
  2. ndege JOHN

    Kwanini hawakufikiria SGR kupita SINGIDA wakaipitisha ITIGI

    Kwanini wakafuata reli ya zamani toka ITIGI mpaka Tabora si wangeileta SINGIDA mjini ambapo wangepata wateja wengi na ikaendelea mpk tabora.
  3. SSH2025_2030

    Shuttle bus to/from SGR Stations

    Japo ni Jambo zuri ila bodaboda/bajaj/bolt watahujumu kwa Fitna za wazi na Sirini. Tujipe muda
  4. Idugunde

    Hivi hii miradi kama SGR pamoja na Mv Mwanza ni mali ya CCM?

    Nimeshangaa sana huyu mwanaCCM kuongea namna hii. Kwamba wasiompigia kura Rais Samia wasipande SGR au kutumia barabara zilizojengwa kwa kodi za Watanzania. Hajui kuwa kila mtanzania awe CCM au sio CCM analipa kodi? Soma >> GE2025 - Kasesela: Kama unataka kumnyima kura Rais Samia, usiende...
  5. and 998 others

    SGR anzisheni kodi kwa abiria na Wasindikizaji

    Katika kuongeza mapato nchini na ukizingatia SGR inajaza siku 5 kabla ya safari. Inafaa sasa SGR kwa kushirikiana na TRA waaanzishe Kodi kwa abiria na Wasindikizaji wote angalau 20,000/= kila trip.
  6. Waufukweni

    Ajali ya Behewa la Machuma imesababisha Foleni kubwa hapa Kituo cha SGR

    Wakuu! Kuna behewa lililokuwa limebeba machuma limeanguka hapa Kituo cha SGR, Dar es Salaam na kusababisha foleni kubwa ya magari eneo hilo.
  7. D

    KERO SGR watu wamechezea network Uwezi Lipia online

    I will be short Iko Hivi ume login , then ukiselect seat . System aikupeleki next . This means kuna watu wamegeuza business wanauza ticket ukiwapigia . In short Uwezi lipia seat . Maana ufiki Kwenye control number . Mama Anaupiga mwingi sana . Useless county . Barabara Mbovu . System...
  8. DogoWaNjombe

    Luhaga Mpina: Mkataba wa SGR bei halisi imezidishwa kwa Tsh. Trilioni 3.4

  9. Pdidy

    Moshi-Arusha tunapata lini SGR??

    Je, unafahamu uchelewaji wako kutasababisha historia mbaya ya CRB? Epuka historia mbaya ya mikopo lipa leo Tsh 800000. Kulipa piga *150*01#>7>4>3 au Mixx by Yas app
  10. kadeti

    KERO TANROADS Mwanza tunaomba Barabara ya Pamba road to Mkuyuni mchepuko wa SGR mtukwangulie

    Habari wadau....tunakoishi Mwanza hasa maeneo ya kuanzia Nyegezi na kuendelea mbele njia ya kwenda Shinyanga tunateseka sana na Barabara hiyo hasa mchepuko wa SGR Barabara imejaa mashimo pamoja na mbavu za mbwa (Rasta) kiasi kwamba magari yanakimbia taratibu sana hasa nyakati za asubuhi na jioni...
  11. Nyankurungu2020

    Kuna dalili za huu utawala kuwatenga watu wa kanda ziwa. Mradi wa Sgr Dodoma Mwanza hautakamilika kwa wakati ili kuwadidimiza

    Kwa nini Dodoma iwe kipaumbele na mikoa ya Mwanza na jirani kusahaulika? Kuanzia Dodoma mpaka Mwanza kupitia Taboara mradi unasuasua. Maeneo ya Itigi kama vile hakuna mkandarasi Kuanzia Isaka mpaka Mwanza mradi umesinyaa kabisa. Oktoba ipo karibu watu wa Tabora, Mwanza, Shinyanga, mpanda na...
  12. MSAGA SUMU

    Mama Samia kaona apige chini kwanza SGR lot 5.

