wakuu niaje.nina simu ya samsung note9 shida niki unistall au delete txt notification ya deleted inakaa muda mrefu sana alaf ndy inatoka.eg. picha below
Ndiyo nahitaji kioo cha Samsung S10+ Super Amored chenye frame yake kabisa.
Atakama ni used fresh ilimradi kiwe kimenyooka tu.
Ofa yangu ni Tsh 200,000/=
Location ni Dar es Salaam - Ilala -Kariakoo
Namba ya simu 0622 901670
Samsung imeachia update ya Android 14 One UI 6 toka wiki iliyopita.
Kwa wale wenye simu za Galaxy 23 Ultra unaweza ku-update simu yako kwenda One UI 6.
Binafsi nilisha update lakini sioni tofauti yoyote na One UI 5.1. Kama kuna alie update humu anisaidie labda mimi ndio sijaelewa customization.
Habari nauza simu aina tajwa hapo juu.
ipo kwa good condition , clean and kila accessory ipo pamoja including charge , air phone and mawasiliano ni. 0756294771....
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta simu za kipekee, chache aina ya...
Habari,
Nina sumsung A32 5g
inaandikwa kt network
Ukiweka SIM card ya tigo inaandika
Limited service
Haikubali kusoma line za bongo
Kwa mafundi software na hardware nipeni solution
Samsung A13 dark blue color
Ni 64 GB, ram 4 gb.
Simu haina tatizo lolote, screen ipo safi.
Simu ipo Dar
Imetumika miezi 11.
Unapewa charger, box, risiti.
Muuzaji ana shida ya haraka kugharamia matibabu ya mzazi wake.
Ameshindwa kuipiga picha kwa kukosa simu ya kutumia kuipiga picha. Picha za box...
Hellow guys kwema?
Ninauza laptop ya Samsung, Ram 4GB, processor 1.5ghz, HDD ~500 GB, haikai sana na chaji unachomeka moja kwa moja ukutani, Price ni 200,000/
Contacts: 0759~124378
Nipo Mbezi ya Kimara
Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
Kwa wale wapenzi wa hizi Smart watch, Samsung na Google hawana mpinzani. Designing zao ni za sayari nyingine kabisa.
Binafsi navutiwa sana na hizi Smart watch za Android hasa kutoka Google na Samsung.
Apple nadhani kitu kinaitwa designing sio kipaumbele chake.
Wadau nina bajeti ya 600k Hadi 800k mwisho, nahitaji Samsung inayobamba Sasa hvi huko mjini Darisalama,
Ni aina gani ya Samsung.
Wadau wa Samsung naomba mukije huku.
nchi ya China, inatengeneza bidhaa kwa ubora aina 2, kuna ambazo made for china (kwa matumizi ya ndani ya china ,zinakuwa imaa mno na mara nyingi hazina box. Pia kuna aia ya pili made for out of china(kwa kuuza nje ya China) zinakuwa na ubora wa kawaida na box. Leo natambulisha kwenu samsung...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.