Mo Dewj ni Tapeli? Serikali imchunguze Huyu Bilionea

Mo Dewj ni Tapeli? Serikali imchunguze Huyu Bilionea

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
3,586
Reaction score
9,815
Kuna viashiria vinapelekea niamini kuwa huyu bilionea wa Simba huenda ni tapeli.
1. Alishawahi kusema kuwa ameinunua timu ya Simba na ndiyo kitu cha thamani anacho miliki. Ikumbukwe kuwa HAJAWAHI kukanusha kauli hii.

2. Interview ya Mh. Murtaza Mangungu aliyofanya na Crown FM alidai kuwa kuna wakati matapeli fulani waliandaa nyaraka zinazo onesha kuwa timu ya Simba imeuzwa kwa mtu binafsi.

Sijajua ni kwanini walimkatisha na kumwongoza kuendelea na mambo mengine kwa kisingizio kwamba watampa nafasi siku nyingine ili aelezee jambo hilo.

Sasa mnadhani huyo tapeli aliyeandaa nyaraka za kuuziwa timu ni nani?
 
Kuna viashiria vinapelekea niamini kuwa huyu bilionea wa Simba huenda ni tapeli.
1. Alishawahi kusema kuwa ameinunua timu ya Simba na ndiyo kitu cha thamani anacho miliki. Ikumbukwe kuwa HAJAWAHI kukanusha kauli hii.

2. Interview ya Mh. Murtaza Mangungu aliyofanya na Crown FM aludai kuwa kuna wakati matapeli fulani waliandaa nyaraka zinazo onesha kuwa timu ya Simba imeuzwa kwa mtu binafsi.

Sijajua ni kwanini walimkatisha na kumwongoza kuendelea na mambo mengine kwa kisingizio kwamba watampa nafasi siku nyingine ili aelezee jambo hilo.

Sasa mnadhani huyo tapeli aliyeandaa nyaraka za kuuziwa timu ni nani?
Tajiri hanuniwi! MO ni tajiri!
 
Kuna viashiria vinapelekea niamini kuwa huyu bilionea wa Simba huenda ni tapeli.
1. Alishawahi kusema kuwa ameinunua timu ya Simba na ndiyo kitu cha thamani anacho miliki. Ikumbukwe kuwa HAJAWAHI kukanusha kauli hii.

2. Interview ya Mh. Murtaza Mangungu aliyofanya na Crown FM aludai kuwa kuna wakati matapeli fulani waliandaa nyaraka zinazo onesha kuwa timu ya Simba imeuzwa kwa mtu binafsi.

Sijajua ni kwanini walimkatisha na kumwongoza kuendelea na mambo mengine kwa kisingizio kwamba watampa nafasi siku nyingine ili aelezee jambo hilo.

Sasa mnadhani huyo tapeli aliyeandaa nyaraka za kuuziwa timu ni nani?
Ushabiki wa timu za Kariakoo sometimes huwa unatufanya watanzania tuonekane kama kichwani zimepungua, Wewe baki kuwa Shabiki tu kutengeneza tuhuma nzito dhidi ya MO bila ushahidi ni jambo la kijinga na kipuuzi mno.

Acha mpira uchezwe uwanjani sio kuandika hoja za kitoto zisizo na ushahidi...
 
MImi ni shabiki wa Simba ila huwa nawahurumia jamaa anavyowadanganya.
Kuna kipindi kapiga picha na watu wa Juventus halafu akasema kaingia nao makubaliano kuhusu Simba halafu kukawa hamna kitu kinachoendelea, baadae akapiga picha na timu ya Marekani story ni hizohizo juzijuzi siku ya Simba day anasema kaingia makubaliano na Sturgatt yaani katuona wanasimba wote watu wa kudanganywa.
 
MImi ni shabiki wa Simba ila huwa nawahurumia jamaa anavyowadanganya.
Kuna kipindi kapiga picha na watu wa Juventus halafu akasema kaingia nao makubaliano kuhusu Simba halafu kukawa hamna kitu kinachoendelea, baadae akapiga picha na timu ya Marekani story ni hizohizo juzijuzi siku ya Simba day anasema kaingia makubaliano na Sturgatt yaani katuona wanasimba wote watu wa kudanganywa.
Kwa hiyo unataka kusema mwekezaji ni janja janja! Maneno mengi halafu vitendo hakuna! Au na wewe unaamini mwekezaji ni tapeli? Neno gumu sana hili.
 
MImi ni shabiki wa Simba ila huwa nawahurumia jamaa anavyowadanganya.
Kuna kipindi kapiga picha na watu wa Juventus halafu akasema kaingia nao makubaliano kuhusu Simba halafu kukawa hamna kitu kinachoendelea, baadae akapiga picha na timu ya Marekani story ni hizohizo juzijuzi siku ya Simba day anasema kaingia makubaliano na Sturgatt yaani katuona wanasimba wote watu wa kudanganywa.
Kwani Aden Rage alivyowaita Mbumbumbu mlijua anachekesha?
 
Kuna viashiria vinapelekea niamini kuwa huyu bilionea wa Simba huenda ni tapeli.
1. Alishawahi kusema kuwa ameinunua timu ya Simba na ndiyo kitu cha thamani anacho miliki. Ikumbukwe kuwa HAJAWAHI kukanusha kauli hii.

2. Interview ya Mh. Murtaza Mangungu aliyofanya na Crown FM aludai kuwa kuna wakati matapeli fulani waliandaa nyaraka zinazo onesha kuwa timu ya Simba imeuzwa kwa mtu binafsi.

Sijajua ni kwanini walimkatisha na kumwongoza kuendelea na mambo mengine kwa kisingizio kwamba watampa nafasi siku nyingine ili aelezee jambo hilo.

Sasa mnadhani huyo tapeli aliyeandaa nyaraka za kuuziwa timu ni nani?

View: https://www.facebook.com/reel/1529909878938090/?app=fbl
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom