series

  1. M

    Naitaji Msaada :number series

    deleted
  2. H

    Nitajieni jina la hii series

    Hii ni series ya kizungu inayohusiana na baadhi ya polisi kupata hela za magendo tofauti na mshahara wanaolipwa kihalali na Serikali wanachokifanya wanaficha hela hizo magendo kwenye magodown na Kuna mwingine anaficha kwenye paa ya nyumba baadae watastukiwa na Serikali so naomba nitajie hii...
  3. Richmoto Kushmoto

    series ya cruel romance nimeelewa vibaya ni moto sana alee wah

    binti jinxiu familia yake inauliwa yote na wajapan anapona peke ake anakwenda mjini huko anakutana n a na dada yake lakini dada hamtaki naye anataka kulipa kisasi kwa vile baba ake na binti alimtenga mama ake sasa humo binti anakutana na zuo zhen jamaa mtemi sana wanakutana kwenye boti baada...
  4. kidadari

    BMW series 1

    Baada ya woga mwingi dhidi ya magari ya BMW ila hali sasa imebadilia naona wapenz wa baby walker wengi wamehamia kwenye BMW series 1. Nini siri ya haka kagari spea sio adimu tena na wamepunguza size ya engine kwenye uaji wa mafuta? Huko tuendako nadhan mindset zetu zitabadilika na tutaanza...
  5. H

    Hizi ni baadhi ya underrated series

    Linapokuja suala la kutajwa series Bora hizo nitakazoandika Mara nyingi hazitajwi lakini Ni Kati ya series Bora kabisa inawezekana na kutoangaliwa na watu wengi au lah! 1. Banshee Tumezoea asilimia kubwa za series za ngumi au movie za ngumi hazinaga story zakuvutia ukiachana na mipigano yake...
  6. Nafaka

    Kwa wale wapenzi wa series ya Power, mnaionaje Power II Ghost

    Sikujua kama series ya power waliamua kutoa Muendelezo wa Power kama series inayojitegemea lakini based on the same story. Jana nikakutana nayo mtandaoni nikaishusha, aisee ni bonge la kitu. Tariq mle ndani kacheza kama mtu mwenye stratergy za kutosha hafanyi move bila plan na yuko ahead of...
  7. hooligan01

    Kwa wapenzi wa filamu za animations/cartoons (animated films)

    Kwa upande wangu mimi muvi za animation nilizokubali kuna: 1. How to Train ze Dragon 2. The Monsters 3. The Croods 4. Aladdin. Mimi nimeanza na hizo na wewe kama mdau wa animation ongezea basi. =========================================================================================== Public...
  8. Mwita Mtu Mrefu

    Car4Sale BMW 5 series 5231. Jipatie gari hii kwa bei poa

    BMW 5 SERIES Year made: 2007 Engine power: 2700 cc, Petrol engine Seats: 5 Doors: 4 RWD..: inasukuma kwa nyuma/Rear Wheel Drive. Mileage: 71,000 kms Bima imeisha Kadi yake ipo Location Dar es salaam, mbezi beach Bei 12.5mil Punguzo kidogo kwa mteja serious Piga simu 0744 033 555
  9. H

    Hii series ya Kikorea ni kiboko sana

    Kuna drama inaitwa "Memorist" ya huu mwaka 2020 Kama ulipenda Vagabond basi hii utaikubali ni drama inayohusisha akili na pia inangumi storyline yake ni nzuri na yenye mbunifu.
  10. Mwita Mtu Mrefu

    Car4Sale BMW 1 Series namba D inauzwa

    BMW 1 Series, inauzwa, Tsh 15 milion. Namba T.... DTM Ina miezi saba tu toka inunuliwe Kilometre 95,856 Engine capacity: 1590 CC Engine type: Petrol Colour: black Seat capacity: 5 people, Milango mitano. Kadi ya gari ipo Bima ipo Location: Temeke Mikoroshini Tuwasiliane kwa 0744033555...
  11. kidadari

    Samsung "A series" ni simu zenye ubora hafifu; kuwa makini

    Kwa wale wanaotaka kubadili brand na kwenda brand maaarufu kama Samsung kuweni makini hasa kwenye Samsung A series". Ukifuatilia kwa makini utagundua kampuni ya Samsung wametoa A series kwa ajili ya wateja wanaotaka kumiliki brand ya Samsung ila bajet yao ndogo ila kiukweli Samsung A series...
  12. Its Pancho

