sauti

Sauti Sol are a Kenyan afro-pop band formed in Nairobi, Kenya by vocalists Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano and Savara Mudigi in 2005. Initially an a cappella group, guitarist Polycarp Otieno joined before they named themselves Sauti.Sauti Sol released their debut studio album Mwanzo on 1 November 2008, to critical acclaim. Their second studio album, Sol Filosofia, was released on 25 February 2011, earning the group a number of accolades and nominations in the process. On 18 June 2012, the band released a self-titled extended play in collaboration with South African rapper and record producer Spoek Mathambo. Their third studio album, Live and Die in Afrika, was released online on 21 November 2015 as a free download, available for 48 hours as an early Christmas present.The band has had several successful tours in Africa and Europe, topped Kenyan charts and gained international attention with shows in Europe and the US, as well as television appearances and various accolades and nominations, including their 2011 concert performance in Kenya with South African a cappella group Ladysmith Black Mambazo. The band has also received both local and international accolades and nominations, including at the Kisima Music Awards, the Channel O Music Video Awards, the MTV Europe Music Awards, and the BET Awards.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali yasema hakutakuwa na Public Participation kuhusu Ebola Facility: Je, Sauti ya Mwananchi inasikika?

    Health CS Aden Duale amesema kuwa serikali haitafanya public participation kuhusu mpango wa kuanzisha Ebola quarantine facility katika Laikipia Air Base, Nanyuki. Kulingana na CS, sheria za afya ya umma zinairuhusu serikali kuchukua hatua za haraka wakati wa tishio la afya bila kushauriana na...
  2. JamiiForums Tanzania Kuisikia sauti ya Mungu kupitia ishara ya moto

    Mara nyingi Mungu anakua anazungumza na Mimi kupitia ishara ya Moto , Kama wanafunzi wa Yesu pia alivyo fufuka walisema, Je ,mioyo yetu Aikuwakawaka ndani yetu alipo kuwa akisema nasi. Sijajua Kwa wenzangu nataka kujua na nyie uwa inakuwaje Lakini kwangu Mimi huwa hivi . 1. Nikiwa natafakari...
  3. JamiiForums Tanzania Kupuuza Sauti za Vijana leo ni kutengeneza mgogoro wa Taifa Kesho

    Viongozi wetu wanapaswa kuelewa jambo moja muhimu: kizazi cha sasa cha vijana si kizazi cha kuamrishwa bila kuuliza maswali. Hawa vijana wamefundishwa kuhusu demokrasia, haki za binadamu, uchaguzi huru na wa haki, utawala wa sheria, na uwajibikaji wa serikali. Hivyo wanapoona tofauti kati ya...
  4. JamiiForums Tanzania TAAZIA: Khadija Said: Mtangazaji wa Sauti ya Dar es Salaam 1955

    https://youtu.be/zONxQNP3D4M?si=Eq8WdIr4a8JXqdTE
  5. JamiiForums Tanzania Kuwasha subwoofer kwa sauti kubwa sio dalili za umasikini?

    Miaka hii ya 2026 watu wanatumia smart tv na unlimited wifi bado Kuna watu wanarusha miziki kwenye vibanda na kuja kusumbua wengine wasilale usiku Hivi hii tabia ya kununua sabufa na kufungulia mziki mkubwa ndani na kusumbua watu waliopo nje au majirani Wengine unakuta wamepanga vyumba vya...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Afya Simanjiro (Manyara) Sauti Zetu Zimezimwa!

    Mimi ni mfanyakazi wa kada ya afya katika Halmashauri ya Simanjiro, mkoa wa Manyara. Tangu Januari 2026 hadi sasa tumekuwa tukikumbana na changamoto nyingi, lakini kila tunapojaribu kuzungumza au kuuliza, tunaondolewa kwenye makundi ya mawasiliano (groups) na hata “kuremove” kabisa. Inafikia...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kanisa (El Bethel Church) lipo katika makazi ya watu, wahusika wanaweka muziki kwa sauti ya juu inakuwa kero

    Wakazi wa Wilaya ya Ubungo, Kata ya Baruti Mtaa wa Docha, Shina Namba 7 tuna kero kubwa kuhusu uwepo wa Kanisa (El Bethel Church) lililojengwa kiholela katikati ya makazi ya watu bila kuwa na vibali kutoka mamlaka husika. Kanisa hili limekuwa na ibada zisizo na mpangilio na kuweka music kwa...
  8. JamiiForums Tanzania Dodoma: Mfumo wa Sauti wa Bunge wabuma, wabunge warudishwa ukumbi wa Msekwa!

