Kosa limeshatokea Kwa watumishi wake kuleta madhara yasiyo tarajiwa.
USHAURI ;
1. Serikali ishiriki kikamilifu katika hatua zote stahiki Kwa kutoa ushirikiano Kwa wazazi.
Ingawa serikali Haina kosa kabisa ( haijathibitika kosa ni la wahanga au watumishi wake)
2. Hekima,busara na uvumilvu miongoni mwa raia na vyombo vya ulinzi uwekwe sawa Kwa mstakabali wa siku za mbeleni.
NAIPENDA TANZANIA,tuipende nchi yetu !
USHAURI ;
1. Serikali ishiriki kikamilifu katika hatua zote stahiki Kwa kutoa ushirikiano Kwa wazazi.
Ingawa serikali Haina kosa kabisa ( haijathibitika kosa ni la wahanga au watumishi wake)
2. Hekima,busara na uvumilvu miongoni mwa raia na vyombo vya ulinzi uwekwe sawa Kwa mstakabali wa siku za mbeleni.
NAIPENDA TANZANIA,tuipende nchi yetu !