serikali

  1. JamiiForums Tanzania Shabiby: Nitagombea Urais 2030, nitaleta Sheria ya kunyonga Watu kupambana na Rushwa

    "Tukija kwenye mitaji... hii mitaji, twende kwenye uwekezaji. Nyinyi biashara ndio mnaotakiwa mtoe ushauri. Mgeni anakuja, anatoa dola laki tano, eti huyo ni mwekezaji. Hivi Watanzania wangapi wana dola laki tano? Si wengi hapa! Alafu anakuja na briefcase, anaenda kuchukua ukandarasi wa...
  2. JamiiForums Tanzania Sio afya kwa serikali, Jeshi letu la Polisi linapotiliwa mashaka

    Kaka yangu Nape, mapema mwaka huu aliwahi kusema, kama serikali isipodhibiti matumizi ya nguvu dhidi ya raia, Siku moja wananchi watakikataa chama chetu. Kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake juu ya hili, lakini mimi napenda kuwakumbusha viongozi wangu uchaguzi wa 2010 Mbeya mjini kati ya Sugu...
  3. JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba: Ninaomba Serikali ichukue hatua ngumu kukomesha hii 'narrative' ya utekaji. Tutaharibu Nchi yetu nzuri bila sababu za msingi!

    Watanzania ni watu wanaopenda amani na hawajazoea kuishi kwa hofu. Niwapongeze Polisi kwa kujibu haraka kwamba wanachunguza tukio la 'kutekwa' Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, ndugu Djumbe. Nitoe pole kwake na kwa familia yake! Kuna maadui zetu wanaweza kutumia mwanya wa...
  4. JamiiForums Tanzania Wabunge wetu, hasa Msukuma, mmeiumbua serikali kwa kuvunja sheria ya ROAD FUND

    Inatia moyo kwa wabunge wetu kwa kuikemea serikali kwa kuvunja sheria. Kisheria fedha za ROAD FUND zinalindwa kutotumika kwingine kokote, ila ujenzi na ukarabati wa barabara nchini. Sasa leo kuna wajanja serikalini wamevunja sheria. Kwanza tutaomba watajwe hao wahusika serikalini. Pili...
  5. JamiiForums Tanzania Mafwele nakukumbusha tu, hao CCM na Serikali watakupoteza muda ukifika

    Kwa sasa utaenjoy kuskia sauti za unaowaua wakiwa wanalia kuomba usiwauwe na unawaua! Amini nakuambia watu dhalimu kama wewe huwa hawafi mapema! Mungu huwa anawaacha ili watumikie dhambi zao hapa hapa duniani! Nakukumbusha tu CCM wakishamaliza episode hii basi utapukutika! America pia hawako...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand ashutumiwa Kwa kukubali kutumia michezo kuitakasa serikali dhalimu

    Former England and Manchester United footballer Rio Ferdinand was widely criticised for a May 2026 trip to Tanzania, with campaigners accusing him of "sportswashing" for the government. [1] The backlash centers on the following specifics: The Host: Ferdinand's visit was hosted by Tanzania's...
  7. JamiiForums Tanzania Ni kweli serikali haigharamii chochote mtu maarufu kama Fernandez akija nchini?

    Kwanza kabisa mimi sioni umuhimu wa mstaafu wa soka kuja nchini kwetu nakumpaisha hivyo halafu kwenye account zake haoneshi yupo Tanzania licha ya kupewa air time za kutosha. Pia nimesikia hawa watu wakija serikali ni protocol tu lakini gharama haitoi serikali sijajua anatoa nani? Mtu mweyewe...
  8. JamiiForums Tanzania Ulega: Nimepokea simu kutoka kwa Bibi wa Miaka 70, anapongeza Serikali kwa kukamilisha Daraja la JP Magufuli

    Bibi Hellen Bugoye (70) kutoka Kisesa wilayani Magu mkoani Mwanza amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa ya usafiri yaliyotokana na ujenzi wa Daraja la JP Magufuli (zamani Kigongo-Busisi) linalounganisha Kigongo na Busisi. Shuhuda za...
  9. JamiiForums Tanzania Waziri Ulega: Serikali imejenga zaidi ya Kilometa 1,495.45 za Barabara kiwango cha lami na madaraja makubwa 18 ndani ya Miaka 5

    Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikiwa kujenga kilometa 1,495.45 za barabara kwa kiwango cha lami pamoja na madaraja makubwa 18 ndani ya kipindi cha miaka mitano, hatua iliyoelezwa kuwa mafanikio makubwa katika sekta ya miundombinu nchini...
  10. JamiiForums Tanzania Acheni kuichambua Serikali kwa mrengo wa Demokrasia