    Mama Samia ameona ni bora kuachana na kipande cha 5 cha SGR kutoka Mwanza kwenda Isaka Shinyanga. Itakumbukwa miaka miwili iliyopita tulileta uzi ukionyesha ujenzi wa daraja la juu mkuyuni, miaka miwili baadae daraja hilo bado kukamilika na ujenzi wake umesimama kabisa. Baada ya miaka 2000...
  13. M

    KERO Walinzi SUMA JKT vituo vya SGR kukagua nguo binafsi wakati begi limeshakaguliwa na mashine si ustaarabu

    Hatukatai lazima kila kitu kiende kwa standard za kimataifa, ila wanachokifanya SUMA JKT ukisha scan beg anafungua wanaanza kupangua chupi moja moja mabeg yenye faragha za kinamama. Wakati mwingine najiuliza mtu ameshascan beg linaonekana kila kilichomo na mzigo amesha uwrap, kinachofanya SUMA...
  14. Roving Journalist

    Rais Samia akizindua usafirishaji wa mizigo kwa SGR na bandari Kwala Mkoani Pwani

    https://www.youtube.com/watch?v=wwLxEK9CEnE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Usafirishaji wa Mizigo kwa SGR Kwala Pwani, leo tarehe 31 Julai, 2025. https://www.youtube.com/live/hO2T3lOUjmI Update Sehemu ya Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan Ili...
  15. kmbwembwe

    Mwendo kasi 'Dar bus Transit' kama Tazara na SGR kua white elephant project kutokana na ubinafsi

    ukiangalia hii dhana ya mradi wa DART utaona ni dhana sahihi kutatua tatizo kubwa la usafiri wa umma katika jiji la Dsr es Salaam. Dhana ya bus transit sio ya zamani imeanza mwishoni mwa miaka ya 1990. Miji ya kwanza kujengwa rapit transit ilikua kule amerika ya kusini Curitiba Brazil na Bogota...
  16. Investigation Unit

    Huenda waha wa Kigoma wakamshukuru Rais Samia kwa miaka mingi ijayo hii SGR ya kutoka Tabora hadi Kigoma ni nani angeijenga kwa pesa nyingi namna hii

    https://youtu.be/CR33rwJsPKg?si=q0zQsyQ7wFv3SY8h Mnafahamu, Rais Samia anajenga mradi wa SGR kutoka Tabora hadi Kigoma kilometa 506 kwa TZS5.1Trilioni sawa na $2.2bn Mtaku,buka mradi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Tabora hadi Kigoma ni sehemu ya awamu ya sita ya ujenzi wa reli ya Standard Gauge...
  17. concordile 101

    Fursa ya Kiiuchumi kwa Tanzania Kutokana na Machafuko ya Ubaguzi Afrika Kusini nafasi ya Bandari ya Dar es Salaam na Reli ya SGR kuelekea Dodoma

    Katika miaka ya karibuni, nchi ya Afrika Kusini imekumbwa na matukio ya mara kwa mara ya ubaguzi wa wageni, hasa dhidi ya raia wa mataifa ya Afrika kama vile Zimbabwe, Malawi, DRC na Mozambique. Hali hii imesababisha: Wimbi la uhamaji wa watu kutoka Afrika Kusini, Kupungua kwa imani ya...
  18. Stephano Mgendanyi

    Rais Samia kuzindua Bandari kavu ya Kwala na uanzaji rasmi wa Treni ya mizigo ya SGR

    RAIS DKT. SAMIA KUZINDUA BANDARI KAVU YA KWALA NA UANZAJI RASMI WA TRENI YA MIZIGO YA SGR Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala na kuanza rasmi kwa safari za treni ya mizigo ya reli ya...
  19. Ashampoo burning

    Ukicheza Na Nyani, SGR Itageuka kama mwendo kasi mkurungezi TRC Kaza mtu hataki apande bus

    Watu wangu acheni kulalamika ovyo, hii SGR si daladala ya Mbagala! Mkurugenzi kaamua kuweka viwango kama vya Ulaya, siyo za 'vipeto vya mahindi' wala kuku kubebwa.Kama unataka kubeba kila kitu, panda gari lako bwana au panda shabiby kuna uzi mtu huma analalamika ku rap mzigo sasa nani ataka...
  20. N

    Plastic wrapping katika vituo vya SGR

    Kwa: Mkurugenzi Mkuu Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) S.L.P 63154 Dar es Salaam, Tanzania Yah: Ombi la Ufafanuzi Kuhusu Matumizi ya Plastic Wrapping kwa Mizigo ya Abiria wa SGR Ndugu Mkurugenzi, Napenda kuwasilisha taarifa na lalamiko kuhusu mwenendo unaoendelea...
Back
Top Bottom