Madeleka, warioba, Heche, Mwabukusi nk mnaochambua siasa za Tanzania huku mkionesha kuwa katika taifa la kidemokrasia serikali, vyombo vya Dola na bunge linapaswa,lilipaswa kufanya hiki au kile kwa Hali ilivyo sasa kwa maoni yangu mnakosea sana.
Kwa sababu ninyi ndio mnaotumika kuifahamisha...