samsung

  1. D3F4ULT

    JamiiForums Tanzania Ni suala la aibu kwa kampuni kubwa kama samsung, flagship device kuwa na technical weekness

    Habari zenu watanzania wenzangu na poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Mwaka jana mwezi dec nilibahatika kununua samsung s20+, baada ya kujikunja kwa muda mrefu kutokana na simu niliyokuwa natumia mwanzo(samsung s8) kuharibika betri. Lengo la kuandika uzi huu miezi miwili iliyopita nilipata...
  2. 90sgeneration

    JamiiForums Tanzania Nauza Samsung Fridge

    Halina shida yoyote ni 100% Msasani bei ni fixed 380k aipungui, hivo hakuna maongezi please🙏 +255685909105
  3. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A025 imetumika miez miwili tu

    Wakuu niaje? Nauza simu yangu aina ya Samsung A025. Simu bado inadai kabisa imetumika miez miwili tu. Napatikana mbagala kibondemaji. Bei: 430k Piga: 0778321833
  4. Atlast nimempata

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza simu mpya Samsung galaxy A04s

    Hii simu (Samsung galaxy A04s) ni brand new kutoka dukani nimeitumia miezi 3. Naiuza kwa 300,000 tu! Maongezi yapo. Storage ni GB 128. Memory Ram 4Gb. Ni simu ya kisasa unaweza upgrade kwa mfumo wowote wa kisasa. Sasa hivi ina Android 14. Niko Dar es Salaam maeneo ya Mbezi mwisho ya kimara...
  5. Yimakatso

    JamiiForums Tanzania Samsung Note 9 Inauzwa

    Habari wakuu. Samsung note 9 ipo sokoni ila ina shida ya kioo kinahitaji kubadilishwa. Storage 128GB Ram 6GB Bado ipo kwenye clean condition ukiacha kioo tu. Bei ya kubadilisha kioo ni 170k Bei 90,000 0757 444 844.
  6. Area 56

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnijuze kuhusu Samsung Galaxy A55

    Leo nimekuja kwenye jukwaa hili naomba kujuzwa kuhusu simu aina ya Samsung Galaxy A55 Ubora wake upoje? Kwenye camera, battery, software updates nk Bei halisi nijiandae na sh ngapi? Mkitaja na maduka sio mbaya
  7. BUMIJA

    JamiiForums Tanzania Samsung na iPhone nani mkali?

    Salamu. Simu zote ni nzuri ila najua kuna mahala zinazidiana ubora na gharama.Kwa ujuzi wako kati ya hizo kampuni nani bora sana?
  8. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutoa FRP Honor X6 na Samsung a10s

    Habari zenu za majukumu. Nimejifanya sana mjuaji ila kwa hizi device 2 zimenitoa ushamba. Ni SAMSUNG A10S NA HUAWEI HONOR X6 Frp yake ni ngumu mno. Hivyo kama uko na software ya kucrack au upo njia ya kuremove bypass ya hizo device hapo juu nisaidiwe.
  9. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Huawei kuja na "Tri-Fold SmartPhone" mwaka huu, Samsung bado anasuasua

    Tumezoea kuona simu janja zenye mikunjo miwili, Huawei mwaka huu wanakuja na Smartphone ambayo itakuwa na mikunjo mitatu. Mojawapo ya kipengele muhimu cha kifaa cha kukunjwa mara tatu ni kwamba skrini iliyounganishwa kwenye bawaba ya pili inaweza kukunjwa kwa nje, na hivyo kuruhusu sehemu ya...
  10. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Morogoro na Tanga wafikiwa na kampeni ya ‘Samsung Kibingwa’

    Kupitia kampeni hii, wateja wateweza kununua simu janja kwa mawakala waliodhinishwa na Samsung kupitia malipo nafuu ya mkopo ya kuanzia shilingi 1200 pekee kwa siku, wiki au mwezi kwa kipindi cha miezi 12. Lengo kuu la kampeni ya ‘Samsung Kibingwa’ ni kuwawezesha Watanzania ambao wanatumia simu...
  11. BUMIJA

    JamiiForums Tanzania Hii ipoje kuhusu Samsung wajuzi?

    Juzi nilienda Town kutafuta simu ya samsung A15,Katika pita pita kuna wanaiuza 380,000.Maduka mengine hapa Moshi mjini wengine 480,000. Mpaka Leo najiuliza kwanini yule auze 380,000 na specification ni zile zile?.Nilienda duka moja anauza mzee akaniuzia kwa 470,000 akaniambia tunaiscan uone ni...
  12. mossTV

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Tunauza smart TV

    Hisense smart 4k inch 55 Uhd frameless TV kama mpya Nauza 750,000 0744680670 Free delivery
  13. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Samsung Galaxy S24 Ultra Set to Enhance and Open up the Olympic Broadcast and Viewer Experience Like Never Before at the Olympic Games Paris 2024

    ●In collaboration with the IOC, and OBS, Samsung Galaxy technology will provide fans around the world with a new, up-close view of the world’s greatest athletes during the Games SEOUL, Korea – June 19, 2024 – Samsung Electronics Co., Ltd., a Worldwide Olympic and Paralympic Partner, today...
  14. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Samsung: Hii kampuni inachofanya ni sawa kweli?

    https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800233900389617979?t=VDdvhRoSeZ0LKEnI_RgKcw&s=19 Kampuni ya Kikorea "Samsung" imeleta features nyingi zinazowezeshwa na Artificial intelligence kwenye Samsung Galaxy S24 series na collection ya AI features kwenye S24 series Samsung akaamua kuiita "Galaxy AI"...
  15. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A90 inauzwa

    Nakaa Dar nauza simu Samsung A90 ina Ram 6gb,Rom 128gb,Battery 5000ma kwa Tsh 350,000/ Nicheck kwa 0693141058
  16. 90sgeneration

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A14 128GB inauzwa

    Samsung A14 128gb Used kama mpya Haina tatizo lolote Bei 275000 Location:ukonga banana Bei haipungui 0697224996 karibu🙏
  17. K

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung galaxy A21s laki 2 tu.

    UPDATE: SIMU IMESHAUZWA Habari, Nauza simu samsung galaxy A21s. RAM :4GB Storage: 64GB Battery: 5000mAh Location: Dar Bei: 200k Tzs Iko vizuri unakaribishwa kuja kuikagua for your convinience. 0759007696 (call/WhatsApp)
  18. Pantomath

    JamiiForums Tanzania Kwenye TYPE-C earphones Samsung & AKG wametupiga

    Mimi sio mpenzi kabisa wa wireless earphones, Nikanunua original Samsung Type-C earphones 30k powered by AKG kuja kutumia kasauti nilikokutana nako na niliyozoea nikahisi au nimeziharibu? ni fake? sikuwaza sana ila nikaona isiwe tabu, nika order nyingine MADE IN VIETNAM. Kuja khaaa, ni yale...
  19. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Samsung A15 ipo vipi kiutendaji?

    Aliewahi kutumia Samsung a15 au anaeijua utendaji kazi wake anipe muongozo nataka niinunue, masuala ya camera siangalii sana Mimi naangalia speed na isiwe inaganda au kupata moto Simu inaonekana ni toleo la mwaka Jana 2023 mwezi WA 11
  20. S

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A32 5G

    Samsung Jump A32 5G Lte Network 4Gb Ram 128Gb internal storage Fingerprint Tsh 295,000/= Around Arusha 0760848368
Back
Top Bottom