sayansi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Jinsi mtu aliyekata roho anavyoweza kurudi kwenye mwili wake

    Jamii zetu za Kiafrika na Tanzania kwa upekee wamekuwa wakifanya sayansi hii ingawa miaka ya karibuni umeonekana kumezwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Ipo hivi.." Mtu anapokata roho hufa taratibu na kwa hatua na kwa yeyote aliyewahi kuona wakati mtu anakata roho anaweza kubaini hatua...
  2. M

    JamiiForums Tanzania TUITION YA MASOMO YA SAYANSI MKOA WA DAR ES SALAAM KUANZIA FORM ONE MPAKA FORM SIX

    Katika kukabiliana na changamoto ya ufaulu wa masomo ya sayansi nchini, Excellence Tuition Centre inakuletea huduma bora kabsa ya masomo ya ziada kwa wanafunzi wa sekondari kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita Masomo Kwasasa tutafundisha masomo ya Physics, Chemistry, Biology na Mathematics...
  3. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Watu waliokulia mazingira magumu wana uwezo mkubwa kwenye masomo ya sayansi kuanzia digrii ya pili

    Kuna uhusiano mkubwa kati ya uwezo wa kimasomo ya sayansi na maisha magumu aliyokulia mtu. Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua wengi ambao huwa na stamina na uwezo wa kusoma digrii ya pili na ya tatu ya masomo ya sayansi hapa nazungumzia "pure science" sio digrii za sayansi za arts kama...
  4. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Ni taifa gani kati ya haya ambalo limekuwa na mchango mkubwa zaidi Duniani katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kwa muda wote na kwanini?

    Habari! Taifa ni watu na tunapozungumzia mchango wa taifa katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia tunamaanisha jitihada za watu katika taifa husika katika kulitekeleza hilo. Katika historia kuna watu wengi maarufu kutokana na vipaji pamoja na maarifa waliyokuwa nayo hapo zamani yaliyokuwa...
  5. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kiasi gani Wazungu wametuacha kiteknolojia

    Habari wanamember, Kwanza kabisa nataka niweke bayana wazungu ambao nawazungumzia, hawa ni wazungu ambao walikuja huku kwetu Afrika na kututawala, kwa kesi yetu ya Tanzania nitawaongelea Wajerumani na Waingereza. Kipimo nitakachokitumia kupima uwiano ni miaka, kwamba itatuchukua miaka mingapi...
Back
Top Bottom