    Madeleka, warioba, Heche, Mwabukusi nk mnaochambua siasa za Tanzania huku mkionesha kuwa katika taifa la kidemokrasia serikali, vyombo vya Dola na bunge linapaswa,lilipaswa kufanya hiki au kile kwa Hali ilivyo sasa kwa maoni yangu mnakosea sana. Kwa sababu ninyi ndio mnaotumika kuifahamisha...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali kuzima Sites za Movie na Mpira bure? Wananchi wa kawaida wabaki kulia

    Wananchi wengi hasa vijana wamepokea kwa huzuni taarifa ya serikali kuanza msako mkali dhidi ya websites zinazotoa movie, series na mechi za mpira bure kama Goojara na nyinginezo. Serikali inasema hatua hiyo inalenga kupambana na piracy na kulinda sekta ya ubunifu nchini. Lakini kwa mwananchi...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Transport Operators Suspend Nationwide Strike for 7 Days to Allow Talks With Serikali

    Baada ya mazungumzo yaliyofanyika Harambee House, transport operators wamekubali kusimamisha nationwide strike kwa muda wa siku saba ili kuipa serikali nafasi ya kufanya consultations zaidi kuhusu fuel prices na changamoto zinazokumba sekta ya usafiri. Meeting hiyo iliongozwa na Interior CS...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kupuuzwa kwa uwepo wa watumishi wa kujitolea baadhi ya ofisi za Serikali; Hususani katika kupata stahiki na posho

    Mdau hapa. Leo ningependa kuzungumzia changamoto zinazowakumba baadhi ya watumishi wa kujitolea katika ofisi za serikali, hususan maeneo ya kusini mwa Tanzania. Sitapenda kutaja majina ya ofisi husika kwani wahusika wanajitambua wenyewe. Kumekuwa na tabia ya baadhi ya watumishi wa kujitolea...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ambayo inamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya kupata kibali

    Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ya Mwaka 2009 Kifungu Na.173 (1), ambacho kinamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya ya jamii kupata kibali kutoka kwa waziri wa afya au ofisa aliyeidhinishwa na waziri. Kauli hiyo imeolewa bungeni leo Na Naibu Waziri wa Afya...
  15. G

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha mpina kuteuliwa kuwa majibu Waziri mkuu kivuli ni Ishara ya ACT kutambua serikali ambayo walisema haijacjaguliwa kihalali , tuwaeleweje ?

    Mijadala ya Act wengi walikiri uchaguzi haikuwa huru na haki Hadi Walifikia hatua ya kusema tume ilipodadilisha JINA ilipoteza uhalali kikatiba Sasa wanapoteua mawaziri vivuli Ili wasimamie serikali ipi Mpina amekuaje siku hizi
  16. JamiiForums Tanzania Serikali yasaini Mkataba wa Ujenzi wa Barabara ya Njia Sita Dodoma–Chamwino Ikulu, Bilioni 241 kutumika

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa upanuzi wa barabara ya Dodoma Mjini–Chamwino Ikulu yenye urefu wa kilometa 32 kuwa ya njia sita, mradi utakaogharimu takribani shilingi bilioni 241 hadi kukamilika kwake. Mkataba huo umesainiwa kati ya TANROADS kwa niaba...
  17. JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama ya Chande ilivyofeli ndivyo hii Tume mpya itafeli

    Kama ambavyo tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025 ilivyofeli nayo hii tume mpya itafeli kwa sababu uongo lazime ufeli sehemu ambapo ukweli unajulikana. Tunajua ukweli kwamba mambo yote haya kama maandamano yamesababishwa na wahuni kuwa madarakani kwahiyo chochote mtakachokifanya kitafeli...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Serikali fungulieni mitandao ya JF, X, Telegram na mingine

    Mpaka kupata mitandao hiyo ni kubahatisha. Shida tupi! why all that trouble? Hamjatosheka na mateso tunayopata
  19. JamiiForums Tanzania Kuna kikundi kinalipwa na CCM na serikali kwa jina cyber kinaitwa Farming Ghost Account.

    Farmin ghost account ilianza bara za asia sana kwa wale ambao mlikuwa mfahamu ni kwamba mtu mmoja au kundi la watu wanamiliki account kama email,mitandao ya kijamii zaidi ya moja. Mtindo huu umefanya makampuni ya mitandao ya kijamii kuanza kuzibiti mfano kama usajili wa simu sasa ila sio kote...
  20. JamiiForums Tanzania Hivi serikali ya CCM mnachokifanya ni kile kile cha Zimbabwe kwa mugabe.

    Kabla upako wa mugabe ujamfikia pale Zimbabwe kulikuwa na matukio kama haya ambayo tunaendelea nayo tanzania. Uhai wa mtu kuondolewa kulinda CCM kubaki madarakani sasa unajionesha wazi wazi kwa maneno na matendo. Nimeshindwa kuelewa mpaka sasa yani CCM ina vikundi vya siri ambayo sasa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…