saudi arabia

  1. U

    TANZIA Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Al-Waleed bin Khalid bin Talal, amefariki miaka 38 baada ya kuwa katika hali ya koma kwa zaidi ya miaka 20

    Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Al-Waleed bin Khalid bin Talal, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38 baada ya kuwa katika hali ya koma kwa zaidi ya miaka 20. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Kiarabu, Prince Al-Waleed aliingia kwenye koma tangu mwaka 2005 baada ya kupata jeraha la kichwa...
  2. J

    Aisee..! Saudi Arabia hata iwekeze fedha kiasi gani ligi yao itakuja kujifia kama iivyokuwa kwa China kwa sababu hii

    Jana nilicheki mechi ya Fluminense vs Al Hilal na Leo nikacheki mechi ya PSG vs Bayern Munich Nilichokiona kwenye mechi hizo mbili kimeniambia kwa nini Ligi kama ya Saudi Arabia itaishia kuwa kama ya China tu baada ya kuwekeza mafedha mengi Al Hilal na Bayern Munich wote wametilewa kwenye...
  3. U

    Mwaka 2019 Iran ilishambulia kwa drones mitambo ya kuzalisha mafuta ya kampuni ya Saudi Arabia ya Aramco na kufanya uharibifu mkubwa

    22.09.2019 Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Jumamosi alisema Iran inahusika na mashambulizi ya Aramco. "Tuna uhakika kwamba makombora yanayolenga Aramco yanatoka kaskazini, sio Yemen. Saudi Arabia inajaribu kutafuta mahali ambapo makombora yanarushwa," Adel al-Jubeir alisema katika mkutano...
  4. Bubu Msemaovyo

    Mfalme wa Saudi Arabia aingia msikitini kavaa viatu

    Hela ni kitu cha ajabu sana Mfalme wa Saudi Arabia kaingia msikitini katinga viatu kama kawaida. Vijana tafuteni hela ona hiyo.
  5. Webabu

    Hiki walichofanya Saudi Arabia ni tusi kubwa kwao na kwa waislamu wote duniani

    Tuliposikia kuwa ujumbe mzito wa Saudi Arabia umekwenda Iran kuonana na akina AyatoLllah,tulifurahi na kupata tamaa kwamba sasa waislamu wameanza kuwa wamoja hasa ukijua mataifa hayo mawili kila moja lina nafasi yake kubwa katika ulimwengu wa kiislamu kidini,kisiasa na kiuchumi. Ujumbe huo...
  6. Yoda

    Mamlaka za Saudia zimekanusha taarifa za Pombe kuruhusiwa kuanzia 2026 nchini humo

    === Afisa mmoja wa Saudi Arabia alikanusha Jumatatu taarifa za vyombo vya habari zilizodai kuwa ufalme huo, ambao ni mahali palipozaliwa Uislamu, ungeondoa marufuku ya miaka 73 dhidi ya pombe, ambayo imekatazwa kwa Waislamu. Taarifa hiyo, ambayo iliripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari vya...
  7. Komeo Lachuma

    Ibrahim hakuwahi fika Saudi Arabia/ Makka hata siku moja. Hili nalo tulitafakari

    1. Ushahidi wa Kiakiolojia (Archaeological Evidence) Hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa kiakiolojia (mabaki ya majengo, maandishi ya kale, nk) unaothibitisha kwamba mtu anayeitwa Ibrahim alifika au kuishi katika Makka au sehemu yoyote ya leo ya Saudi Arabia. Sababu kuu: Makka haikuwa kituo...
  8. MK254

    Saudi Arabia imechinja watu 100 mwaka huu, magaidi na wauza unga

    Sikudhani kuna siku nitakubaliana na muarabu kwenye chochote, tangu walipoharibu dunia na uzombi wa kidini, ila naona vizazi vya leo vya muarabu wako makini kwenye kurekebisha mauchafu yalioachwa na mababu zao, ukituhumiwa ugaidi unachinjwa moja kwa moja, hawatanii..... Hii iwafikie Waafrika...
  9. hamis77