    Tujikumbushe: Series hii ya udogoni "journey to the west"

    Kwa wale wa kishua tuwaite kipindi hicho ITV walikuwa wanaicheki hii series journey to the west .. Ilikuwa maarufu hii ilikuwa ni story ya kichina inayomuhusu master mmoja jina lake aliitwa Chen..ama sisi tulimuita "shivo".. Mtu huyu alikuwa ni mtoto ambaye alitelekezwa kwa kuwekwa kwenye...
  13. Chizi Maarifa

    Angalia Gangs of London series iliyochangamka

    Ukiacha TV series mbalimbali za ki Gangs kwa mwaka huu hii ndo Kiboko. GANGS OF LONDON. hii nmeikubali sana. Kama unapata muda ukishapita kura yako huko Tz. Rudi home kaangalie. Au kama umeamua kulinda linda kura yako huku una check hii Series. Utaenjoy sana.
  14. Chizi Maarifa

    Queen Sono another stupid TV series...

    Nipo kwenye likizoya Uchaguzi nchi za watu. Mpaka Tanzania uchaguzi upite ndo ntarudi. Nikiwa huku najikuta mara nyingi nataka niangalie TV series maana ndo ulevi wangu. Katka pita pita nikakutana na Queen Sono. Ni Tv Series ya kipuuzi ambayo imeshindwa kabisa kuvalisha uhalisia waigizaji...
  15. Chizi Maarifa

    The Family Business ni Tv Series ya hovyo iliyonishinda kuiangalia

    Carl Weber inawezekana ni very Amateur katika ulimwengu wa Film na Series. Nliona sana BET wakiitangaza hii Series yenye ushiriki wa Black Americans wengi. Nikashawishika kuipata niitizame. Kiukweli ni TV Series ya kuangalia na watoto wadogo na housegirls wa kibongo. Sisi watu wazima ni ngumu...
  16. HiSilicon

    Huawei Mate 40 Series 💥

    Huawei Mate 40 Pro, Pro+ and RS unveiled with 5nm chipsets, amazing camera setups. Network : GSM / HSPA / LTE / 5G Display: 6.76 inches, 115.7 cm2 (~94.1% screen-to-body ratio) Chipset : Kirin 9000 5G (5 nm) Cpu: Octa-core (1x3.13 GHz Cortex-A77 & 3x2.54 GHz Cortex-A77 & 4x2.05 GHz...
  17. Mwananchi B

    HBO Series : Lovecraft Country

    Tokea nimalize kuangalia GOT bado hakuna series iliyo attract my attention Sana mpaka nilipokutana na hii Series. Kisa Ni Black man jamaa anaitwa Atticus alitoka jeshini south Korea, enzi hizo za ubaguzi wa rangi uliokithiri, kwa ajili kwa kuja kumtafuta baba yake aliekuwa kapotea, Sasa kafika...
  18. I AM NO ONE

    Wapenda series, hii ya watchmen kutoka HBO imekaa poa sana

    Niaje wakuu hii tv show aise iko poa sana kwangu kuanzia stor hadi cast wake.hasa MASTER ndio ananifuraisha sana na ANGELA ABRAHAM maana dada anakinukisha balaa
  19. Surya

    Series (Hollywood series) kali za kuangalia

    Mimi ni mpenzi sana wa movie za wazungu napenda sana kuangalia.. Toka utoto wangu nilikua nikishika remote lazima nipitie chaneel za kizungu kuangalia kama kutakua na movie nzuri niangalia, Nilipofika darasa la saba, nilianza kuangalia kila movie anayoitoa Dj Afro, jamaa ni anajua na siku zote...
  20. T

    Grow and fly big books series (Utangulizi, Sehemu ya 1&2)

    UTANGULIZI Kutokana na kukua kwa tatizo kubwa la ajira miongoni mwa vijana na familia nyingi duniani, imepelekea watu kuchanganyikiwa ni nini cha kufanya. Watu wote siku hizi wanahaha kutafuta ajira ambayo imekua adimu sana na hivyo kuwafanya watu ambao akili zao na mawazo yao yameelekezwa...
Back
Top Bottom