The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا), al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.
Itakuwa ndoto sana mtu unawaza eti traore angekuwa mtanzania.
Mnahitaji miujiza km Gaddafi au traore wahenga wanasema nabii hakubaliki kwao wapo watu km traore tanzania ila tunawaona takataka wanatuchelewesha nchi ya ahadi.
Mbunge wa Jimbo la Buchosa (CCM) anayemaliza muda wake na mtia nia wa kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa mara nyingine, Eric Shigongo, amesema kipindi chake cha miaka mitano bungeni kimekuwa kigumu na hakujawahi kufurahia nafasi hiyo kutokana na changamoto nyingi alizokutana nazo.
"Nimekuwa Mbunge...
Sanamu zilizopo makanisani kwetu ni picha tu, ni kama zile zilizopo maofisini za Nyerere, Samia, n.k. kwani mnaziabudu? Hapana ni vielelezo tu na sisi hatuwezi kuwa wajinga kiasi hicho cha kuabudu sanamu! Tunajua kuwa Mungu ni Roho na anabudiwa katika Roho na Kweli.
Sisi Wakatoliki kama Kanisa...
Watanzania, tusiwe watu wa kushangilia kila kelele inayopigwa mbele yetu. Si kila anayepaza sauti anapigania mabadiliko. Wengine wanapiga kelele ili kuua kelele nyingine. Wengine ni kama mabuzi wa porini wanaolia ili simba asisikike.
Mbinu ya Kumtumia Polepole ni njia ya kuua mjadala ya kitaifa...
Nilimsikia mh. Lissu kwenye Moja ya mikutano yake akisema, kuahidi na kuapa kuwa watakinukisha vibaya sana siku ya uchaguzi 2025. Ukweli sisi waoga tulishikwa na hofu kuhusu kauli hii adimu kuisikia.
Shida yangu ni kwamba sijui kukinukisha vibaya sana ni nini, watatumia nini kunukisha, kwa...
A House to Call Home – For Sale!
📍 Location: Iyumbu , Dodoma
📐 Plot Size: 1,500 SQM
🏠 Structure:
5 Spacious Bedrooms
Servant Quarters (Self-contained)
Large Living Room
Dining Area
Kitchen + Store
Study Room
Garden & Ample Parking
💰 Goes Cheap! A rare opportunity for a serene home or...
A House to Call Home – For Sale!
📍 Location: Iyumbu , Dodoma
📐 Plot Size: 1,500 SQM
🏠 Structure:
5 Spacious Bedrooms
Servant Quarters (Self-contained)
Large Living Room
Dining Area
Kitchen + Store
Study Room
Garden & Ample Parking
💰 Goes Cheap! A rare opportunity for a serene home or...
"CONTEMPORARY DESIGN (HIDDEN ROOF) ni chaguo kali sana – inakupa nafasi kubwa ya ubunifu na kuifanya nyumba yako iwe ya kipekee. Ila ujue, gharama yake ni juu kidogo kulinganisha na za kawaida!"
check out this 4bedrooms with balconies
call/whatsap us +255624004650
design and construction...
Hawa walitakiwa wawe wamechapwa hata 5 mpaka sasa. Hawana team kabisa. Ni kama wamekusanywa kusanywa mtaani wakaletwa waje wacheze.
Very disorganized hawajielewi kabisa. Hamna team hapo.
Tunapolifanya tendo hili na wake zangu,ni tendo la furaha kubwa na hadhi ya juu sana:
1.Kila mmoja wetu huwa na shauku la kulifanya na kila mmoja anataka kujua mwenzie atakuja kujaje,staili gani
2.Kila mmoja huwa anamtaka mwenzie kwa hamu kubwa
3.Tunapolifanya hulifanya kwa kushambuliana sana...
Mzee Bulembo yeye ana hekima sana na Busara lakini kwa huyu Binti yake kwa kweli hapana. Halima busara yake ni sifuri(0) na ni karopokaji sana.
Mzee wetu Bulembo una watoto wengi tu wanaojitambua, sijua ni kwanini hukumchagua mmoja ndie afuate nyayo zako badala yake ukamchagua huyu Binti...
Kumekuwa na takwimu za vichocholoni hizo takwimu hazina uhalisia wowote tusijipe matumaini kwa mambo ambayo hayapo
♧ Deni la taifa lipo juu na linazidi kukua kila siku kutoka asilimia 28 hadi 40 kwa miaka minne tu
♧ pamoja kuwa na rasilimali nyingi lakn bado tunategemea misaada kutoka nje...
Haya madhaifu Yake hakuyaona kabla Gwajima hajaamua kua mkweli na kupinga utekaji? Inamana Gwajima asingetoka hadharani kupinga utekaji Manara asingempiga vita, kosa la Gwajima NI kukosoa serikali na kukemea utekaji.
Inamana watu kama wakina Manara na Steve Mengele wanafurahia watu kutekwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli CCM itabakia kuwa chama kiongozi Barani Afrika, itabakia kuwa chama chenye heshima na kuheshimika Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla wake. CCM itabakia kuwa chama cha kuigwa Barani Afrika,itabakia kuwa chama kisichoyumbishwa wala kuyumba.
Uimara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.