    Tujiandae kupeleka Injili Saudi Arabia na kufungua Makanisa

    Jennifer Lopez akiwa katika ardhi ya Mtume, Jeddah – Saudia Arabia – akiwaselebusha Waarabu (maquresh), imekuwa ni picha ya ajabu na ya kushangaza kwa wale ambao bado wanaiheshimu ardhi hiyo kama tukufu. Muziki wa Kimagharibi, densi za uchi, na uropokaji wa kibepari vimegeuzwa kuwa burudani...
  10. Ojuolegbha

    Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano Katika kuendeleza Sayansi na Elimu Watiwa Saini Kati ya Tanzania na Saudi Arabia

    Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano Katika kuendeleza Sayansi na Elimu Watiwa Saini Kati ya Tanzania na Saudi Arabia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Aprili 13, 2025, nchini Saudi Arabia, imesaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Elimu ya Saudi Arabia katika kuendeleza...
  11. Yoda

    Kumbe Saudi Arabia ni kinyume cha sheria kushuhudia Ukristo/Injili ili kuwabadilisha watu dini!

  12. F

    Saudi arabia wameingiza mapato 8 Billion usd kwenye mwezi wa ramadhani na EID kutoka kwa watalii milioni 122 waliokuwenda kusali ibada za Umra

    hizo hela ni nyingi zaidi ya mara mbili ya hela zilizotumika kujenga bwawa la umeme rufiji, imagine saudia wameingiza mwezi mmoja tu
  13. Mhaya

    Kuabudu Jiwe Jeusi pale Mecca, Saudi Arabia ni kama kuabudu sanamu

    Jiwe linaloabudiwa huko Mecca linajulikana kama Al-Hajar al-Aswad (Jiwe Jeusi). Jiwe hili lipo kwenye pembe ya mashariki ya Kaaba, Kaaba ni jengo la pembe nne lenye shuka jeusi na juu limezungushiwa urembo wa rangi ya dhahabu katika Msikiti Mkuu wa Mecca (Masjid al-Haram). Kaaba ni eneo la...
  14. Yoda

    Kwa nini Waarabu wamepata nguvu kubwa sana ya usuluhishi katika migogoro ya kimataifa?

    Waarabu sasa hivi ni wasuluhishi wa migogoro mingi sana duniani. Wanawapatanisha Marekani na Urusi, Congo na Rwanda, Sudan, Lebanon
  15. Jackwillpower

    Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

    Mgeni rasmi Trump katika nchi ya mtume Muhamad s.a.w. 1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496 Katika mashariki ya kati kibaraka mkuu wa USA ni...
  16. Ritz

    Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani haki za binadamu za Israel

    Wanaukumbi. Mkutano Mkuu wa Nchi za Kiarabu kuijenga upya Gaza. Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel huko Gaza na kuishinikiza Israel kuruhusu misaada ya kibinadamu kufika katika eneo hilo...
  17. ELI COHEN

    Mufti Mkuu wa Saudi Arabia: Tulichokiona leo huko Gaza ni fedheha kwa Uislamu, kitendo cha kumkufuru Mwenyezi Mungu

    Ila wanywa gahawa wa bongo wanawa brand kama mashujaa. SHAME ON YOU!!
  18. Mathanzua

    United States and Russia MEET in Saudi Arabia; First Meeting in Years

    United States and Russia MEET in Saudi Arabia; First Meeting in Years Hal Turner World Russian Federation Foreign Minister Sergei Lavrov and United States Secretary of State Marco Rubio are holding a meeting today in Saudi Arabia. It is the first meeting between the two nations in years...
  19. U

    Nyota wa Tanzania Clara Luvanga anayecheza Saudi Arabia amejiunga na kambi ya timu ya Taifa ya Wanawake inayojiandaa na mchezo wa kufuzu WAFCON 2026

    Nyota wa Tanzania Clara Luvanga anayecheza Saudi Arabia amejiunga na kambi ya timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars” inayojiandaa na mchezo wa kufuzu WAFCON 2026 dhidi ya Equtorial Guinea utakaochezwa Februari 20, 2025 uwanja wa Azam Complex, Chamazi. @twigastarstz
Back
Top Bottom