    Leo, Mei 14, 2026 Mfumo wa sauti Bungeni umebuma. Wabunge wamerudi ukumbi wa Msekwa. Vifaa viliwekwa na Mchina, ku-upgrade wameleta Mzungu, ngoma imebuma. Jana jioni ilianza kupiga alarm ya moto ilhali hakuna moto. Kazi kwelikweli
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Serengeti ni moyo wa utalii wa Tanzania, halafu bado tunabishana kuhusu airport? https://youtu.be/9eOKGUVCjA4?si=UOzbKsu_RKP-Xeck Wakenya waliona tumelala, wana mipango ya kujenga airport karibu na Maasai Mara ili watalii watue moja kwa moja karibu na destination yao. Tumechelewa sana kuweka...
  10. JamiiForums Tanzania Hofu ya Kupoteza Sauti za Umma: Taifa Linalosahau Haraka

    Kuna wakati unaamka na kuhisi hofu isiyoelezeka. Hofu ya kuona watu waliokuwa sauti ya jamii wakitoweka taratibu kwenye macho ya umma, halafu maisha yanaendelea kana kwamba hakuna kilichotokea. Hiyo ndiyo hisia ninayopata kila ninaposikia kuhusu watu tunaoweza kuwapoteza kimya kimya, halafu...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Naona sasa amekuwa normalized na Ripoti yake au visits by fellow dictators. Sauti sasa inatoka kama hana hatia ya 29th October, 2025!

    Anaongea with confidence as if amekuwa acquitted na Mahakama ya ICC kama hana hatia na mauaji ya kimbari ya october, 29th. Anaongea with great confidence....mikwaju chapa etc etc! Hivi Ruto alikuja kufanya nini? Ku normalise mauaji? Time will tell!
  12. JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    ‎kwa dakika moja fikiria hii: umesimama kwenye fukwe ya bahari jioni Jua linazama. Rangi nzuri za machweo ya jua zinaenea angani kama picha iliyochorwa na mkono wa ustadi usio wa kawaida. Moyo wako unashikwa na kitu kitu ambacho huwezi kukieleza kwa maneno hisia ya kwamba unashuhudia kitu...
  13. 4

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Lissu haraka, sio ombi ni sauti ya Mungu alie juu kupitia kwangu

    Amani ya Bwana ikawe kwa kila mmoja popote mlipo Rejea mada tajwa hapo juu Mungu anataka Lissu achiliwa haraka sana ndani ya siku 21 ni amri kuu sio ombi. Ujumbe huu ukamfikie kila mmoja na mhusika wa kuendelea mshikilia mtu uyu. Msipofanya hivi ndani ya siku 21 , kuanzia leo 1/5/ 2026, bila...
  14. JamiiForums Tanzania LHRC: Bila uhuru wa habari, sauti ya Wananchi hupotea

    Tanzania imeshuka katika viwango vya uhuru wa habari kwa mwaka 2025, hali ambayo imeelezwa kuwa inatokana na matukio mbalimbali yaliyojitokeza kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu. Akizungumza jijini Arusha katika kongamano la waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa...
  15. JamiiForums Tanzania Sauti ya taaluma ya UDASA ni kengele ya onyo kwa taifa?

    JICHO LA UDASA. SAUTI YA TAALUMA AU KENGELE YA ONYO KWA TAIFA?. Na wakati mwingine, taasisi zinapoongea kwa sauti ya utulivu wa kitaaluma, kile kinachosema huwa kikubwa kuliko kelele za siasa. Hivyo ndivyo andiko la Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA)...
  16. JamiiForums Tanzania Naongea kwa sauti ya chini chini wasisikie watu

    Hivi ile tume ya uchunguzi imetumia bilion ngapi za walipa kodi kwa kipindi cha miezi 5. Iweje kuna mambo wameshindwa kuchunguza? Kwa mfano wanaposema matundu yaliyokutwa kwenye miili ya marehemu ni ya vitu vyenye ncha kali kujua hilo wamewapa nafasi wengine kuchunguza?🤣🤣
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Baa ipo Manzese inapiga mziki kwa sauti kubwa hadi nyumba zinatikisika, tukiripoti hakuna hatua zinachukuliwa

    Kero yangu kubwa ni hapa Manzese Bar ya Kwa Mkwere wanafungua sana mziki kwa sauti ya juu mpaka nyumba zinatetemeka. Wanapiga kuanzia jioni mpaka asubuhi, ni miaka zaidi ya mitano sasa tunakosa usingizi, tukiripoti hakuna hatua zinazochukuliwa.
  18. JamiiForums Tanzania Kwenye Statistics kuna Concept inaitwa "Wisdom Of Crowd" Sisi watu wa dini tunasema Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu

    Mwaka 1906 mwanasayansi na mtafiti Francis Galton alishuhudia tukio la kawaida katika maonyesho ya mifugo nchini United Kingdom. Kulikuwa na shindano ambapo watu walialikwa kukadiria uzito wa ng’ombe mmoja. Mamia ya watu walishiriki—wafugaji, wachuuzi, na hata watu wa kawaida waliopita tu. Kila...
  19. JamiiForums Tanzania Sauti nne pekee ambazo sisi wanaume tunapenda kuziskia kwenye maisha yetu.

    #everything in life come and Go
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…